Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Hebu rudia ulichoandika. Vinginevyo ww ni miongoni mwa waliopanga ama kutekeleza lile jaribio la mauaji. Roho inakuuma sana unapoona bado yuko hai. Yule mlietaka aishi atawale kwa furaha atarejeshwa kwenye cargo flight.[emoji24][emoji24]
Huyo unaedai atarejeshwa akiwa kwenye cargo flight,huyo Lissu alienusurika kufa,wewe pamoja na mimi safari yetu no ileile.Hakika tutakufa.

Uwe umetenda mabaya hapa duniani kama mnavyodai kwa Magufuli, uwe mwema kupitia kiasi, utakufa tu. Chamsingi omba Mungu na utafute hela Ili usije kufa kibudu.
 
wadogo kivip. mi nashangaa kuona watu wakiseherkea mtu akipa matatizo. waafrika ndio maana hawaendelei kwa roho mbaya, Libya mfano mzuri sana
Unajua miongoni mwa watu wanaofurahia watu wakipata matatizo ni ccm kwa sababu wanapata nguvu ya dola hakuna WA kuwagusa.

Hebu fikiria yaliyompata Lissu na alivyofanyiwa na serikali ya Tanzânia na waliosherehekea ati Zito kabwe auwawe yote haya yanapandwa ni ccm na wao wakae kwa kusubiria mavuno wavune waliyoyapanda kwa haya hata sisikitiki wakati namba moja ni wanaccm wenyewe wajitafakari kwa kujirekebisha ndio upande WA pili nao ujirekebishe.


Leo wanaccm wanakuwa na huruma kwa sababu watu wanaulizia na kumuombea mabaya kiongozi wao lakin hawakukemea kabla ya watu wengine yalipowatokea.
 
Ni suala la muda tu.
Mtasubiri sana, na pengine katika hizi siku mbili tatu,kwenye population ya watz kuna baadhi ya raia tayari wametangulia mbele za haki bila kukishudia kifo cha huyo mnaetaka afe.
 
Tatizo lenu mtu akiikosoa cdm basi huyo ni ccm... Jichekeshe tu
Sio hilo tu, huwa kitaalamu tunaangalia vitu kadhaa kujua mtu ni TAGA ama sio.
  1. Tone ya mleta mada
  2. Bigoted content
  3. Diversion of the theme (distraction)
  4. Others
 
Ninachofanya ni kuupakua na kuuhifadhi huu uzi wote ili Mh. Rais akiibuka nimtumie ausome wote,huenda akabadilika na kuwatendea haki Watanzania wote. Binadamu yeyote si wa kumkatia tamaa akiwa bado hai,maana anaweza kubadilika.
 
Mtasubiri sana, na pengine katika hizi siku mbili tatu,kwenye population ya watz kuna baadhi ya raia tayari wametangulia mbele za haki bila kukishudia kifo cha huyo mnaetaka afe.
Mbona unapata tabu ndugu, tusubiri wakati utaamua
Kufa hakuna mwenyewe lakini pia usisahau kuwa kufa ni moja ya sifa ya kiumbe hai
Tusubiri tutapata jibu
 
Mbona unapata tabu ndugu, tusubiri wakati utaamua
Kufa hakuna mwenyewe lakini pia usisahau kuwa kufa ni moja ya sifa ya kiumbe hai
Tusubiri tutapata jibu
Ni vyema kama umelijua hilo, lakini Sasa tusubiri nini wakati hujui hata kama kesho utaifikia? 😂😂😂😂
 
Umezipanga vibaya hizo ep,
Ya kwanza umeambiwa ni
1 Ikulu
2 mzena
Hajasema but rumours zinadai ni
3 Nairobeeeee
4 Mumbai[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ep ya 5 bado, huenda ni chato[emoji1787]
 
Magufuli anapendwa na wengi Africa.
Wale mnamtakia mabaya hata sjui mna maana gani.
The best president Tanzania imepata.
 
Huwa nashangazwa sana na watu wanaoisoma bible kama kitabu Cha hadithi,na kukalili kilichoandikwa kama kilivyo,wengi wanaomsifia Maghu kwa kupambana na corona,kwa kutumia "imani",tu na sio ushauri wa kitabibu,waniambie kitu kimoja,
Maghu anatuambia tutaishinda corona kwa "kuamini tu Kwa Mungu"sio kufanyia kazi ushauri wa wataalamu,wanijibu,wamesahau kwamba imani bila matendo imekufa?kama Binadamu anachotakiwa kufanya kupambana na changamoto za maisha,ni kuamini tu,uamke asubuh,ujishughurishi,ila we uamini utapata pesa,utajenga nyumba.
Maghu analindwa na watu kibao,kwanini,asitembee peke yake kwa imani kwamba Mungu anayemuabudu atamlinda?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom