Tetesi: Zaidi ya wanawake 1500 wapo Dar es salaam kumpongeza Rais Samia Machi 19, 2023. Hawana nauli za kurudi nyumbani na hawajui wale/walale wapi

Tetesi: Zaidi ya wanawake 1500 wapo Dar es salaam kumpongeza Rais Samia Machi 19, 2023. Hawana nauli za kurudi nyumbani na hawajui wale/walale wapi

Njoo kwenye hoja.
Leo kumetokea kituko Dar. Kuna wanawake zaidi ya 1,500 wamewasili Dar kutokea mikoa yote ya Tanzania. Nia ya wao kuja Dar ni Ili waweze kukutana Kesho asubuhi hadi saa nane Mchana Ili kumpongeza mama Samia.

Kwa masikitiko makubwa na huzuni kubwa wamama hao wamelipa nauli kwa fedha za mifukoni mwao wakitarajia kuwa watakuja kurejesha fedha walizotumia kusafiria.

1. Kituko kimeanza baada ya wao kukosa pa kulala wakitarajia kuwa wangekuwa wameandaliwa Maeneo au hotel za kulala. Kilichotokea hawajarejeshewa fedha za nauli za kuja Dar.

2. Hawajui watapata wapi nauli za kurudi makao mikoani.
3. Hawana mahali pa kulala.
4. Hawana uwezo wa kununua vyakula mahotelini.
5. Wengi wameamua kuondoka Kesho Jioni kurudi mikoani baada ya kutoka uwanja wa Taifa saa nane Mchana kwa Wale wachache wenye uwezo.
6. Kesho jumapili Mchana haijulikani watakuwa wapi.
7. Kuhudhuria kongamano hilo masharti ni lazima ununue kitenge 20,000 na kukishona kwa Gharama zako mwenyewe na wote wana sare ya kitenge cha Rais.

8. Wanawake wengine wamekuja na Watoto wadogo ambao wananyonyesha.
9. Wabunge wa ccm wanakotokea Viongozi wa UWT wamegoma Hata kuwachangiachakula, makazi na Usafiri Kwa mantiki kwamba maza anajipongeza mwenyewe na amealika na Bawacha.
10. Zaidi ya Wanawake 110 waliotokea Tarime mkoa wa Mara nauli ni 70,000 kila mmoja kwenda Dar tu, Bado kulala 50,000 na chakula Bado kurudi na walidanganywa na CCM kuwa watalipiwa Kila kitu imekuwa kinyume chake.

11. Wanawake wamekuwa frastrated kwa sababu kuna walioondoka tar 18.3.2023 kuelekea Dodoma Kwa nauli zao, kuna walioelekea Dar uwanja wa Taifa kwa nauli zao the same day, Pia Leo tar 19.3.2023 kuna kundi lililokuja Dar uwanja wa Taifa kwa nauli zao na Kesho wanakwenda Dodoma kwa nauli zao kuonana na tulio tangulia Dodoma.

Wenyeviti wa UWT mikoa yote mungu anawaona. Mama Samia wamama wenzako wako Dar kukufuata kukupongeza ila wamelala uwanja wa Taifa na hawajala na hawajui Kesho watakuwa wapi na watasafi vipi kurudi makwao.

HABARI HIZI UNAZO?KAMA UNAZO OKA WAKINAMAMA HAWA KUEPUSHA LAANA YA WATU WASIO NA HATIA
weka kapicha
 
Hahahah kwahio uliwatafuna sana eeh maana naskia Japan watu wako busy sana hadi wanasahau kupigana miti. 🤣🤣🤣
Usimwambie mwanamke wa kijapani maneno haya "Anata wa totemo utsukushi desu". Hapo unakuawa umelazimisha maongezi ambayo baadaye atakuuliza walichokuwa wanaita wakati huo Love Hotel. Ila wanawake wa kijapani waliwakuwa hawatoi hata senti moja wakishaamuwa kuwa wako; utalazimiak kulipia chakula na gharama zote wewe mwenyewe. Ukiwaingilia kichwa kichwa utarudi nyumbani bila kuwa hata na Corolla!
 
Njoo kwenye hoja.
Leo kumetokea kituko Dar. Kuna wanawake zaidi ya 1,500 wamewasili Dar kutokea mikoa yote ya Tanzania. Nia ya wao kuja Dar ni Ili waweze kukutana Kesho asubuhi hadi saa nane Mchana Ili kumpongeza mama Samia.

Kwa masikitiko makubwa na huzuni kubwa wamama hao wamelipa nauli kwa fedha za mifukoni mwao wakitarajia kuwa watakuja kurejesha fedha walizotumia kusafiria.

1. Kituko kimeanza baada ya wao kukosa pa kulala wakitarajia kuwa wangekuwa wameandaliwa Maeneo au hotel za kulala. Kilichotokea hawajarejeshewa fedha za nauli za kuja Dar.

