Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Duuh duuh! Kumekuchaaaa!
Mwigulu mipovu yote??
Wanashindwaje kujibu swali jepesi tu hili!

Atengue ateue aapishe hadharani, anakata mzizi wa fitina, wambeya kushnehi!

Everyday is Saturday............................... 😎
Kwaniii lazima iwe hivyo unavyotaka wewe?
 
Majungu na propaganda hazitakwisha. Hapo ndipo tulipofikia, Rais yupo busy na kazi nyinyi mnapiga tunguli huku. Hii sio mara ya Kwanza mnaendeshwa na Zito Kabwe na Tundu Lissu (Yes misukule kwa sababu inaangalia maslahi yao binafsi) kama mnawapenda nendeni mkanywe nao chai.
 
Sasa ku-post video ya zamani na kuonekana ni ya tarehe 10/03/2021 ina maana gani? Halafu watu wasivyokuwa wadadisi wanaamini kuwa ni video mpya wakati kuna ishara zinazoonesha ni video ya zamani. Kuna tofauti kati ya tarehe ya kurekodi na tarehe ya ku-post...
Je, hii Video ni jana?
 
Malawi waliwahi kusafirisha maiti ya bingu wa mutharika had Afrika ya kusini, alifia malawi lakini jamaa wakabeba hadi South. Isijekuwa mkulu mkulu nae Israel kafika.
Ndiyo akili ya mwafrika hiyo.kufanya mambo ya kipuuzi
 
Hivi bado haieleweki hali ya mheshimiwa inaendeleaje??
 
Duh naona leo ID za spare zote kutoka lumumba zinerudi... daah Wo shi niubi, brigadia chan ocha... Sheiza.... n.k leo zipo kazini....

Mzee za siku?
Mimi Sina cha kusupport CCM hata Lumumba sijui ilipo ila toka tupate Uhuru umewahi sikia kiongozi wa nchi kalazwa Kenya? kwa nini vijana kwa mtazamo wangu wamekuwa na uelewa wa chini kuhusu dunia kiasi hiki?

Nairobi hospital itamtibu nini Magufuli , Mugufuli yuko wapi kwani waandishi wa Tz kazi Yao nini siwatafute njia ya kuwa siliana na Wahusika kupata taarifa ya alipo na watu habalishe, Unafikiri uandishi wa habari ni kuchat tu Instagram, waandishi wa habari wa Tz kwanza hili ni jukumu lenu kutoa challenge kwa fake news za nje.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom