Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Si angejifukiza tu pale MNH?
Mkewe alipougua akampeleka MNH tena Grade 3 akidai ati ni Uzalendo....!!!!
Katibu Mkuu Kiongozi alipougua akampeleka MNH kwa hoja zilezile.....!!
Maalimu Seifu alipougua akapelekwa Mnazi 1 na baadaye MNH.....!!!
Waziri Mipango alipougua naye akapelekwa Mkapa Dodoma kwa hoja TUPENDE VYA KWETU.........!!
Mkulu wa nji kaugua akakimbilia hospitali za nje..........!!!!
 
Alituzoesha kumuona/kumsikia mara kwa mara kwenye vyombo vya habari sasa ni muda mrefu hatumsikii wala hatumuoni.Si wote wanaouliza alipo wanakejeli wengine tu wanajiuliza kulikoni ni vyema wakaambiwa alipo kuliko kuambiwa kiongozi wa nchi siyo mtangazaji wa tv mara parish worker
 
Acha kutisha wenzio wewe
 
Wewe ni nani? Vikaragosi wenzio hawatapata jibu rais utamwona tu pale wakati ratiba yake inaruhusu wewe kapuku kumwona sio kutegemea kikaragosi kilicho Belgium kitapike makande kilichonywesha. Mtakoma miaka hii hamchomoki mtu. Nicheke mie khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Hivi Nairobi hospital ni ya serikali kama Muhimbili au ni zile za Agakhan?
Ni ya serikali, hao jamaa wanaodai wagonjwa hawaruhusiwi kuingia KNH waache 'chai' isio sukari 🀣🀣🀣 Hata ka kuna mkubwa flani hapo basi ni floor au unit aliyoko ndio itaekwa ulinzi na kuzuiwa watu wengine kando na familia na madaktari kufika hapo lakini Floor zingine zitachapa kazi kama kawaida yao. Wagonjwa wanaohudumiwa pale ni wengi sana, so hakuna kudanganyana hapa! Ishaisha iyo!!!
✌️
 
Na bado.
 
Wananchi gani ndugu? Kakikundi kadogo tu mtandaoni.
Hako "kakikundi kadogo" kachukulie kama sampuli.

Hata kama hakawezi kuwa wakilishi sahihi ya jamii, lakini ni kakikundi usikoweza kukadharau moja kwa moja kuwa jamii nzima ina hisia fulANI juu ya kiongozi huyu.

Hatuwezi kupita huko mitaani kuuliza kila mwananchi juu ya swala hilo.
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
✌️
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…