My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,592
- 11,810
Subirini tuuTunasubiri five again
2023 Kwani ni mbali basi
Mtaelewa tuu [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subirini tuuTunasubiri five again
Umewaza kama mimi!Lissu awe makini na siasa za tetesi. Mfano Magu akijitokeza na yupo fit itakula kwake(lissu) na kumshushia hadhi
Wengine hajauona huu upumbavu wa Twitterwe mbona unapost upumbavu wa twitter ambao tumeshauona
Acha kumpangia mheshimiwa ratiba...Mheshimwa Ana Siku 2 kuzima Hizi Tetesi na Wasiwasi Walio nao wananchi. Ambazo ni Ijumaa na Jumamosi: Jumapili nategemea kumuona Akishiriki Ibada, Tofauti na Hapo Tetesi zinawez kuwa Habari kamili?
LOoo, mkuu, ulitaka kuandika nini?It is better thsi thread is closed down as it flames out more stampede than collectively sewing up the venting differences.
If the personal hatred being ideally envisaged in the trailing comments by isome of the JF members whether at own wish or compromise from the rumouring circles tomorrow omay be a sunset to Tanzanias integration should it be warned on that route.
SErikali ipo kimya ndio maana ya haya yote yanatokeaNimesema nukuu za Lissu kwenye BBC news page
nadhani licha kuwa ni ishara mbaya.. au sio tabia nzuri kundi fulani kumzushia kiongoz wa nchi kifo.
kuna haja ya viongozi hawa kuhitafakari, why hate against them imeongezeka?
haswa kipindi hiki?
Wewe unajua alipo, au unajituliza tu roho!Waliposema yuko Kenya, nikacheka sana hadi secretary kaja kuniuliza kulikoni!? Walipogundua waandishi wanafuatilia Nairobi Hosp. chapchap wakasema kahamishiwa India. Anywezs, hii yote ni dalili kwamba JPM amewasambaratisha vichwa maji hawa.
Wanavyonyamaza hivi wanadhani wanafanya vizuri ila wanaharibu zaidi.
Ila tatizo ni Katiba yetu.
Hii ndio ina matatizo na haya yote yanaletwa na Katiba yetu mbovu.
Kwani umezuiwa kuwaza mengine? Nyambafu weweWatuambie basi alipo jamani tuwaze mambo mengine
toka juzi tunamuwaza yeye tu.
Eeenh Heee!Halafu Pa! Anaenda kutembelea mahali..tena kwa makali yaleyale... ilikuwa ni kumset up Tundu Kiasi?
Ndo hivo. Watu wanawaza ujinga tu. Si wawaze kwanini Simba ilidroo juz?!!Bado mnawekana makonde?lol
Ndo hivo. Watu wanawaza ujinga tu. Si wawaze kwanini Simba ilidroo juz?!!
Kwa hali ilivyo, hapo hawezi kujituma kwa njia yoyote...Nadhani Gerson Msigwa anapwaya.
..Yule dogo ni MC zaidi, siyo mwandishi wa habari anayeweza ku-manage masuala ya Ikulu na Raisi.
Unajua hata mimi nimeliwaza hilo....Halafu Pa! Anaenda kutembelea mahali..tena kwa makali yaleyale... ilikuwa ni kumset up Tundu Kiasi?