Zanzibar: Freeman Mbowe ashiriki Kikao cha Faragha cha Wakuu wa Vyama vya siasa

Zanzibar: Freeman Mbowe ashiriki Kikao cha Faragha cha Wakuu wa Vyama vya siasa

CHADEMA kina "kura ya turufu' katika siasa za Tanzania....tumieni hiyo nafasi kwa uweledi mkubwa na kwa maslahi mapana ya wananchi haswa wale tunaotaka mabadiliko chanya katika siasa za nchi hii.
Naam !!!
 

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba; Mwamba wa Siasa za Tanzania, ambaye anatajwa kuushikilia Mustakabhali wa Tanzania kwenye kiganja cha mkono wake wa kushoto, Freeman Mbowe, amehudhuria mkutano wa Faragha wa Wakuu wa Vyama vya Siasa unaofanyika Nchini Zanzibar.

Taarifa zinaonyesha kwamba lengo la Kikao hicho cha Siri ni kujadili sheria zitakazosimamia vyama vya siasa kuelekea uchaguzi wa 2024/2025.

Cha kushangaza ni kwamba Vyombo vyote vya Habari vya Kimataifa vinamtaja Mbowe pekee huku viongozi wengine waliohudhuriwa wakiachwa.

Usiondoke JF, kwa vile Nzi wangu ndani ya kikao hicho yuko tayari kuvujisha yatakayojili.
ndio maana inasemekana huyu mwamba ana qualifications zote za kua kiongozi wa JUU sana humu nchini.

Ana tofauti kubwa mno na kibaraka, kwamfano ana uzalendo usio na shaka tofauti na kibaraka akipapaswa tu au kutiwa konzi kidogo tu anachukua ✈️✈️✈️✈️ anaenda zake ng'ambo!!

Lakini pia huyu muungwana anaweza kuishi kwenye zile 4Rs za mama yaani Reconciliation, Resilience, Reforms and Rebuilding. Lakini kibaraka hawezi pia haelewi.
Umeona hiyo tofauti kwa uchache.
Big up kiongozi
 

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba; Mwamba wa Siasa za Tanzania, ambaye anatajwa kuushikilia Mustakabhali wa Tanzania kwenye kiganja cha mkono wake wa kushoto, Freeman Mbowe, amehudhuria mkutano wa Faragha wa Wakuu wa Vyama vya Siasa unaofanyika Nchini Zanzibar.

Taarifa zinaonyesha kwamba lengo la Kikao hicho cha Siri ni kujadili sheria zitakazosimamia vyama vya siasa kuelekea uchaguzi wa 2024/2025.

Cha kushangaza ni kwamba Vyombo vyote vya Habari vya Kimataifa vinamtaja Mbowe pekee huku viongozi wengine waliohudhuriwa wakiachwa.

Usiondoke JF, kwa vile Nzi wangu ndani ya kikao hicho yuko tayari kuvujisha yatakayojili.
Bwashee wakati mwingine unapitiliza. Na wewe unakuwa kama wale chawa kina Lucas Muoshambwa
 

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba; Mwamba wa Siasa za Tanzania, ambaye anatajwa kuushikilia Mustakabhali wa Tanzania kwenye kiganja cha mkono wake wa kushoto, Freeman Mbowe, amehudhuria mkutano wa Faragha wa Wakuu wa Vyama vya Siasa unaofanyika Nchini Zanzibar.

Taarifa zinaonyesha kwamba lengo la Kikao hicho cha Siri ni kujadili sheria zitakazosimamia vyama vya siasa kuelekea uchaguzi wa 2024/2025.

Cha kushangaza ni kwamba Vyombo vyote vya Habari vya Kimataifa vinamtaja Mbowe pekee huku viongozi wengine waliohudhuriwa wakiachwa.

Usiondoke JF, kwa vile Nzi wangu ndani ya kikao hicho yuko tayari kuvujisha yatakayojili.

= yatakayojiri.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Faragha haimaanishi siri.

Mfano ukiingia chooni unajulikana umeenda faragha, utachokifanya huko ni moja katika mawili, mengine ni ziyada tu.
 

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba; Mwamba wa Siasa za Tanzania, ambaye anatajwa kuushikilia Mustakabhali wa Tanzania kwenye kiganja cha mkono wake wa kushoto, Freeman Mbowe, amehudhuria mkutano wa Faragha wa Wakuu wa Vyama vya Siasa unaofanyika Nchini Zanzibar.

Taarifa zinaonyesha kwamba lengo la Kikao hicho cha Siri ni kujadili sheria zitakazosimamia vyama vya siasa kuelekea uchaguzi wa 2024/2025.

Cha kushangaza ni kwamba Vyombo vyote vya Habari vya Kimataifa vinamtaja Mbowe pekee huku viongozi wengine waliohudhuriwa wakiachwa.

Usiondoke JF, kwa vile Nzi wangu ndani ya kikao hicho yuko tayari kuvujisha yatakayojili.
Kutajwa kwa mh Mbowe pekee yake siyo kwa bahati mbaya.

Mbowe ndiye kiongozi pekee wa kweli wa vyama vya upinzani hapa Tanzania.
 
Nyie!

Dola ishaamua mkuu kwamba!

" Uchaguzi wa serikali za mitaa utasubiri HADI katiba mpya itakapo kamilika"

KWA uandishi wa Tumia akili humu humu jf kwenye uzi wa "operation imesitishwa the state wamesema apewe muda "

SASA Mbowe anataka shiriki kikao cha marekebisho ya sheria Ili iweje!!?

Amelambishwa asali sio!!?


Ngoja tusubiri tuone tuone!!
Mbona unawashwa sana wakati pilipili yenyewe ni hoho?
 
Back
Top Bottom