Kwasababu gani?Sio kupinga acknowledge ya TFF kuhusu kucheza fainali. Bali nachopinga mimi ni kwamba ulichokisema wewe ni kwamba umemnukuu raisi wa TFF akisema kuwa Yanga imekuwa timu ya pili kucheza michuano ya kombe la shirikisho CAF ni Kitu ambacho sio sahih, kwa Tanzania, Yanga ndo timu pekee iliyocheza fainali ya kombe la shirikisho Caf
Ilicheza na timu gani?Hahaha, watu wanaumia sana lakini hakuna namna. Yanga imeanzishwa mwaka gani? Je ilikua haichezi ligi mpaka 1965? Jijibu hilo kwanza.
Ila Simba eleweni sisi Yanga ni wakubwa wenu, mabingwa wa kihistoria, tumechukua ubingwa wa ligi kuu mara nyingi na tumewafunga mara nyingi zaidi. Stop trying to divert from the reality, pambameni maana mnayo miaka ya kutosha kuifuta hiyo, na mnaweza mkashindwa kuifuta hiyo historia pia.
..and conceals what is crucialHii imeendaa 🤣😂🤣
SababuKwasababu gani?
Kwasababu ya jina la michuano kutambulishwa rasmi 2004 baada ya kuunganisha mashindano mawili?
Sasa vilitumika vigezo gani kuunganisha hilo shindano kuunda CAF Confederation Cup?Sababu
1) muundo wa caf cup haukufanana na caf confederation cup
2) hadhi ya mashindano ya caf cup haikuwa sawa sawa na caf confederation cup ( haikuwa mashindano ya pili ya ukubwa ngazi ya vilabu na ndio maana mshindi hakuwa akicheza ufunguzi wa msimu mpya wa interclub championship.
Mtibwa 1999 na 2000Prison haijawahi kubeba Ligi kuu, hapo aseme Mtibwa Sugar
Namba hazidanganyi ila zinapotoshaUnajua kwenye masuala ya takwimu ukiwa mjanja unaweza kuzitumia unavyotaka wewe kwa manufaa yako na kwa kiasi fulani ukawa sahihi ingawa ndani yake umefanya udanganyifu kwa kuacha data fulani.
Kipindi kile Yanga wanajigamba kwa rekodi za unbeaten, walipokumbushwa mbona mmefungwa mashindnao ya CAF, piw na Vipers, wakasema ooh tunahesabu mashindano ya ndani tu.
Kuna msemo mmoja kuhusu takwimu nikiukumbuka nitauleta.
African Sports haikuwahi kuchukua ubingwa wa ligi ?Huyu jamaa anawaita wenzake Changamoto wakati yeye mwenyewe ni changamoto.
Nimepita kwa sekunde 4 tu kaba sijaanza kuisoma tayari nimeona data ambazo sizo, naamini nikipata muda wa kusoma huenda nikaona zaidi taarifa ambazo zisizo.
Mwaka 1986 bingwa hakuwa Majimaji bali Tukuyu Stars.
1999 na 2000mtibwa hajawekwa, kwa kumbukumbu zangu amewahi kuwa bingwa miaka ya kati ya 2000-2010 hapa, sikumbuki vizuri mwaka
Mwaka 1988 walibeba taji la Ubingwa wa Ligi daraja la kwanza Tanzania Bara na lile la ligi ya MuunganoAfrican Sports haikuwahi kuchukua ubingwa wa ligi ?
Mtibwa alichukua ubingwa 1999 na 2000Hizi data sio za kweli
Majimaji,Mtibwa,Prison,Coastal ,Azam zimechukua ubingwa mara moja moja tu na hakuna timu ya Zanzibar iliyochukua ubingwa wa bara 1993 Yanga ndio alikuwa Bingwa akaenda Uganda kuchukua kombe la Africa Mashariki
kombe la shirikisho limeanzishwa miaka ya 2000+ baada ya kuunganisha mashindano mawili ya cup winners na caf cupSio kupinga acknowledge ya TFF kuhusu kucheza fainali. Bali nachopinga mimi ni kwamba ulichokisema wewe ni kwamba umemnukuu raisi wa TFF akisema kuwa Yanga imekuwa timu ya pili kucheza michuano ya kombe la shirikisho CAF ni Kitu ambacho sio sahih, kwa Tanzania, Yanga ndo timu pekee iliyocheza fainali ya kombe la shirikisho Caf
Halafu huyu majimaji mwaka 98 hakuchukua muuongano kweli?Kwanza hizo takwimu Tu zina makosa kama ulivotaja.. Tukuyu stars na mtibwa hazijaorodheshwa ina maana tayari hoja yake haijitoshelezi lakini pia Yanga na Simba zimeanza miaka ya 1930's je, hiyo miaka hakukua na ligi Hadi huo mwaka 1965?? Tuanzie hapo.. kama hakukua na ligi Sawa lakini kama zilikuepo basi zaka anataka kutupotezea muda
CAF wanaleta kizungu zungu mashindano yanaunganishwa aje? waseme yalifutwa lika anzishwa shindano jipyakombe la shirikisho limeanzishwa miaka ya 2000+ baada ya kuunganisha mashindano mawili ya cup winners na caf cup
yaliunganishwa kwa sababu washiriki wa caf cup na wale wa winners cup wote wanashiriki confederation cup.....CAF wanaleta kizungu zungu mashindano yanaunganishwa aje? waseme yalifutwa lika anzishwa shindano jipya
Na kama sikosei mtibwa alichukua back to back Enzo za Alina Alphonse modest, mercky mexime na abdalah jumaHapo kwenye list ya mabingwa ya Zakazakazi kuna Tukuyu stars na Mtibwa ambao wamesahaulika
Mfano wako umejikita kwenye association 12 tu umeacha association zaidi ya 40 ambapo mshindi wa pili hachezi klabu bingwa na hana kigezo cha kucheza mashindano ya CAF labda itokee bingwa wa ligi kuu awe ndio bingwa wa FA. na hapo hapo kuna kuna association zingine ikitokea mazingira kama hayo hawamchukui 2nd team kwenye ligi kuu bali wanamchukua runner up wa FAyaliunganishwa kwa sababu washiriki wa caf cup na wale wa winners cup wote wanashiriki confederation cup.....
mfano kwa tanzania, (tanganyika)
Champions league anaenda bingwa wa ligi,
Winners Cup anaenda bingwa wa ASFC,
CAF Cup anaenda alieshika nafasi ya pili kwenye ligi (kama hajawa bingwa wa ASFC, otherwise wa nafasi ya 3 kwenye ligi)
kwenye muundo mpya
Bingwa na 2nd team kwenye ligi wanaenda CL,..
3rd team na bingwa wa ASFC wanaenda CC....
mpk hapo utagundua waliunganisha winners na CAF cup