Yusuph Makamba: Tusimfundishe Rais Samia kufanya kazi, hatumtendei haki

Mtumba huachi huo mshezigho wa CCM?
Eka nao huo.
 
Japo anaweza kuwa na pwenti, kwa nimjuavyo Makamba, ni mchumia tumbo na fisadi kama Kinana na wenzake
 
Tulia wewe!
Ungemwambia yule mtu wenu mkurupukaji asiye na akili Wala busara atulie ndio ingeleta maana Ili Nchi ipone.

Unafuta retention license za investors wakati tayari walisha commit funds kwenye exploration ya Madini matokeo ya kukurupuka ndio haya Sasa na uzuri yote haya yalianza while he was alive and counting..

Of course Tanzania ilipata hasara kubwa sana miaka ya Mwendazake.
 
Chawa anayepigania nafasi ya January
 
Duh 🙄 !
 
Huyu mzee Atakufa Lini ?
 
Mmh !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…