Nakazia wa Tanga wanasema wao wana Tunu 4 wanazitambua Serikalini Ummy Mwalimu, February Marope, Mwana FA aka Mwijuma na ..............Ha haa. Makamba usiwe na shaka na ajira ya January. Endelea kula pensheni na kulea wajukuu kwa amani.
Imekufanya nini mkuu? Imekunyima ugali kisamvu ?Angalia sura yake
Haya maneno yasipuuzwe umemaanisha kitu cha msingi sana,Huyu Makamba anataka Rais aachwe tu aendelee kuwatazama wezi kwasababu inawezekana nae ni mnufaika wa huo wizi kwa namna moja au nyingine.
We Unaonaje ?Imekufanya nini mkuu? Imekunyima ugali kisamvu ?
Imekunyima Wali KukuWe Unaonaje ?
Huyu mzee mpuuzi.
Katiba mpya imeanza kudaiwa muda mrefu sana na upigaji na ubadhirifu ni miongoni mwa sababu kuu za watu kudai katiba mpya !! Kwa watanzania wengi Katiba mpya sio kwa ajili ya kupata Uongozi wa kisiasa !!Hivi kweli nyie watu mlikuwa hamjui kabisaaa kwamba fedha za Serikali zinaibiwa kila siku na karibu kila idara? Yaani mpaka mmeletewa report ya CAG ndio mnakuja kwa kushangaa? Halafu mnataka sijui Katiba Mpya, sijui mfumo! Hizi Sheria zitawasaidiaje ikiwa nyie wenyewe hamuoni wala hamjui kama mlikuwa mnaibiwa!
Kweri Mzee Makamba aka mramba asali....watu wazuri hawaafi kama Jiwe.Wakati serikali ya awamu ya sit chini ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu ikianza kuchukua hatua kutokana na mapungufu yaliyoainishwa katika ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)watu mbalimbali wametoa mitazamo yao ikiwemo Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuph Makamba anasema Rais Samia Suluhu asifundishwe kufanya kazi aachwe kwani tayari hatua alizochukua ni sahihi.
Ni vyema kumpa nafasi mkuu wa nchi afanye kazi, kwa kuwa hadi sasa kila mmoja ameona na kusikia kuhusu uwezo wake katika utendaji wa juu kwa namna anavyoisimamia serikali na nchi kwa utashi, usikivu na kuwa na uamuzi wenye tija kwa maslahi ya Taifa.
"Tusimfundishe namna ya kufanya kazi hatumtendei haki....niulize kwa haya yanayoendelea je kuna mwenye mashaka tena na uwezo wake hadi sasa? Rais Samia kwetu watanzania ni kiongozi bora anatosha na kwa CCM tunaamini ndicho chama bora, wakae watulie sasa.
"Muhimu tumuombee kwa kuwa ni kiongozi makini anayeamua mambo kwa busara, msikivu na anajua hapa niseme nini, nifanye nini, angeamua kukaa kimya kwa hii ripori kufanywaa kwa kificho tusingejua, lakini kutokana na uchungu alionao kwa nchi akiwa kiongozi anayejiamini ameweka wazi na anaendelea kuchukua hatua bila kumuonea mtu." -aliongezea Mzee Yusuph Makamba.
Katiba Mpya ni ya kulilia vyeo Wanasiasa ili ikibidi kila mtu awe na wabadhirifu wake. Kimsingi haya yoooote yangetakiwa kuingia kwenye Ilani, yaani tundulissu (mathalani) yeye awe na Ilani moja tu: KATIBA MPYA, wachana na mambo ya afya wala ushirika wala pembejeo; wewe jikite KATIBA MPYA TU na wala usimtukane Rais. Je, atashinda? Hawezi, ndiyo maana tundulissu amengangania maridhiano ili walau apate nusumkate kama wa Raila. Mkiwachekea wataingiza serkali za ikabila aka majimbo, au serkali tatu, au mashoga au diaspora kupiga kura.Katiba mpya imeanza kudaiwa muda mrefu sana na upigaji na ubadhirifu ni miongoni mwa sababu kuu za watu kudai katiba mpya !! Kwa watanzania wengi Katiba mpya sio kwa ajili ya kupata Uongozi wa kisiasa !!
