Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Where is he?
 
Unaweza kakuta huyu ana elimu ya PHD, elimu ya bongo ni timing bomb. Duh!
 
Hivi UN wameshindwa kabisa kuingilia kati kinacho endelea Myanmar? Hali tete kila kukicha.
 
Wakanushe nini? We hizi tetesi umezitoa wapi? Utakanusha mangapi? Msigwa yeye kazi yake itakuwa kukanusha tu? Hana kazi nyingine?
Hizo kazi nyingine anazofanya zinamzuia vipi yeye kuacha kukanusha habari kama hizi zinazozagaa mitandaoni?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…