denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Bila kusubiri ripoti ya CAG nani kati yetu anaweza kuingia kwenye hizo ofisi zao ili kujua nini kinachoendelea?Hivi kweli nyie watu mlikuwa hamjui kabisaaa kwamba fedha za Serikali zinaibiwa kila siku na karibu kila idara? Yaani mpaka mmeletewa report ya CAG ndio mnakuja kwa kushangaa? Halafu mnataka sijui Katiba Mpya, sijui mfumo! Hizi Sheria zitawasaidiaje ikiwa nyie wenyewe hamuoni wala hamjui kama mlikuwa mnaibiwa!
Au unataka tupige ramli?!