Huyu mzee anadharau sana kama mwanaeKumwambia Rais awashughulikie wezi sio kumfundisha kazi, ni kumkumbusha atimize wajibu wake kwasababu anaonekana amelala.
Huyu Makamba anataka Rais aachwe tu aendelee kuwatazama wezi, kwasababu inawezekana nae ni mnufaika wa huo wizi kwa namna moja au nyingine.
Umeona eeeh, Kenya wana Katiba Mpya yalotokea ni kielelezo tosha kuwa Katiba sio solution bali nia, dhamira na Utashi wa Watu. Afrika hakuna Upinzani bali kuna Ukinzani - Mbona Pangu pakavu?Katiba Mpya ni ya kulilia vyeo Wanasiasa ili ikibidi kila mtu awe na wabadhirifu wake. Kimsingi haya yoooote yangetakiwa kuingia kwenye Ilani, yaani tundulissu (mathalani) yeye awe na Ilani moja tu: KATIBA MPYA, wachana na mambo ya afya wala ushirika wala pembejeo; wewe jikite KATIBA MPYA TU na wala usimtukane Rais. Je, atashinda? Hawezi, ndiyo maana tundulissu amengangania maridhiano ili walau apate nusumkate kama wa Raila. Mkiwachekea wataingiza serkali za ikabila aka majimbo, au serkali tatu, au mashoga au diaspora kupiga kura.
Kuiba tunajua wanaiba, wengi hawakutegemea jinsi ya wizi ulivyo mkubwa kiasi hiki.Hivi kweli nyie watu mlikuwa hamjui kabisaaa kwamba fedha za Serikali zinaibiwa kila siku na karibu kila idara? Yaani mpaka mmeletewa report ya CAG ndio mnakuja kwa kushangaa? Halafu mnataka sijui Katiba Mpya, sijui mfumo! Hizi Sheria zitawasaidiaje ikiwa nyie wenyewe hamuoni wala hamjui kama mlikuwa mnaibiwa!
Maoni uchwara ya mtu mwema ambaye hatakufa!!Wakati serikali ya awamu ya sit chini ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu ikianza kuchukua hatua kutokana na mapungufu yaliyoainishwa katika ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)watu mbalimbali wametoa mitazamo yao ikiwemo Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuph Makamba anasema Rais Samia Suluhu asifundishwe kufanya kazi aachwe kwani tayari hatua alizochukua ni sahihi.
Ni vyema kumpa nafasi mkuu wa nchi afanye kazi, kwa kuwa hadi sasa kila mmoja ameona na kusikia kuhusu uwezo wake katika utendaji wa juu kwa namna anavyoisimamia serikali na nchi kwa utashi, usikivu na kuwa na uamuzi wenye tija kwa maslahi ya Taifa.
"Tusimfundishe namna ya kufanya kazi hatumtendei haki....niulize kwa haya yanayoendelea je kuna mwenye mashaka tena na uwezo wake hadi sasa? Rais Samia kwetu watanzania ni kiongozi bora anatosha na kwa CCM tunaamini ndicho chama bora, wakae watulie sasa.
"Muhimu tumuombee kwa kuwa ni kiongozi makini anayeamua mambo kwa busara, msikivu na anajua hapa niseme nini, nifanye nini, angeamua kukaa kimya kwa hii ripori kufanywaa kwa kificho tusingejua, lakini kutokana na uchungu alionao kwa nchi akiwa kiongozi anayejiamini ameweka wazi na anaendelea kuchukua hatua bila kumuonea mtu." -aliongezea Mzee Yusuph Makamba.
Tulia wewe!
....Mzee Kanenepa.