Bila kusubiri ripoti ya CAG nani kati yetu anaweza kuingia kwenye hizo ofisi zao ili kujua nini kinachoendelea?Hivi kweli nyie watu mlikuwa hamjui kabisaaa kwamba fedha za Serikali zinaibiwa kila siku na karibu kila idara? Yaani mpaka mmeletewa report ya CAG ndio mnakuja kwa kushangaa? Halafu mnataka sijui Katiba Mpya, sijui mfumo! Hizi Sheria zitawasaidiaje ikiwa nyie wenyewe hamuoni wala hamjui kama mlikuwa mnaibiwa!
Ndio msimponze Samia maana alishaambiwa kuwa wazuri hawafi hivyo akae kwa kutulia ili aendelee kubaki kuwa mtu mzuri.Kumwambia Rais awashughulikie wezi sio kumfundisha kazi, ni kumkumbusha atimize wajibu wake kwasababu anaonekana amelala.
Huyu Makamba anataka Rais aachwe tu aendelee kuwatazama wezi kwasababu inawezekana nae ni mnufaika wa huo wizi kwa namna moja au nyingine.
Hako kazee siku hizi kamekuwa kama kalevi fulani tu.Ndio msimponze Samia maana alishaambiwa kuwa wazuri hawafi hivyo akae kwa kutulia ili aendelee kubaki kuwa mtu mzuri.
Umesahau Post zako Zinafutwa!?Mpuuzi wa karne ya 20 nchini Tanzania ni Yusuph Makamba!
Na CCM ielewe kwamba huyu mzee ni aina ya wale wanaoiharibia huko mitaani!
Huyu alishawahi kunukulowa akisema magufuli anawqpitisha wapinzani kwenye tanuru la moto.... wakati ule alikuwa mtu mwenye akili sana leo kawa mbaya chama cha wezi bhanaHuyu mzee kilaza sana wazee kama hawa ndio Magufuli aliwaweka pembeni
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app