Ndengaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,831
- 14,259
Hatuna haja na mabeberu, hata kama anaumwa atakua hapo Dodoma tuna mabingwa na vifaa vya kutosha, kwanini tuende kwa watu wasiokua na uzalendo. Mabeberu wakimdhuru? Au alitudanganya, are they medical advanced than us? Na kwamba ni kweli ameenda?