Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kama ikiwa corona, ndo nini sasa?
Si ni ugonjwa tu.
Ye ndo wa kwanza kuipata?
He will come back HORIZONTAL, believe meAlikua kimya kiduku N. Korea, akapotea machoni Jack Ma ni zamu ya Magufuli. Hebu acheni uchuro.
ShereheMalawi waliwahi kusafirisha maiti ya bingu wa mutharika had Afrika ya kusini, alifia malawi lakini jamaa wakabeba hadi South. Isijekuwa mkulu mkulu nae Israel kafika.
Katika Hili nadhani sitaona Samia akijibuPanya wameanza kubweka..tutaona sharubu za kila aina...Ila huyu tayari kajibiwa on the spot...sidhani kama atarudia tena..View attachment 1722509
Vipi kule Soweto Arusha? Akasema " kesho msiende kwenye mkutano wao kwani mtakufa". Kesho ikafika tena yenye bomu na risasi juu. Hadi sasa tunao yatima, wajane na wagane wa tukio hilo, na bado anajiona ni Presidential material.Sijaua kama wewe muuaji uliyehusika na shambulizi Lissu na miili iliyookotwa ufukweni mwa bahari.
Wewe juha,rais sio "mwanaume mwenzake",rais ni mkuu wa nchi,mtumishi wa wananchi.Huu upuuzi wa mwanaume kuulizia mwanaume mwenzake yuko wapi ni dalili za ushoga
Kuna haja ya kuwashitaki wakenya ukiingia kwenye mitandao yao ni story ya jamaa kuugua,wanadai eti kuna ulinzi hatari hapo NH,wakati sio kweli.Rais yupo salama salimini - alipomteua katibu mkuu kiongozi mpya, ili.bidi wajifungie kusudi amweleze matarajio yake kwake! Wapitie kila jambo linalohusu nchi, bila kuachia kitu. Hii exercise ni ndefu. Baada ya hapo ataanza majukumu yake ya kawaida na mtamuona.
Ww kura yako inaenda wapiLisu ni Mbumbumbu wa siasa,
Wamekwambia kama ni Magufuli?