Zama za Kikwete tulikuwa naye Ridhiwani, Zama za Magufuli ni Makonda, zama hizi nani ndiye mtoto pendwa wa Chamwino?

Msomali a.k.a basha
 
Hon Freeman MBbowe. ukitaka teuzi cheki naye sasa hivi mwambie tu aina ya uteuzi unaotaka, wilaya ama mkoa gani ama taaisisi gani ya serikali unahitaji. Mimi nilichonga naye wamenileta Huku handeni napambana halmshauri
 
Mbowe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…