Kwanini Msemaji wa Serikali asijitokeze hadharani kuondoa wingu hili? Hivi wanaona ni sawa tu Mkuu wa nchi kufanyiwa haya yote? Wanaharibu taswira ya nchi na huyu mtu binafsi. Wameshindwa kuwajibika kutetea taswira ya mkuu wa nchi wakati ndio jukumu lao kubwa kwa Taifa. Hata Usalama wa Serikali wanapaswa kuingilia kati hili suala maana limevuka mipaka ya utu wa Mtu. Kama walitaka kupima upepo kuona Mzee anaonekanaje mbele ya jamii wameshaona tayari. Vinginevyo basi nao ni vilaza.Nani alijua kuwa Maalim Seif Sharif amepelekwa Muhimbili ,ila alipofariki siri zote zikatoka,ila nakumbuka tu yule Kigwogwo ndie alievujisha kuwa yupo huko. Na Hili twamsubiri kigogo azidi kupanda chati
Ila Magu akija juu basi amfukuze msemaji wa serikali hafai hata kuwekwa bawabu.