Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Nilidhani una akili kumbe wewe naye ni mburura tu! Umeshindwa hata kufanya simple research ya past threads zangu kujua kama mimi Fumadilu Kalimanzila na huyo bwana yako uliyemng'ang'ania Mwigulu ni watu tofauti!

Uongo mbaya una hasira kweli kweli unaweza ng'ata mtu na Meno!

Hasira kama kifutu?

Kisa kaguswa jiwe? Mbona hatari kubwa?
 
Mbona jana alikuwepo ofisini anachapa kazi alikuwa na wale wahandisi wa Bwawa la Nyerere
 
Kuna jamaa yangu yuko Nairobi ananiambia Nairobi Hospital hakuingiliki kabisa. Haijulikani kuna nini ila ulinzi wa pale haijawahi tokea, wagonjwa wanashauriwa kwenda Hospitali zingine.
Muongo mkubwa wewe!
Unadhani Nairobi hospital ni DISPENSARY?
eti una jamaa yako!
Fykn wewe! Jamaa yako mwizi wa mfukoni hapo atafikaje?

Kule westlands Nairobi hospital iko barabarani wewe angalia pamoja na Raila kuwa pale ndani kila kitu kinaendelea as usual mpaka taxi zimepaki kawaida nje hapo.
 
Lissu ni muhuni kama wahuni wengine.
 
Malawi waliwahi kusafirisha maiti ya bingu wa mutharika had Afrika ya kusini, alifia malawi lakini jamaa wakabeba hadi South. Isijekuwa mkulu mkulu nae Israel kafika.
 
shenenigans you entertain all of this.why folloes rumorrs yuo stay put leeave your phone do t wary to seek u seem to.like
 
Inaonekana dhahiri kabisa mzani wako una uzito upande mmoja.

Mbona huyo ambaye anachukiwa na tundu lissu naye mbona ana chuki na wapinzani tena huwa haifichi chuki yake,mbona hata naye hana hiyo political maturity.

Mtu alitaka kukutoa uhai unamchukulia namna gani?,Hizi ni ishu za kibinadamu na za kiasili wala hamna cha political maturity.

Wewe ulumunba ndio unakusumbua
 
Acheni uhuni wahuni nyie ni taarifa gani mnaitaka? Toka lini mkachagua cha kuambiwa. Huu no uhuni kama uhuni mwingine
 
Sasa ku-post video ya zamani na kuonekana ni ya tarehe 10/03/2021 ina maana gani? Halafu watu wasivyokuwa wadadisi wanaamini kuwa ni video mpya wakati kuna ishara zinazoonesha ni video ya zamani. Kuna tofauti kati ya tarehe ya kurekodi na tarehe ya ku-post.

 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…