Zanzibar: Freeman Mbowe ashiriki Kikao cha Faragha cha Wakuu wa Vyama vya siasa

Zanzibar: Freeman Mbowe ashiriki Kikao cha Faragha cha Wakuu wa Vyama vya siasa

CHADEMA kina "kura ya turufu' katika siasa za Tanzania....tumieni hiyo nafasi kwa uweledi mkubwa na kwa maslahi mapana ya wananchi haswa wale tunaotaka mabadiliko chanya katika siasa za nchi hii.
Hongera sana ndugu mzalendo wa kweli wa nchi hii
 

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba; Mwamba wa Siasa za Tanzania, ambaye anatajwa kuushikilia Mustakabhali wa Tanzania kwenye kiganja cha mkono wake wa kushoto, Freeman Mbowe, amehudhuria mkutano wa Faragha wa Wakuu wa Vyama vya Siasa unaofanyika Nchini Zanzibar.

Taarifa zinaonyesha kwamba lengo la Kikao hicho cha Siri ni kujadili sheria zitakazosimamia vyama vya siasa kuelekea uchaguzi wa 2024/2025.

Cha kushangaza ni kwamba Vyombo vyote vya Habari vya Kimataifa vinamtaja Mbowe pekee huku viongozi wengine waliohudhuriwa wakiachwa.

Usiondoke JF, kwa vile Nzi wangu ndani ya kikao hicho yuko tayari kuvujisha yatakayojili.
Nchini zanzibar 🤔
 
CHADEMA kina "kura ya turufu' katika siasa za Tanzania....tumieni hiyo nafasi kwa uweledi mkubwa na kwa maslahi mapana ya wananchi haswa wale tunaotaka mabadiliko chanya katika siasa za nchi hii.
Uko sahihi 80%
 
Japo siipend ccm ila nitakukatalia mpaka nakufa kusema kwamba Mbowe ameshikikia hatima ya Tanzania. Hiyo credibility Mbowe hana hata kidogo
Tuwe wakweli wakati mwingine, CCM ya sasa ni nani mwenye uwezo kisiasa wa kumfikia Mbowe, Nape! CCM imebakiwa na magarasa haina mwanasiasa kwani wote wamejikita kwenye biashara na upigaji.
 
Tuwe wakweli wakati mwingine, CCM ya sasa ni nani mwenye uwezo kisiasa wa kumfikia Mbowe, Nape! CCM imebakiwa na magarasa haina mwanasiasa kwani wote wamejikita kwenye biashara na upigaji.
Viwango vya Mbowe ccm ukimtoa kikwete (kwa wanaojulikana- maana ccm ina majembe yasiofahamika kibao) hakuna wa kumsogelea hata kwa mbali.
 

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba; Mwamba wa Siasa za Tanzania, ambaye anatajwa kuushikilia Mustakabhali wa Tanzania kwenye kiganja cha mkono wake wa kushoto, Freeman Mbowe, amehudhuria mkutano wa Faragha wa Wakuu wa Vyama vya Siasa unaofanyika Nchini Zanzibar.

Taarifa zinaonyesha kwamba lengo la Kikao hicho cha Siri ni kujadili sheria zitakazosimamia vyama vya siasa kuelekea uchaguzi wa 2024/2025.

Cha kushangaza ni kwamba Vyombo vyote vya Habari vya Kimataifa vinamtaja Mbowe pekee huku viongozi wengine waliohudhuriwa wakiachwa.

Usiondoke JF, kwa vile Nzi wangu ndani ya kikao hicho yuko tayari kuvujisha yatakayojili.
Mungu Ibariki CHADEMA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom