Huyo unaedai atarejeshwa akiwa kwenye cargo flight,huyo Lissu alienusurika kufa,wewe pamoja na mimi safari yetu no ileile.Hakika tutakufa.Hebu rudia ulichoandika. Vinginevyo ww ni miongoni mwa waliopanga ama kutekeleza lile jaribio la mauaji. Roho inakuuma sana unapoona bado yuko hai. Yule mlietaka aishi atawale kwa furaha atarejeshwa kwenye cargo flight.[emoji24][emoji24]
Jibu zuri litakalowavua nguo watu ni mwamba ukionekana live.Naona siku mbili tatu nne tano hizi unarusha komenti nanenane. Be careful, next week usijepata acute depression kwa kile ambacho hutaamini macho yako π
Unajua miongoni mwa watu wanaofurahia watu wakipata matatizo ni ccm kwa sababu wanapata nguvu ya dola hakuna WA kuwagusa.wadogo kivip. mi nashangaa kuona watu wakiseherkea mtu akipa matatizo. waafrika ndio maana hawaendelei kwa roho mbaya, Libya mfano mzuri sana
Mtasubiri sana, na pengine katika hizi siku mbili tatu,kwenye population ya watz kuna baadhi ya raia tayari wametangulia mbele za haki bila kukishudia kifo cha huyo mnaetaka afe.Ni suala la muda tu.
Sio hilo tu, huwa kitaalamu tunaangalia vitu kadhaa kujua mtu ni TAGA ama sio.Tatizo lenu mtu akiikosoa cdm basi huyo ni ccm... Jichekeshe tu
Next week πJibu zuri litakalowavua nguo watu ni mwamba ukionekana live.
Majibu yako yote ni porojo tu bora usubiri hilo jibu litimie.
Mbona unapata tabu ndugu, tusubiri wakati utaamuaMtasubiri sana, na pengine katika hizi siku mbili tatu,kwenye population ya watz kuna baadhi ya raia tayari wametangulia mbele za haki bila kukishudia kifo cha huyo mnaetaka afe.
Wewe pia kwa nafasi yako ndogo uliyonayo huko uliko hupendwi na Kila mtu,na kuna wengine wanatamani hata ufe leo hii.Yaamini tu maneno ya kibaraka Sabaya
Mungu Fundi.Huyu alienungushiwa duara alikuwa katibu wa Rais baadae akapelekwa Mara,kafariki jana usiku. Kwa hapo kabaki Jiwe tuu nae anapigania uhai wake ICUView attachment 1723518
Ni kusubiri ss hiyo next week huna haja ya kutoa majibu yasiyo na ushahidi maana utakuwa huna tofauti na wanaosema hayupo bila ushahidi.Next week π
Ni vyema kama umelijua hilo, lakini Sasa tusubiri nini wakati hujui hata kama kesho utaifikia? ππππMbona unapata tabu ndugu, tusubiri wakati utaamua
Kufa hakuna mwenyewe lakini pia usisahau kuwa kufa ni moja ya sifa ya kiumbe hai
Tusubiri tutapata jibu
Imekuwa Next week tena... Hakika mnauguza..Naona siku mbili tatu nne tano hizi unarusha komenti nanenane. Be careful, next week usijepata acute depression kwa kile ambacho hutaamini macho yako π
Kama mnavyofikiri kila anayeikosoa ccm na serikali ni chadema au anatumika na mabeberu.Tatizo lenu mtu akiikosoa cdm basi huyo ni ccm... Jichekeshe tu
Unaonekana huna busara. Uzuri ni kwamba unamuombea mema raisi, ila busara huna.Nasema sasa ili next week uone uzito wake, sawa nyumbu wa Ufipa!???
Kwiooooooo...... usiwasemee watu wengine weweMagufuli anapendwa na wengi Africa.
Wale mnamtakia mabaya hata sjui mna maana gani.
The best president Tanzania imepata.