Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Mtu na akili zako unajiita KHANGA MOKO?Kwan iyo ameshaachana na Katiba Mpya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu na akili zako unajiita KHANGA MOKO?Kwan iyo ameshaachana na Katiba Mpya?
Sasa hutaki au?We jamaa kwa mbwembwe.......eti anayeshikilia Mstakabali wa Taifa
Anatufundisha kuiheshimu katiba au kuivunja katiba?Si mmesema unatufundisha kwanza miaka mitatu degree ya Katiba Nchi nzima?
Sema chama pekee cha upinzani wa kweli.Mbowe anatajwa peke yake kwasbb chadema ndiyo chama pekee kilichobakia. Ccm ni dudu na vyama vingine vyote ni ccm b.
Hongera sana ndugu mzalendo wa kweli wa nchi hiiCHADEMA kina "kura ya turufu' katika siasa za Tanzania....tumieni hiyo nafasi kwa uweledi mkubwa na kwa maslahi mapana ya wananchi haswa wale tunaotaka mabadiliko chanya katika siasa za nchi hii.
Nchini zanzibar 🤔
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba; Mwamba wa Siasa za Tanzania, ambaye anatajwa kuushikilia Mustakabhali wa Tanzania kwenye kiganja cha mkono wake wa kushoto, Freeman Mbowe, amehudhuria mkutano wa Faragha wa Wakuu wa Vyama vya Siasa unaofanyika Nchini Zanzibar.
Taarifa zinaonyesha kwamba lengo la Kikao hicho cha Siri ni kujadili sheria zitakazosimamia vyama vya siasa kuelekea uchaguzi wa 2024/2025.
Cha kushangaza ni kwamba Vyombo vyote vya Habari vya Kimataifa vinamtaja Mbowe pekee huku viongozi wengine waliohudhuriwa wakiachwa.
Usiondoke JF, kwa vile Nzi wangu ndani ya kikao hicho yuko tayari kuvujisha yatakayojili.
Uko sahihi 80%CHADEMA kina "kura ya turufu' katika siasa za Tanzania....tumieni hiyo nafasi kwa uweledi mkubwa na kwa maslahi mapana ya wananchi haswa wale tunaotaka mabadiliko chanya katika siasa za nchi hii.
Data za kupikwaKura gani hiyo? Uchaguzi wa mbarali zaidi ya watu 80, elfu walijitokeza, Na chadema hawakuwepo
Kustaafu kwenda wapi? Umetumwa na Samia, basi umefail tayariBTW, anastaafu lini?
Tuwe wakweli wakati mwingine, CCM ya sasa ni nani mwenye uwezo kisiasa wa kumfikia Mbowe, Nape! CCM imebakiwa na magarasa haina mwanasiasa kwani wote wamejikita kwenye biashara na upigaji.Japo siipend ccm ila nitakukatalia mpaka nakufa kusema kwamba Mbowe ameshikikia hatima ya Tanzania. Hiyo credibility Mbowe hana hata kidogo
Ungefuatlia matangazo wakati wa uchaguzi huo usingetuletea hili, watu walikuwa wanalalamika majina yao hayaonekani huku tume ikiwashauri eti watafute kwenye vituo vyote! Wengi walirudi makwao bila kupiga kura.Kura gani hiyo? Uchaguzi wa mbarali zaidi ya watu 80, elfu walijitokeza, Na chadema hawakuwepo
HayupoTuwe wakweli wakati mwingine, CCM ya sasa ni nani mwenye uwezo kisiasa wa kumfikia Mbowe, Nape! CCM imebakiwa na magarasa haina mwanasiasa kwani wote wamejikita kwenye biashara na upigaji.
Viwango vya Mbowe ccm ukimtoa kikwete (kwa wanaojulikana- maana ccm ina majembe yasiofahamika kibao) hakuna wa kumsogelea hata kwa mbali.Tuwe wakweli wakati mwingine, CCM ya sasa ni nani mwenye uwezo kisiasa wa kumfikia Mbowe, Nape! CCM imebakiwa na magarasa haina mwanasiasa kwani wote wamejikita kwenye biashara na upigaji.
Acha utani, kwenye siasa Kikwete hamfikii Mbowe, labda useme Mbowe si mwanaccm hivyo hamzidi Kikwete.Viwango vya Mbowe ccm ukimtoa kikwete (kwa wanaojulikana- maana ccm ina majembe yasiofahamika kibao) hakuna wa kumsogelea hata kwa mbali.
Mungu Ibariki CHADEMA
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba; Mwamba wa Siasa za Tanzania, ambaye anatajwa kuushikilia Mustakabhali wa Tanzania kwenye kiganja cha mkono wake wa kushoto, Freeman Mbowe, amehudhuria mkutano wa Faragha wa Wakuu wa Vyama vya Siasa unaofanyika Nchini Zanzibar.
Taarifa zinaonyesha kwamba lengo la Kikao hicho cha Siri ni kujadili sheria zitakazosimamia vyama vya siasa kuelekea uchaguzi wa 2024/2025.
Cha kushangaza ni kwamba Vyombo vyote vya Habari vya Kimataifa vinamtaja Mbowe pekee huku viongozi wengine waliohudhuriwa wakiachwa.
Usiondoke JF, kwa vile Nzi wangu ndani ya kikao hicho yuko tayari kuvujisha yatakayojili.
amen
Alisema mwenyewe kuwa mwakq huu anang'atuka.Kustaafu kwenda wapi? Umetumwa na Samia, basi umefail tayari
wapi ushahidiAlisema mwenyewe kuwa mwakq huu anang'atuka.
Mambo vipi?? The bold yuko wapi??Kikao cha SIRI, halafu utavujisha yatakayojiri… Sawa.