Mwanasiasa mtata
JF-Expert Member
- Oct 25, 2022
- 1,520
- 3,781
Apewe mtu yoyote lakini si kwa mkataba wa kisenge namna hiiMnapigia kelele eti Serikali isimpe private operator na hasa Waarabu Sasa sijui mnamaanisha nini..
Mwisho nawakumbusha tuu bila Zambia na DR Congo ,Dar Port ni tembo mweupe la sivyo tukuze sana uchumi wa ndani.
Lobito ilikuwepo hata kabla ya Tazara, tatizo la Lobito ilikuwa Vita, vita ya wenyewe kwa wenyewe kule Angola ndiyo ilifanya disruption. Kwa hiyo usidanganye ati Lobito imeanza leo. Wachina hao hao waliojenga Tazara wamefanya repair ya Lobito railway.Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.
Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!
Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Shida wanafwata mkumboMshamba mmoja wa nanjilinji huko hata bahari haifahamu
Kumpa mwekezaji kumiliki bandali zetu zote milele na kutokuweza kujitoa kwenye mkataba tutakapo ona mambo hayaendi sawa kama tulivyokubalianaMkataba una upumbavu gani?
Kote huko Duniani mikataba ni ya kisenge hivyo hivyo so ni Aisha muache mkomae na upuuzi wenu au Apewe hivyo hivyoApewe mtu yoyote lakini si kwa mkataba wa kisenge namna hii
Anawapa uhuru ila msijambe sana.Hao watu wachache ni wapi,mpaka Rais na Serikali yake washindwe kuwadhibiti?.Sasa kuna maana gani ya MTU kuwa Rais halafu watu wanachezea nyenzo za uchumi unawaangalia?
Kwa nini upeleke lawama zako kwa hao watu wachache na sio aliyopewa dhamana ya kusimamia?
Acha uongo, Zambia na Congo kuacha kutumia bandari ya Dar es salaama na kuhamia keingineko kamaNamibia au South Africa garama ni kubea mno zaidi ya mara 2 n hii ni kutokana na umbali ndio maana hata wakijaribu bado haiwezekani.Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.
Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!
Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Tumekusikia waziri mbawaza. Lakini mbona bandari ya Zanzibar haiuzwi/haibinafsishwi?Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.
Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!
Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Wapi hayo yamesemwa au yameandikwa?Kumpa mwekezaji kumiliki bandali zetu zote milele na kutokuweza kujitoa kwenye mkataba tutakapo ona mambo hayaendi sawa kama tulivyokubaliana
Weka hapa hiyo mikataba iliyosiniwa huko kwingine unakokuongeleaKote huko Duniani mikataba ni ya kisenge hivyo hivyo so ni Aisha muache mkomae na upuuzi wenu au Apewe hivyo hivyo
Kama hao unaowasema ni wajinga, basi wewe utakuwa punguani au mwendawazimu. Maana huelewi hata kinachosababisha bandari ikose ufanisi.Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.
Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!
Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
DP World ni wahuni.Wana uhuni gani?
Kuelewa imeuzwaje, mpaka uwe na akili timamu.Imeuzwaje?
Kumbe naoteza muda kuzungumza na roboti. SorryWapi hayo yamesemwa au yameandikwa?
Wapi imeuzwa au elimu ndogo?Watafute tuuu, huwez kuuza bandari kisa Una mamlaka, hiyo haipo, alaf bandari ni Kwa ajili ya Watanzania Kwanza then hao jamaa wengine badae..!!
Sina ujinga huo kwani wewe huwezi tafuta? Mbona DP World alikoshindana na wengine mumepata? Tafuta na anako operate mtaijua..Weka hapa hiyo mikataba iliyosiniwa huko kwingine unakokuongelea
Kuelewa hoja, ni lazima uwe na akili timamu. Wewe umeona, miongoni mwa hawa makuwadi wa DP, kuna mtu mwenye utimamu wa akili? Huoni wote ni short sighted?Muwe mnaelewa hoja! Hakuna anayepinga uwekezaji wala uboreshaji wa Bandari ili kuleta ufanisi!
Hiyo haihalalishi kugawa Bandari zetu na kuingia ktk mikataba ya Kimangungo!
Mnajifanya hamuelewi wananchi wanaongea nini eeeh na kama ingekuwa ujinga mngekuwa mmepuuza na kuendelea mbele sasa kinachowafanya msiendelee mbele ni nini?mshaona kuna makosa mnaona hayaHuo sio msimamo! Huo ni ujinga? Wapi pana ukakasi?
Huo sio msimamo! Huo ni ujinga? Wapi pana ukakasi?
Umemaliza...Watafute tuuu, huwez kuuza bandari kisa Una mamlaka, hiyo haipo, alaf bandari ni Kwa ajili ya Watanzania Kwanza then hao jamaa wengine badae..!!
We mtu ngumbaru hiyo bandari hapo haitegemei hizo nchi,hizo nchi zinategemea hiyo bandari,Ona huyu nyumbu,si ajabu mtoa mada amewaita wajinga..
Sasa Kwa taarifa Yako tuu ni kwamba Angola inaendelea na upanuzi mkubwa wa Bandari yake ya Lobito ambayo ni route fupi kufika Zambia kuliko Dar.
Pili Msumbiji inaendelea na maboresho ya miundombinu ya usafirishaji ambayo itawezesha Bandari yake kutumika zaidi na DRC Congo upande wa Lubumbashi ambayo nusu ya mizigo inakwenda huko kutoka Dar Port..
Ukiacha hayo Zambia wanajenga bomba la mafuta kutoka Angola na kutoka Namibia Ili mafuta yote yapitie Kwa bomba Sasa tankers zenu tafuteni kazi ya kufanya..
Hii ni Dunia ya ushindani na ujinga mliojilisha kudhani eti Tanzania haiepukiki mnajidanganya sana bwashee..
Muda ni Mwalimu mzuri,endeleeni na habari za ujamaa mbuzi.