2. Hawajui watapata wapi nauli za kurudi makao mikoani.
3. Hawana mahali pa kulala.
4. Hawana uwezo wa kununua vyakula mahotelini.
5. Wengi wameamua kuondoka Kesho Jioni kurudi mikoani baada ya kutoka uwanja wa Taifa saa nane Mchana kwa Wale wachache wenye uwezo.
6. Kesho jumapili Mchana haijulikani watakuwa wapi.
7. Kuhudhuria kongamano hilo masharti ni lazima ununue kitenge 20,000 na kukishona kwa Gharama zako mwenyewe na wote wana sare ya kitenge cha Rais.

8. Wanawake wengine wamekuja na Watoto wadogo ambao wananyonyesha.
9. Wabunge wa ccm wanakotokea Viongozi wa UWT wamegoma Hata kuwachangiachakula, makazi na Usafiri Kwa mantiki kwamba maza anajipongeza mwenyewe na amealika na Bawacha.
10. Zaidi ya Wanawake 110 waliotokea Tarime mkoa wa Mara nauli ni 70,000 kila mmoja kwenda Dar tu, Bado kulala 50,000 na chakula Bado kurudi na walidanganywa na CCM kuwa watalipiwa Kila kitu imekuwa kinyume chake.

11. Wanawake wamekuwa frastrated kwa sababu kuna walioondoka tar 18.3.2023 kuelekea Dodoma Kwa nauli zao, kuna walioelekea Dar uwanja wa Taifa kwa nauli zao the same day, Pia Leo tar 19.3.2023 kuna kundi lililokuja Dar uwanja wa Taifa kwa nauli zao na Kesho wanakwenda Dodoma kwa nauli zao kuonana na tulio tangulia Dodoma.

Wenyeviti wa UWT mikoa yote mungu anawaona. Mama Samia wamama wenzako wako Dar kukufuata kukupongeza ila wamelala uwanja wa Taifa na hawajala na hawajui Kesho watakuwa wapi na watasafi vipi kurudi makwao.

HABARI HIZI UNAZO?KAMA UNAZO OKA WAKINAMAMA HAWA KUEPUSHA LAANA YA WATU WASIO NA HATIA

A.k.a wamekuja without a plan? Pathetic kwakweli
 
Usimwambie mwanamke wa kijapani maneno haya "Anata wa totemo utsukushi desu". Hapo unakuawa umelazimisha maongezi ambayo baadaye atakuuliza walichokuwa wanaita wakati huo Love Hotel. Ila wanawake wa kijapani waliwakuwa hawatoi hata senti moja wakishaamuwa kuwa wako; utalazimiak kulipia chakula na gharama zote wewe mwenyewe. Ukiwaingilia kichwa kichwa utarudi nyumbani bila kuwa hata na Corolla!
Hahahahahah hao hawafai, mbunye za blessing hamna huko zote zina invoice? 🤣
 
Usimambie mwanamke wa kijapani maneno haya "Anata wa totemo utsukushi desu". Hapo unakuawa umelazimisha maongezi ambayo baadaye atakuuliza walichokuwa wanaita wakato huo Love Hotel. Ila wanawake wa kijapani waliwakuwa hawatoi hata senti moja wakishaamuwa kuwa wako; utalazimiak kulipia chakula na gharama zote wewe mwenyewe. Ukiwaingilia kichwa kichwa utarudi nyumbani bila kuwa hata na Corolla!

aisee mkuu mzee wangu aliishu japan miaka 3 akifanya kazi scrapyard maeneo mbali mbali nchini japan.mara ya kwanza alipelekwa na kampuni ya magari nchini zambia ila badae akapata konnections akaajiliwa kulekule wakti huo mimi nasoma.

Ngepost picha zake wakati yuko huko, ila si busara maana ni faragha kwake.

nafurahi kuona na ww uko na uzoefu, ngepata namba yako ngemtumia ili mubonge mawili matatu kuhusu japan.
 
NABAKI AFRIKA LTD.
Kuna binti mmoja nilikutana naye kwenye night club siku ya mwaka mpya nikiwa peke yangu siku zangu za mwisho mwisho ikiwa imebaki miezi miotatu tu nirudi nyumbani; nikamsifikia, basi ikawa nongwa. Kumbe alikuwa hakai Tokyo bali alikuwa anaishi Fukuoka, mbali sana na Tokyo. Kwa vile alikuwa pale na alikuwa ameshapanga chumba cha hoteli siku hiyo, akanikaribisha chumbani kwake mpaka asubuhi. Sasa aliporudi Fukuoka, kila jumamosi akawa anarudi tena Tokyo kwa air ticket yake ila hotel bills ziwe kwangu. Iliniudhi sana kwa vile nilikuwa najaribu kujaza container la kurudi nalo bongo na hayo matumizi ya kufurahisha chini niliwa sina interest nayo sana ila uume ukanipinguzia kidogo. Ningeweza kurudi na magari labda matatu wakati huo lakini nilirudi na mawili tu; wakati mwingine nadhani ni kwa sababu ya usumbufu huo kwani ulinikosesasha sana muda wa kufanya shopping za auto dealers na shippers siku za weekend.
 
