Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilidhani una akili kumbe wewe naye ni mburura tu! Umeshindwa hata kufanya simple research ya past threads zangu kujua kama mimi Fumadilu Kalimanzila na huyo bwana yako uliyemng'ang'ania Mwigulu ni watu tofauti!
wewe?Nani anataka Magufuli atawale milele?
Hii ni nchi ya ajabu sana, eti katibu mkuu wa TEC hana mamlaka ya kuongelea COVID-19 lakini Musiba ana full mandate.Source za Lissu ni upumbavu mtupu!
Hata kipindi kile nae aliingia mkenge akawa ana shinikiza eti ajitokeze ndio source za uhakika hizo?
Muongo mkubwa wewe!Kuna jamaa yangu yuko Nairobi ananiambia Nairobi Hospital hakuingiliki kabisa. Haijulikani kuna nini ila ulinzi wa pale haijawahi tokea, wagonjwa wanashauriwa kwenda Hospitali zingine.
pumbavu wewe.Magufuli akifa sijui Kama tutapata rais Kama huyu.
Jamii Forums mobile app
Ugonjwa haufichwi sasa mnaumbuka.Hiyo haimfanyi Lissu kuwa mjinga kiasi hiki
Haki inaweza kuchelewa lakini haipotei.Raisi mtarajiwa Jemadari Tundu Lissu nasikia ameshakula Pfizer jab wakati wenzake wanakata roho
Kumbe hata Mwigulu huwa anamteta Raisi wetu mpendwa? Ni jambo la kuhuzunisha sana
Mmh mpaka vyombo vya habari Kenya vimethibitisha kuwepo na mgonjwa wa Covid kutoka Tanzania.Tumeumbukaje?
Lissu kuzusha uzushi na nyie misukule yake kushabikia ndio kuumbuka?