Jameel2013
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 824
- 762
Ndugu yangu nyumba zote walizo jenga Serikali ilitaifisha na kuwa nyumba za serikali. Napia kwa fikira zangu mm ndio maana hilo shirika la nyumba la Taifa halina maendeleo ni sababu ya dhuluma iloyo fanyika kunyanganya nyumba za watu hebu jiulize Shirika la nyumba lijandisha kwa hasara miaka yote ujiulizi why .Alafu hawa jamaa uwa hawajengi nyumba za kuishi, labda huko dar. Zaidi Uwa wanafakamia nyumba za msajili
Kukiwa na ushahidi kwa hoja zako lazima atawajibika tu siku moja, maana duniani tupo kwa muda tu.Ile ilikuwa ni operation kichaka cha kuibia matajiri pesa zao mwendazake na bashite unajua wamepata utajiri Mkubwa sana kwenye ishu ile.Sema tu afrika ni mambo ya kulindana lkn bashite hakustahili kuwa uraiani japo analindwa but kuna siku lzm atalipia uovu wake, tawala uja tawala upita.
Nani kafungwa katika list ile, walengwa wakuu ilikuwa ni gwajima, mbowe na manji wengine gereshea.Kukiwa na ushahidi kwa hoja zako lazima atawajibika tu siku moja, maana duniani tupo kwa muda tu.
Ndugu yangu nyumba zote walizo jenga Serikali ilitaifisha na kuwa nyumba za serikali. Napia kwa fikira zangu mm ndio maana hilo shirika la nyumba la Taifa halina maendeleo ni sababu ya dhuluma iloyo fanyika kunyanganya nyumba za watu hebu jiulize Shirika la nyumba lijandisha kwa hasara miaka yote ujiulizi why .
KkkkkkkHata huko kuzimu watakuwa hawana hamu nae sijui atapelekwa wapi sasa.
Mkuu,ulichoongea hapa ni nini? Wewe unalipa kodi?Wewe hutaki faida?Wewe hutaki kuwekeza nje?Kama hutaki acha wanaotaka wafanye kazi ila kama unataka na wewe fanya hima uwahi nafasi usisubiri mpaka mambo yaharibike ubaki kujilaumu na kulalamika.Wataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje!
Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi. Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi
Acha mawazo ya kijinga.Kila ukimuona mzungu unadhani hajambi. Badilika.Wataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje!
Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi. Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi
Tofauti kabisa na nilichomaanisha, au ndio nyinyi Mwalimu akifumdisha somo leo kulielewa Hadi urudi kesho yake??Taratibu za kisheria zifuatwe na sio double standard na kunyanyasa watu.Kwa akili yako tu eti wale wazee wawili tu waliojela ndio walikula hela za escrow inaingia akili kweli kwann usikamate chain yote.
mzee kwa kipindi cha mwenda zake watu walikua hawakwepi kodi mlikua mkidai kodi mpka zinazid mtaji wa mfanyabiashar mkishindwa mnafungia akaunti zao.Wataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje!
Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi. Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi
Mbwa alipogeuka kuwa mwenye mbwa, huyu baba akakimbia ndukiii, sasa kabaki mwenye mbwa wa wakati huo. LolHuyu c ndo alimwambiaga Mwendazake, Siongei na Mbwa ,nitaongea na Mwenye mbwa, Sasa Mbwa Kafa Kaja kuongea na nani sijui [emoji23][emoji23]
Hakika kabisa yaan mweeehTutarudi kuleeeee,unanijua mm,ongea na vijana wako hapa naona wananisumbua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona sasa hivi lakini, mabua tunakula!Wataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje!
Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi. Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi
Wewe lazima boi wa Manji!!! Amekuharibu.Acha mawazo ya kijinga.Kila ukimuona mzungu unadhani hajambi. Badilika.
Wewe unafanya nini ktk maisha yako?
Una chuki binafsi,ina maana wewe unalipa kodi zote?
Wacha aje azungushe pesa,na atoe ajira kwa maelfu.Wataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje!
Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi. Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi
Makonda ,anasemaje?Nikikumbuka Tambo za bwana Manji kipind ametajwa na Makonda kama Drug dealer, hapo ndo napata uhakika kuwa vyombo vya dola vina nguvu kuliko pesa ya MTU hasa vikifanya kazi kizalendo. Wakati wa kesi zake alitia huruma sana huyu boss. Mwenye picha yake tafadhali naomba.
Serikali yenye Watumishi Wazalendo ina nguvu kuliko matajili au wenye pesa walio na ujanja ujanjaNikikumbuka Tambo za bwana Manji kipind ametajwa na Makonda kama Drug dealer, hapo ndo napata uhakika kuwa vyombo vya dola vina nguvu kuliko pesa ya MTU hasa vikifanya kazi kizalendo. Wakati wa kesi zake alitia huruma sana huyu boss. Mwenye picha yake tafadhali naomba.