Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Amina
downloadfile-15.jpg
 
Ukiwaumiza watu kusudu jua huwa wanasali sirini!!! Liwaloooo naliiweee (in mwanris voice)
 
Sawa tu, mbona wengine waliopolewa rossi kama mbweha. Aonje naye maumivu.
 
Malaika mkuu naye huwa anaugua ? Yesu wa Lugola kaugua ? Aiseee bado mungu wa Dar .
 
Ndiyo unajua leo? Kenya wako mbele vitu vingi sana. Mbona ni siku nyingi watanzania wakiugua na matibabu yakashindikana Tanzania, Nairobi ndiyo huwa kimbilio? Hili la kwenda India na Africa Kusini lilianza miaka ya karibuni.
Huyo nzi wa kijani anataka kujitoa ufahamu tu lakini anajua vizuri sana kuhsu Kenya. Mwulize kama hajui kuwa hata mfuasi wa Jiwe Nkurunziza(RIP) alipobanwa mbavu alienda kufia Narobi huku mkewe akiponea chupuchupu!!!
Mhe. Tundu Lissu alikwenda kuponea Nairobi baada ya kumiminiwa risasi zaidi ya 30 pale Bungeni. Kenyans are better than we're!!
 
Ni kama aibu kwa siasa nyepesi nyepesi za CDM hii imewagharimu na bado wanaendelea watu watazidi kuwadharau hadi mwisho hata mwanyekiti wa kijiji hawatampata katika chaguzi.
Ikumbukwe wakatiwa kikwete CDM walizusha kuwa Mkuu wa Majeshi Jemedali Mwamunyanga amepewa sumu na wana CCM na ilikuwa zimebaki siku chache kuelekea uchaguzi mkuu.

Mwamunyange aliibuka kule Kizuka katika bezi nzito ya jeshi akifungua uwanja mkubwa wa ndege na ktk hotuba yake alimshukuru Rais Kikwete na mkumuhaidi Rais kuwa atasimamia kuhakikisha hakutakuwa na maandamano wala mtu wa kuleta fujo yoyote katika uchaguzi ule.
Siku ile ile CDM walinyea kama wameolewa bila kutolewa maali.
Ni siasa za kitoto sana ambazo kwa chama kikuu kinvuli cha upinzani kujikita ktk sera za kijinga.

Sasa kesho Magu akiinuka na mizuka yake sijui inakuwaje kwa chama.
 
CDM siyo chama cha siasa tena bali ni chama cha wanaharakati.
Umechoooka, ume-panic, unahangaika. Ukweli ni kuwa anaumwa, la muhimu ni kumwomba Mungu apone na nadhani atakuwa amejifunza somo muhimu sana la maisha. Najua nyie wachumia tumbo siyo kweli mnampenda ila mnapenda mataumbo yenu yazidi kujaa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom