Yusuph Makamba: Tusimfundishe Rais Samia kufanya kazi, hatumtendei haki

Bila kusubiri ripoti ya CAG nani kati yetu anaweza kuingia kwenye hizo ofisi zao ili kujua nini kinachoendelea?

Au unataka tupige ramli?!
 
Ndio msimponze Samia maana alishaambiwa kuwa wazuri hawafi hivyo akae kwa kutulia ili aendelee kubaki kuwa mtu mzuri.
 
Ye ni nani wa kutupangia? Ni haki yake kutoa maoni mzee wetu ila anapitiliza asidhani kuna watu wana hati miliki na nchi hii! Tunajua anahangaika sana kwa sababu ya maslahi yake…..
 
Report ya CAG imewavua nguo baadhi ya Mawaziri na wakuu wa taasisi mbalimbali.
-Taarifa imegusa baadhi ya watoto wa viongozi wa Chama na serikali waliostaafu,
-CAG apewe au aongezewe ulinzi,mafisadi wanajipanga.Asali ni tamu
 
Ni mwaka gani au hawamu ipi walikuwa na rais mbaya nawakajitokeza nakusema kuwa safari hii tumeuvaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…