Zambia na Congo zaanza kutafuta njia mbadala kusafirisha mizigo yao

Zambia na Congo zaanza kutafuta njia mbadala kusafirisha mizigo yao

Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.

Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!

Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Lobito ilikuwepo hata kabla ya Tazara, tatizo la Lobito ilikuwa Vita, vita ya wenyewe kwa wenyewe kule Angola ndiyo ilifanya disruption. Kwa hiyo usidanganye ati Lobito imeanza leo. Wachina hao hao waliojenga Tazara wamefanya repair ya Lobito railway.

Kuhusu DPW, sisi sote tunajua umuhimu wa uwekezaji, baadhi ya wenzetu wengi wanataka mkataba uboreshwe, sasa kuna ubaya gani kama kuna stakeholders (wananchi) wanataka mkataba uboreshwe sasa kuna tatizo gani hapo?
 
Hao watu wachache ni wapi,mpaka Rais na Serikali yake washindwe kuwadhibiti?.Sasa kuna maana gani ya MTU kuwa Rais halafu watu wanachezea nyenzo za uchumi unawaangalia?
Kwa nini upeleke lawama zako kwa hao watu wachache na sio aliyopewa dhamana ya kusimamia?
Anawapa uhuru ila msijambe sana.
 
Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.

Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!

Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Acha uongo, Zambia na Congo kuacha kutumia bandari ya Dar es salaama na kuhamia keingineko kamaNamibia au South Africa garama ni kubea mno zaidi ya mara 2 n hii ni kutokana na umbali ndio maana hata wakijaribu bado haiwezekani.

Kwani wao Zambi na Congo wamesema hawataki watanzania kuendesha bandari na wanawataka DPW ndio waendeshe bandari?

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.

Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!

Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Tumekusikia waziri mbawaza. Lakini mbona bandari ya Zanzibar haiuzwi/haibinafsishwi?
 
Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.

Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!

Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Kama hao unaowasema ni wajinga, basi wewe utakuwa punguani au mwendawazimu. Maana huelewi hata kinachosababisha bandari ikose ufanisi.
 
Watafute tuuu, huwez kuuza bandari kisa Una mamlaka, hiyo haipo, alaf bandari ni Kwa ajili ya Watanzania Kwanza then hao jamaa wengine badae..!!
Wapi imeuzwa au elimu ndogo?

TICTS ame-operates miaka kibao je ilikuwa imeuzwa?
 
Weka hapa hiyo mikataba iliyosiniwa huko kwingine unakokuongelea
Sina ujinga huo kwani wewe huwezi tafuta? Mbona DP World alikoshindana na wengine mumepata? Tafuta na anako operate mtaijua..

Mwisho nawakumbusha tuu,angalia umbali wa Dar- Lusaka na Dar-Lubumbashi vs Umbali wa Beira-Lusaka/Lubumbashi,Kusaka-Wolves Bay au Lusaka-Lobito likewise Lubumbashi..

Ni hivi tukicheza vibaya ndani ya miaka 10 ijayo zaidi ya nusu ya mizigo ya Zambia na DRC tutaipoteza.
 
Muwe mnaelewa hoja! Hakuna anayepinga uwekezaji wala uboreshaji wa Bandari ili kuleta ufanisi!

Hiyo haihalalishi kugawa Bandari zetu na kuingia ktk mikataba ya Kimangungo!
Kuelewa hoja, ni lazima uwe na akili timamu. Wewe umeona, miongoni mwa hawa makuwadi wa DP, kuna mtu mwenye utimamu wa akili? Huoni wote ni short sighted?
 
Ona huyu nyumbu,si ajabu mtoa mada amewaita wajinga..

Sasa Kwa taarifa Yako tuu ni kwamba Angola inaendelea na upanuzi mkubwa wa Bandari yake ya Lobito ambayo ni route fupi kufika Zambia kuliko Dar.
Pili Msumbiji inaendelea na maboresho ya miundombinu ya usafirishaji ambayo itawezesha Bandari yake kutumika zaidi na DRC Congo upande wa Lubumbashi ambayo nusu ya mizigo inakwenda huko kutoka Dar Port..

Ukiacha hayo Zambia wanajenga bomba la mafuta kutoka Angola na kutoka Namibia Ili mafuta yote yapitie Kwa bomba Sasa tankers zenu tafuteni kazi ya kufanya..

Hii ni Dunia ya ushindani na ujinga mliojilisha kudhani eti Tanzania haiepukiki mnajidanganya sana bwashee..

Muda ni Mwalimu mzuri,endeleeni na habari za ujamaa mbuzi.
We mtu ngumbaru hiyo bandari hapo haitegemei hizo nchi,hizo nchi zinategemea hiyo bandari,
Wanaweza kutotumia hata kesho ila mzigo utateremka km kawaida uende mahali pake.
Huko mnataja hakukua na bandari?
Zipo maisha
 
Back
Top Bottom