Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Hayo mapovu mpelekee lissu afulie gwanda zake.

Mnapapalika sana yaani hadi huruma

Yaani mtu aumwe corona akimbizwe india,kwani india wana dawa ya corona?

Sio kila vuvuzela linajibiwa
Uelewa wa misukule ya mbogamboga ni kama wa kuku. Umeambiwa kupelekwa India ni kutokana na "cardiac arrest".
 
Huyu mtu ni mwanasayansi, aliskia, aliona, kasoma kila kitu. Je kipi kimempa kiburi kiasi cha kudharau mambo wazi kama haya? Why clever (learned) and intelligent) people like Magu believe stupid things? Kwamba corona ikikupata utapona kwa sala??
Ukiona hivyo ujue kasoma ili apate Cheti hakufaulu

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Hii ndiyo tunataka sasa; hatutaki nchi kila mtu anajiropokea tuuu. Who are you!???
Mnaotaka huu mfumo mnaishi kwenye wimbi la giza. Misingi ya nchi imara ni mfumo sio mtu mmoja mmoja. Ndio maana tunaombea jiwe arudi/abaki salama maana tunajua mfumo wa nchi umekufa, akitwaliwa nchi itayumba pakubwa.
 
Mnaotaka huu mfumo mnaishi kwenye wimbi la giza. Misingi ya nchi imara ni mfumo sio mtu mmoja mmoja. Ndio maana tunaombea jiwe arudi/abaki salama maana tunajua mfumo wa nchi umekufa, akitwaliwa nchi itayumba pakubwa.


Mfumo!!! Mfumo!!! Mfumo!!! Mfumo wa kupiga madili, au!???
 
Huyu mtu ni mwanasayansi, aliskia, aliona, kasoma kila kitu. Je kipi kimempa kiburi kiasi cha kudharau mambo wazi kama haya? Why clever (learned) and intelligent) people like Magu believe stupid things? Kwamba corona ikikupata utapona kwa sala??
Mkuu Rais ni taasisi. Lakini yeye alitumia nguvu ya mamlaka yake kuwaaminisha watu kitu anachokiamini. Magu ni daktari ila pia ana washauri
 
Kama uliambiwa kuhusu kuugua kwa JN, JK & Mkapa, halafu sasa unaona kimya. Ndipo uamini ni uzushi kama uzushi mwingine. Halafu, unasema si kawaida yake kutoonekana kwa muda mrefu. Naona sasa unaishi kimazoea na kwa kukariri maisha. Pole sana. JPM is alive & well, Pls mark my words.
 
Huyu mtu ni mwanasayansi, aliskia, aliona, kasoma kila kitu. Je kipi kimempa kiburi kiasi cha kudharau mambo wazi kama haya? Why clever (learned) and intelligent) people like Magu believe stupid things? Kwamba corona ikikupata utapona kwa sala??
"Why clever (learned) and intelligent) people like Magu believe stupid things?"
Hiyo sentesi unaiamini?!??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom