Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Jifunzeni kubakiza hakiba ya maneno - sasa comments zako tuziiteje, je, nikumsifia JPM, kumkejeri or both - wa kale walisema kama huna jambo jema la kumsema binadamu mwenzako ni busara ukakaa kimya, kukejeri mtu mgonjwa ni ukosefu wa UTU.
 
Jifunzeni kubakiza hakiba ya maneno - sasa comments zako tuziiteje, je, nikumsifia JPM, kumkejeri or both - wa kale walisema kama huna jambo jema la kumsema binadamu mwenzako ni busara ukakaa kimya, kukejeri mtu mgonjwa ni ukosefu wa UTU.
Nan mgonjwa mkuu? Umeniachq kidg
 

Majamaa wameuliza alipo rais. Media nje ya nchi zimetumia ukimya huo kuleta taharuki. Nafikiri ungejibu alipo rais haya mengine ni kuleta maswali zaidi. Ni kweli rais sio parish workee,ni kweli sio mtangazaji ila jambo la muhimu yupo wapi.

Kuulizwa rais alipo unakasirika bana
 
Mitano tena.

Na ikiisha tunabadili katiba.

Hapa kazi tu.

Hafi mtu.
 
Nadhani kupitia mtandao wa Instagram, Mwigulu ameandika kumkosoa Lissu juu ya kutoa taarifa za kinachoendelea Nairobi akisema ni upumbavu huku akilmtisha kwa kutumia sheria ya mitandao.

Mwigulu anatetea hoja yake kwa kusema Bwana Mkubwa sio kiongozi wa Kanisa, mtangazaji wa TV au kiongozi wa jogging club kwahiyo hata kama haonekani au hajatokea watu hawapaswi kuelezwa. Binafsi imenishangaza sana.

Mwiguou kaenda mbali kwa kumwambia Lissu jinai haina muda(bila shaka akimanisha wakati wowote Lissu anaweza kushitakiwa hata kama atakaa huko kwa muda mrefu-sijui yeye ndio hana jinai?)

Ndugu Mwigulu,wewe kama kiongozi serikalini, shauriana na wenzako na mfanye uamuzi wa kutoa ufafanuzi wa nini kinaendelea badala ya kumtisha Lissu.

Hivi hamjui likitokea la kutokea Lissu ndio ataonekana mshindi japo hatutafuti mshindi katika hili?

Mmejiuliza mtaweka wapi sura zenu?

Na kama kweli anaumwa na akaa hospitali kwa muda mrefu, bado mtaendelea kukaa kimya?

Mambo kama haya ndio yanafanya watu fulani kule Twitter kuwa maarufu na kutegemewa kama chanzo cha habari.

Nchi zenye utaratibu kama huu sijui zimebaki ngapi katika dunia ya leo ukizingatia nafasi aliyonayo Bwana Mkubwa na huu ukimya.
 
Cabinet ya Meko ni One Man Show. Kila kitu lazima aamue yeye. Wanaogopa kutangaza kuwa anaumwa mpaka yeye mwenyewe awaruhusu.

Atawaruhusu vipi kama hana kauli. Na wana jiuliza kwa mfano ukitangaza kuwa ANAUMWA, halafu akapona, alirudi ofsini imekula kwako.

Walicho na uwezo nacho, ni kutangaza atakapokufa tu
 
Try to be patient! Problem with you Tanzanians you always act like firemen! You act and want things to be handled as if the world is no more.
Everything has got it's discipline and ethics,that's why people of your kind are not in the system!

What I is in this piece of paper is a guideline to follow, not following this is unethical and thats what we are all concerned about, where is he hiding ? we employed Magufuli and we have standards for him staying in the office, it is our right to know the whereabout of his doings, ni mfanyakazi wetu aseme alipo kama yupo poa na anafanya nini huko alipo for the time being

Read the above article and it will come to your attention that its standard and we are obligated to know where Mr President is..
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…