Kuna binti mmoja nilikutana naye kwenye night club siku ya mwaka mpya nikiwa peke yangu siku zangu za mwisho mwisho ikiwa imebaki miezi miotatu tu nirudi nyumbani; nikamsifikia, basi ikawa nongwa. Kumbe alikuwa hakai Tokyo bali alikuwa anaishi Fukuoka, mbali sana na Tokyo. Kwa vile alikuwa pale na alikuwa ameshapanga chumba cha hoteli siku hiyo, akanikaribisha chumbani kwake mpaka asubuhi. Sasa aliporudi Fukuoka, kila jumamosi akawa anarudi tena Tokyo kwa air ticket yake ila hotel bills ziwe kwangu. Iliniudhi sana kwa vile nilikuwa najaribu kujaza container la kurudi nalo bongo na hayo matumizi ya kufurahisha chini niliwa sina interest nayo sana ila uume ukanipinguzia kidogo. Ningeweza kurudi na magari labda matatu wakati huo lakini nilirudi na mawili tu; wakati mwingine nadhani ni kwa sababu ya usumbufu huo kwani ulinikosesasha sana muda wa kufanya shopping za auto dealers na shippers siku za weekend.
Dah unyama sana, sema wakoje kwenye upande wa burudani? Wana vibe sana kama wa huku uzaramuni? 🤣
 
Njoo kwenye hoja.
Leo kumetokea kituko Dar. Kuna wanawake zaidi ya 1,500 wamewasili Dar kutokea mikoa yote ya Tanzania. Nia ya wao kuja Dar ni Ili waweze kukutana Kesho asubuhi hadi saa nane Mchana Ili kumpongeza mama Samia.

Kwa masikitiko makubwa na huzuni kubwa wamama hao wamelipa nauli kwa fedha za mifukoni mwao wakitarajia kuwa watakuja kurejesha fedha walizotumia kusafiria.

1. Kituko kimeanza baada ya wao kukosa pa kulala wakitarajia kuwa wangekuwa wameandaliwa Maeneo au hotel za kulala. Kilichotokea hawajarejeshewa fedha za nauli za kuja Dar.

2. Hawajui watapata wapi nauli za kurudi makao mikoani.
3. Hawana mahali pa kulala.
4. Hawana uwezo wa kununua vyakula mahotelini.
5. Wengi wameamua kuondoka Kesho Jioni kurudi mikoani baada ya kutoka uwanja wa Taifa saa nane Mchana kwa Wale wachache wenye uwezo.
6. Kesho jumapili Mchana haijulikani watakuwa wapi.
7. Kuhudhuria kongamano hilo masharti ni lazima ununue kitenge 20,000 na kukishona kwa Gharama zako mwenyewe na wote wana sare ya kitenge cha Rais.

8. Wanawake wengine wamekuja na Watoto wadogo ambao wananyonyesha.
9. Wabunge wa ccm wanakotokea Viongozi wa UWT wamegoma Hata kuwachangiachakula, makazi na Usafiri Kwa mantiki kwamba maza anajipongeza mwenyewe na amealika na Bawacha.
10. Zaidi ya Wanawake 110 waliotokea Tarime mkoa wa Mara nauli ni 70,000 kila mmoja kwenda Dar tu, Bado kulala 50,000 na chakula Bado kurudi na walidanganywa na CCM kuwa watalipiwa Kila kitu imekuwa kinyume chake.

11. Wanawake wamekuwa frastrated kwa sababu kuna walioondoka tar 18.3.2023 kuelekea Dodoma Kwa nauli zao, kuna walioelekea Dar uwanja wa Taifa kwa nauli zao the same day, Pia Leo tar 19.3.2023 kuna kundi lililokuja Dar uwanja wa Taifa kwa nauli zao na Kesho wanakwenda Dodoma kwa nauli zao kuonana na tulio tangulia Dodoma.

Wenyeviti wa UWT mikoa yote mungu anawaona. Mama Samia wamama wenzako wako Dar kukufuata kukupongeza ila wamelala uwanja wa Taifa na hawajala na hawajui Kesho watakuwa wapi na watasafi vipi kurudi makwao.

HABARI HIZI UNAZO?KAMA UNAZO OKA WAKINAMAMA HAWA KUEPUSHA LAANA YA WATU WASIO NA HATIA
Uhuni ndio unatawala. Chawa ni viumbe wabaya tu. Kuna wamepiga hela kwa kuwalaghai hao kina mama au kufanya uchawa..ujinga tu.
Wanaleta uanaharakati kwenye urais ndio maana urais wa mama umejaa makandokando.
 
Back
Top Bottom