residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Uelewa wa misukule ya mbogamboga ni kama wa kuku. Umeambiwa kupelekwa India ni kutokana na "cardiac arrest".Hayo mapovu mpelekee lissu afulie gwanda zake.
Mnapapalika sana yaani hadi huruma
Yaani mtu aumwe corona akimbizwe india,kwani india wana dawa ya corona?
Sio kila vuvuzela linajibiwa
Ukiona hivyo ujue kasoma ili apate Cheti hakufauluHuyu mtu ni mwanasayansi, aliskia, aliona, kasoma kila kitu. Je kipi kimempa kiburi kiasi cha kudharau mambo wazi kama haya? Why clever (learned) and intelligent) people like Magu believe stupid things? Kwamba corona ikikupata utapona kwa sala??
wwnzake wanamshangilia tu,hata hawaoni hatari hiyo.Lissu awe makini na siasa za tetesi. Mfano Magu akijitokeza na yupo fit itakula kwake(lissu) na kumshushia hadhi
Huyu alishajipa umungu mtu na wateule wake wanaamini ni mungu hivyo hawezi utatumbukia kwenye shimo unalomchimbia mwezako! This is the proven spiritual law! Only repentance is an antidote for this!
Mnaotaka huu mfumo mnaishi kwenye wimbi la giza. Misingi ya nchi imara ni mfumo sio mtu mmoja mmoja. Ndio maana tunaombea jiwe arudi/abaki salama maana tunajua mfumo wa nchi umekufa, akitwaliwa nchi itayumba pakubwa.Hii ndiyo tunataka sasa; hatutaki nchi kila mtu anajiropokea tuuu. Who are you!???
Vipi akina Azori Ben sa8 na wengine wengi aliowapoteza mekoUpinzani wako ni wa kipumbavu sana na utakufa wewe kabla yake
stress za maisha hizi.Kwani umezuiwa kuwaza mengine? Nyambafu wewe
Mnaotaka huu mfumo mnaishi kwenye wimbi la giza. Misingi ya nchi imara ni mfumo sio mtu mmoja mmoja. Ndio maana tunaombea jiwe arudi/abaki salama maana tunajua mfumo wa nchi umekufa, akitwaliwa nchi itayumba pakubwa.
nawewe ukufa leo ni kisogo kitakuwa kimekuponza.Hata akifa leo basi kiburi na ujeuri waake ndio vitakuwa vimemponza.
kwa nini tuishi kwa kukisia?Tupo kipindi cha Kwaresma.....pengine yupo kwenye mfungo na hataki kuonekana hadharani?
Atusabahi kwa stahaModerators habari za asubuhi. Course Coordinator anawasaabahi huku!
I bet wewe ni mama wa hovyo sana kwa wanao.
Mkuu Rais ni taasisi. Lakini yeye alitumia nguvu ya mamlaka yake kuwaaminisha watu kitu anachokiamini. Magu ni daktari ila pia ana washauriHuyu mtu ni mwanasayansi, aliskia, aliona, kasoma kila kitu. Je kipi kimempa kiburi kiasi cha kudharau mambo wazi kama haya? Why clever (learned) and intelligent) people like Magu believe stupid things? Kwamba corona ikikupata utapona kwa sala??
Ukiamini kwamba hii one man show imemudu kuzuia deal unajidanganya sana. Deal zinapigwa kama kawa,ushahidi mdogo ni yeye kuendelea kuwaka kila anapopita, ushahidi mdogo tena ni kuzuia uwazi.Mfumo!!! Mfumo!!! Mfumo!!! Mfumo wa kupiga madili, au!???
Sister yangu huwa sichoki kusoma comment zako ni za kuelimisha lakini pia kuburudisha. Kwakweli tulijitahidi kutomchanganyia betri halisi na magunzi hivyo uchumi utapaa. Quite [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa tulihakikisha hatumchanganyii magunzi na battery.
Sasa mbona kelele za Corona zinakuwa nyingi?Uelewa wa misukule ya mbogamboga ni kama wa kuku. Umeambiwa kupelekwa India ni kutokana na "cardiac arrest".
"Why clever (learned) and intelligent) people like Magu believe stupid things?"Huyu mtu ni mwanasayansi, aliskia, aliona, kasoma kila kitu. Je kipi kimempa kiburi kiasi cha kudharau mambo wazi kama haya? Why clever (learned) and intelligent) people like Magu believe stupid things? Kwamba corona ikikupata utapona kwa sala??