Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Nadhani kupitia mtandao wa Instagram, Mwigulu ameandika kumkosoa Lissu juu ya kutoa taarifa za kinachoendelea Nairobi akisema ni upumbavu huku akilmtisha kwa kutumia sheria ya mitandao....
KIM wa Korea kaskazini ali mute kwa miezi miwili mbona maisha yaliendelea, na dunia haikusimama, ukimya huu unawawashawasha nini. Serikali iko kazini, ina deal na strategical issues. Lissu ni jobless lakini analipwa mshahara wa kubwabwaja
 
Mwigulu katoa povu la sabuni ya jamaa ya Tsh 2500.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Hii ndo aina ya viongozi tulionao na wameshika nyadhifa kubwa kabisa za nchi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Anaulizwa Mhe. Mkubwa wetu wa nchi yupo wapi ye anasema umevunja sheria ya cyber crime na vifungu anaandika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tabu hizii[emoji23]
Nimeamini ukifeli kupanga completly unakua Umepanga kufeli.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Yesu atutie nguvu tumalize mwendo salama. Au nasema uongo ndugu zangu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].

Via Tanzania Safari tunayo Chanel
 
In Tanzania everyone is presidential material.
No. It is not true. Simply because, our laws demand that only someone with a first degree is eligible to contest for presidential post. Unfortunately, it's not true that every Tanzanian has got the first degree.
 
Tageti yako haikuwa kumpa kilema Lissu ilikuwa umuuwe Ila ndiyo hivyo Mwenye Mbigu kakataa
 
Tualikane kaka hiyo siku.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…