Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Ohoo, hivi mtu akikwambia kutembea na mwanafunzi kutakufanya uende jela miaka 30 anakua amekutisha sio?
Mfano wako sio sahihi, unatumia lugha kama una mamlaka ya kufanya au kutekeleza hayo unayoyaandika humu. Hakuna mtoto mdogo humu na ni vyema ukatumia lugha ya kukumbushia na sio mikwara mbuzi unayoleta.
 

Hao kina guardian, bbc unaowasifia ni wadaku kama wadaku wengine. Juzi juzi, rais wa N.korea alivyokuwa kimya kajichimbia, wakaanza uzushi kama kawaida yao. Baadaye wakaumbuka. Halafu siyo hilo tu. Wameumbuka mambo kibao, wakaanza kuomba msamaha.
 
Mfano wako sio sahihi, unatumia lugha kama una mamlaka ya kufanya au kutekeleza hayo unayoyaandika humu. Hakuna mtoto mdogo humu na ni vyema ukatumia lugha ya kukumbushia na sio mikwara mbuzi unayoleta.
Sio kila lugha usiyoipenda ni mkwala mbuzi zingne ni elimu.
 
Huyu alishajipa umungu mtu na wateule wake wanaamini ni mungu hivyo hawezi kuugua.The only thing najua,Kama kweli amepata covid- 19 kwa umri wake na afya aliyonayo- kufa ni lazima,let's wait labda watazika kimya kimya au watakaa na maiti hadi 2025
 
..Nadhani Gerson Msigwa anapwaya.

..Yule dogo ni MC zaidi, siyo mwandishi wa habari anayeweza ku-manage masuala ya Ikulu na Raisi.
Kwenye hiyo Serikali Nani anatumia ubongo wake kufanya kazi wote wanasubiri maelekezo ndio maana wanaweka mpaka clip za miaka iliyopita

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Huyu alishajipa umungu mtu na wateule wake wanaamini ni mungu hivyo hawezi kuugua.The only thing najua,Kama kweli amepata covid- 19 kwa umri wake na afya aliyonayo- kufa ni lazima,let's wait labda watazika kimya kimya au watakaa na maiti hadi 2025
Alijipa u mungu mtu mpaka kufikia mchakato wa mitano tena. Kweli tumeuona uwezo wake Bwana.
 
Endelea kutupa update za tutani mana serikali sikivu imekua bubu
Huyu mtu ni mwanasayansi, aliskia, aliona, kasoma kila kitu. Je kipi kimempa kiburi kiasi cha kudharau mambo wazi kama haya? Why clever (learned) and intelligent) people like Magu believe stupid things? Kwamba corona ikikupata utapona kwa sala??
 
Tangu Serikali ya Magufuli iingie madarakani Nani anatumia ubongo wake wote wanatumia wa Magufuli

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Wasaidizi wa rais wakitumia uoga inaweza kuzua balaa kubwa na tharuki kubwa kutokea
 
It’s impossible

Sky hahahaha ata kama unachuki wewe imezidi sasa ndugu yangu. Kwa kua una uhakika na taharifa na ushatoa hiyo taharifa kwa nini usitulie usubilie watangaze mama yangu khaaa. Kifo ni fumbo la imani.
 
Huyu mtu ni mwanasayansi, aliskia, aliona, kasoma kila kitu. Je kipi kimempa kiburi kiasi cha kudharau mambo wazi kama haya? Why clever (learned) and intelligent) people like Magu believe stupid things? Kwamba corona ikikupata utapona kwa sala??
Hakuwa anafikiria kinachokuja baadae, ni mzuri wa kusolve immediate issues. Ule uchaguzi hakuangalia kuwa bila wabunge wa ipinzani itakua issue.

Kwenye Covid aliwaza kuokoa pesa. This is what came next.
 
huyu naye aisee.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…