Mkuu umefunga mjadala. Shukrani sana.CHADEMA kina "kura ya turufu' katika siasa za Tanzania....tumieni hiyo nafasi kwa uweledi mkubwa na kwa maslahi mapana ya wananchi haswa wale tunaotaka mabadiliko chanya katika siasa za nchi hii.
Kwa mkono wa kushoto,mind you!😁We jamaa kwa mbwembwe.......eti anayeshikilia Mstakabali wa Taifa
Iko hivyo yaaniWe jamaa kwa mbwembwe.......eti anayeshikilia Mstakabali wa Taifa
HakikaMbowe anatajwa peke yake kwasbb chadema ndiyo chama pekee kilichobakia. Ccm ni dudu na vyama vingine vyote ni ccm b.
Hutaki unaacha .Japo siipend ccm ila nitakukatalia mpaka nakufa kusema kwamba Mbowe ameshikikia hatima ya Tanzania. Hiyo credibility Mbowe hana hata kidogo
Naam !!!CHADEMA kina "kura ya turufu' katika siasa za Tanzania....tumieni hiyo nafasi kwa uweledi mkubwa na kwa maslahi mapana ya wananchi haswa wale tunaotaka mabadiliko chanya katika siasa za nchi hii.
AiseeKikao cha SIRI, halafu utavujisha yatakayojiri… Sawa.
Sio tu kuacha.. nakuachia wewe uamini hivyo maana kwa mtu mwenye akil timamu hata ya kuvukia barabara tu hawez kubaliana na wewe katika hiliHutaki unaacha .
ndio maana inasemekana huyu mwamba ana qualifications zote za kua kiongozi wa JUU sana humu nchini.
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba; Mwamba wa Siasa za Tanzania, ambaye anatajwa kuushikilia Mustakabhali wa Tanzania kwenye kiganja cha mkono wake wa kushoto, Freeman Mbowe, amehudhuria mkutano wa Faragha wa Wakuu wa Vyama vya Siasa unaofanyika Nchini Zanzibar.
Taarifa zinaonyesha kwamba lengo la Kikao hicho cha Siri ni kujadili sheria zitakazosimamia vyama vya siasa kuelekea uchaguzi wa 2024/2025.
Cha kushangaza ni kwamba Vyombo vyote vya Habari vya Kimataifa vinamtaja Mbowe pekee huku viongozi wengine waliohudhuriwa wakiachwa.
Usiondoke JF, kwa vile Nzi wangu ndani ya kikao hicho yuko tayari kuvujisha yatakayojili.
Joined April 2023 , too young to understandSio tu kuacha.. nakuachia wewe uamini hivyo maana kwa mtu mwenye akil timamu hata ya kuvukia barabara tu hawez kubaliana na wewe katika hili
Bwashee wakati mwingine unapitiliza. Na wewe unakuwa kama wale chawa kina Lucas Muoshambwa
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba; Mwamba wa Siasa za Tanzania, ambaye anatajwa kuushikilia Mustakabhali wa Tanzania kwenye kiganja cha mkono wake wa kushoto, Freeman Mbowe, amehudhuria mkutano wa Faragha wa Wakuu wa Vyama vya Siasa unaofanyika Nchini Zanzibar.
Taarifa zinaonyesha kwamba lengo la Kikao hicho cha Siri ni kujadili sheria zitakazosimamia vyama vya siasa kuelekea uchaguzi wa 2024/2025.
Cha kushangaza ni kwamba Vyombo vyote vya Habari vya Kimataifa vinamtaja Mbowe pekee huku viongozi wengine waliohudhuriwa wakiachwa.
Usiondoke JF, kwa vile Nzi wangu ndani ya kikao hicho yuko tayari kuvujisha yatakayojili.
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba; Mwamba wa Siasa za Tanzania, ambaye anatajwa kuushikilia Mustakabhali wa Tanzania kwenye kiganja cha mkono wake wa kushoto, Freeman Mbowe, amehudhuria mkutano wa Faragha wa Wakuu wa Vyama vya Siasa unaofanyika Nchini Zanzibar.
Taarifa zinaonyesha kwamba lengo la Kikao hicho cha Siri ni kujadili sheria zitakazosimamia vyama vya siasa kuelekea uchaguzi wa 2024/2025.
Cha kushangaza ni kwamba Vyombo vyote vya Habari vya Kimataifa vinamtaja Mbowe pekee huku viongozi wengine waliohudhuriwa wakiachwa.
Usiondoke JF, kwa vile Nzi wangu ndani ya kikao hicho yuko tayari kuvujishayatakayojili.
Ulipotea sana bidadaKikao cha SIRI, halafu utavujisha yatakayojiri… Sawa.
Kutajwa kwa mh Mbowe pekee yake siyo kwa bahati mbaya.
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba; Mwamba wa Siasa za Tanzania, ambaye anatajwa kuushikilia Mustakabhali wa Tanzania kwenye kiganja cha mkono wake wa kushoto, Freeman Mbowe, amehudhuria mkutano wa Faragha wa Wakuu wa Vyama vya Siasa unaofanyika Nchini Zanzibar.
Taarifa zinaonyesha kwamba lengo la Kikao hicho cha Siri ni kujadili sheria zitakazosimamia vyama vya siasa kuelekea uchaguzi wa 2024/2025.
Cha kushangaza ni kwamba Vyombo vyote vya Habari vya Kimataifa vinamtaja Mbowe pekee huku viongozi wengine waliohudhuriwa wakiachwa.
Usiondoke JF, kwa vile Nzi wangu ndani ya kikao hicho yuko tayari kuvujisha yatakayojili.
Mbona unawashwa sana wakati pilipili yenyewe ni hoho?Nyie!
Dola ishaamua mkuu kwamba!
" Uchaguzi wa serikali za mitaa utasubiri HADI katiba mpya itakapo kamilika"
KWA uandishi wa Tumia akili humu humu jf kwenye uzi wa "operation imesitishwa the state wamesema apewe muda "
SASA Mbowe anataka shiriki kikao cha marekebisho ya sheria Ili iweje!!?
Amelambishwa asali sio!!?
Ngoja tusubiri tuone tuone!!
Ilishindwa hukumu ya mahakama itakuwa maneno matupu kutoka kwa mkulima wa mbaazi pale kibaigwa?Uchaguzi ujao tunataka mgombe binafsi. BTW, anastaafu lini?
Wachana na hao wanafiki wasiyo itakia mema nchi yetu.Unaandika nini wewe ?