Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Kurudi atarudi ila kuzikwa.

Tupieni zile picha za wajuba wa ghana wale[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].Siku itakavyotangazwa amekufa bado sijajua ntafanya nini
 
lazima uende mzeee jeshi liandae mizinga tu.haiwezekani utese watu then upite hivi hivi
FB_IMG_1615464126808.jpeg
 
Safi sana. Endeleeni na laana zenu...
laana zipi??,mnaacha kuhangaikia chama na maisha yenu mnahangaika na vitu ambavyo havina faida kwenu,chama wala watoto wenu.

Hata Mungu hasaidii huo upuuzi.
 
Fisi mbakaleo akimuona binadamu anatembea huwa anatamani mkono, anadhani utadondoka aule.

Chiba atasubiri sana.
 
Zipo sababu zilizotufikisha hapa

Misiba aliwasema watu vibaya wenye mamlaka walikaa kimya

Watu walipotea na wengine kutekwa tulikaa kimya

Upinzani uliteswa na hata wengine kupigwa risasi tulikaa kimya

Wengine walivunjiwa nyumba kisa Barbara na wengine waliachwa chuki ikakomaa

Wananchi walipotaka kumsaidia aliyepigwa risasi ikiwa ni pamoja na kufanya Sala walinyimwa.


List ni ndefu haya yote yalitrngeneza chuki, maumivu, uhasama, ukanda, ukabila, n.k na Sasa tunaanza kuona matokeo yake. Akifa mtu au akiugua mtu wa tofauti na upande wangu tunashangilia.

Tunaenda wapi Kama taifa?
 
laana zipi??,mnaacha kuhangaikia chama na maisha yenu mnahangaika na vitu ambavyo havina faida kwenu,chama wala watoto wenu.

Hata Mungu hasaidii huo upuuzi.
Chama kipi? Cha msalaba mwekundu au cha mpira wa miguu?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].Siku itakavyotangazwa amekufa bado sijajua ntafanya nini

Sie huku tushamuandaaa kitiMoto mkuuubwa kwa ajili ya kitoweo na sadaka ya shukrani kwa kutoweka huyu mungu wa tizii.

Bia nadhani tutaodi kiwandani kabisa kuondoa usumbufu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Nakumbuka wakati Mwalimu Nyerere (RIP) Anaumwa kila siku tulikuwa tuna pewa tarifa za anavyo endelea. Japo walikuwa wana danganya lakini tulipewa updates. Sasa rais wetu kipenzi Jpm ina semekana anaumwa na hayuko Tz lakini hakuna tarifa. Ina leta mashaka sana hawa wasaidizi wake kawaokota wapi? Watu wasio jua utawala? Wanatakiwa kujua Rais ni baba wa Nchi na sio baba wa watawala. Tupeni taarifa za Rais wetu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom