Yusuf Manji arejea Tanzania

Yusuf Manji arejea Tanzania

Wataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje!

Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi. Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi
Na hakuna anaependa kuhama nchi yake
 
Wataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje!

Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi. Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi

Ebu jitaidi kusoma theory ya uchumi wa Taifa ndio utajua umuhimu wa matajiri katika nchi…. Hivi unajua ni familia ngapi zimetaabika kwa kukosekana Manji nchini??
 
Wajenge ili tupore tena tuwape 'Msajili'?

1960s tuliwapora nyumba walizojenga kwa kisingizio Wanyonyaji

2016~2020 tukahamia kupora fedha zao Bank kwa kisingizo wakwepa kodi

Alafu hawa jamaa uwa hawajengi nyumba za kuishi, labda huko dar. Zaidi Uwa wanafakamia nyumba za msajili
 
Ebu jitaidi kusoma theory ya uchumi wa Taifa ndio utajua umuhimu wa matajiri katika nchi…. Hivi unajua ni familia ngapi zimetaabika kwa kukosekana Manji nchini??
Mtu yeyote anayetajirika kwa ujanjaujanja haleti maendeleo nchini bali umaskini!! Manji haleti fedha za kuwekeza bali anakwenda kukopa hela zenu mlizoweka benki ndio anazizungusha halafu mwisho wa siku halipi madeni benki na nyie mliowekeza huko CRDB mwisho wa mwaka mnaambia benki haikupata faida hivyo hampati gawio sababu mikopo ya wakina Manji imekuwa chefu chefu na benki faida yake ni kiduchu!!
 
Wataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje!

Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi. Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi
Sasa waKati alipoondoka akaacha kufanyabiashara ww ulifaidikaje?
Na wakati huu amerudi ww utapungukiwa na nini au utaongeza nini kwako?
 
Pabaya wapi, Wengi wa Watanzania walishazoea Kula chakula cha kutupiwa kama mbwa, na wanaowatupia chakula hicho ndio hao mnaowatetea leo!!

Shida ni uvivu na kukosa uchungu wa kwanini ulizaliwa Tz na upo Tz ili iwe nini, wengi hawaelewi, ispokuwa wanafurahia tu kuwepo Tz pasina kuelewa Ni kivipi kwenye nchi za wengine mtu akiwa mkwepa Kodi Adhabu yake huwa ni kubwa na kali Sana,

Tofauti na Hapa kwetu, mtu akiwa mkwepa Kodi, atayemfuatilia alipe Kodi ataonekana ndiye hafai na ananyanyasa watu

Nchi yangu ya ajabuu sana
Umeongea ukweli Waafrika na watanzania kwa ujumla hatuna malengo ya pamoja kama watu weusi kufanya maendeleo tumeamua kuwa chawa
 
Sasa waKati alipoondoka akaacha kufanyabiashara ww ulifaidikaje?
Na wakati huu amerudi ww utapungukiwa na nini au utaongeza nini kwako?
Mimi sio kama wewe unaedanganywa eti mfadhili wa YANGA hivyo mumtetemekee nyie maboya; hamjui kuwa anawatumia kwa faida zake na nyinyi mnaambulia BIG GEE tu!!!
 
Pabaya wapi, Wengi wa Watanzania walishazoea Kula chakula cha kutupiwa kama mbwa, na wanaowatupia chakula hicho ndio hao mnaowatetea leo!!

Shida ni uvivu na kukosa uchungu wa kwanini ulizaliwa Tz na upo Tz ili iwe nini, wengi hawaelewi, ispokuwa wanafurahia tu kuwepo Tz pasina kuelewa Ni kivipi kwenye nchi za wengine mtu akiwa mkwepa Kodi Adhabu yake huwa ni kubwa na kali Sana,

Tofauti na Hapa kwetu, mtu akiwa mkwepa Kodi, atayemfuatilia alipe Kodi ataonekana ndiye hafai na ananyanyasa watu

Nchi yangu ya ajabuu sana
Hama uende Congo
 
Wanajifanya hawajui hilo..

Timu inaanza kujiunda upya... .

Ngoja tuone..

Hao ndio. wafadhiri wa Yanga na Vasco Dagama wao anaewabeba!!!! Kwa kuyathibiti madawa ya kulevya hakuna shaka Jiwe tutamkumbuka!!! Awamu hii hawana uthubutu wa kuwathibiti hawa si umeona wiki mbili zilizopita shehena ya HEROIN iliyokamatwa huko kusini; utafikiri wameambiwa waje nchi haina mwenyewe!!!

Rais lazima awe muangalifu na hao anaowaamini kuwa wanampa ushauri jinsi ya kutawala kwani ni wadau wa hizi biashara haramu!! Ndio hao hao watakaokimbilia kuja kukuomba uwaachie mara vyombo vya dola vitakapowakamata.
Haya tunayokuambia sio hypothetical bali yalikwisha tokea enzi ya mzee Ruksa. Kuna familia moja kutoka Mombasa Kenya walikamatwa wakisafirisha madawa ya kulevya hapa nchini. Waliokamatwa walikuwa International drug dealers ambao hivi sasa wamefungwa huko Marekani. Walivyotiwa mbaroni hawa jamaa wakawatumia watu waliokuwa karibu na Mzee Mwinyi na kufanikiwa kuwaombea wakaachiwa kimya kimya na uamuzi ule uliiweka nchi Katika kundi la enablers wa drug trafficking duniani ambayo alikuwa sifa mbaya sana.

Vyombo vya ulinzi na usalama viwe macho sana na kumlinda Rais na hawa watu wanaojifanya kumsaidia kumbe wana ajenda zao. Msimfiche Rais mwambieni ukweli ili kama kuamua afanye maamuzi akiwa na uelewa wa athali za maamuzi yake!
 
Kwa Shutuma zake nyingi na zisizovumilika namuomba Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan aamuru Kukamatwa upesi kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kisha Yusuf Manji awe Shahidi #1 wa yanayomsibu.

Kila nikikumbuka Tukio alilofanyiwa Manji wa Watu pale Kwake Sea View huku Paul Makonda akiratibu Zoezi zima hadi Manji Chozi la Uchungu kuntoka baada ya Pesa zake zaidi ya Bilioni 3 Kunyakuliwa na Gari lake la Thamani Mhusika kulichukua na Kujimilikisha na aliyelala Kimoja sasa Geita akibariki Krav Maga huwa naumia sana.

Yusuf Mehboob Manji usiogope Kuusema huu ukweli ambao najua hata Rafiki yako mkubwa Rais Mstaafu Mzee Kikwete pamoja na Mwanae Ridhwani ( ambao nao walidharauliwa sana na Makonda aliyokuwa RC wa Dar ) wanalijua hili ila waliogopa kusema kwa Baba yake wa Hiari yasije yakawakuta nao.

Najua yakianza Kufumuka ya Paul Makonda nina uhakika wote tutakubaliana kuwa alichokifanya Ole Sabaya ni cha Mtoto kama ni Viumbe wa Majini ( Baharini ) kwa Ufisadi, Uonevu na Ukatili Sabaya ni Papa ila Makonda ni Nyangumi.

Na ninashangaa kwanini hajakamatwa.
 
Back
Top Bottom