Hio dola yenyewe ni wahanga wa mateso ya awamu hii, achilia wakubwa zao wanufaika,jaribu kukaa na wadogo ambao Ni watenda kazi usikie wanasaemaje, wananchi ndo tunawangusha, tuanze wao wamalize mchezo hata wao wamechoka uonevuKuna kitu mnasahau hapa ya kua dola ni yakwao
Usichukulie kigezo cha watu wengi kuwa ndo ushindi. Kuwa makiniInavyoonekana, hata CCM leo waliungana na Maalim Seif /ACT-Wzalendo kumpokea! Nadhani kuna hali ya Wazanzibar kuchukizwa na haya yaliyopita miaka mitano!
Tusubiri muda! johnthebaptist
MAPINDUZIII .......DAIMAAAAAInavyoonekana, hata CCM leo waliungana na Maalim Seif /ACT-Wzalendo kumpokea! Nadhani kuna hali ya Wazanzibar kuchukizwa na haya yaliyopita miaka mitano!
Tusubiri muda! johnthebaptist
Nakupata sana tena sana. Lkn kwa hali hii, nakiri kuwa kama haki itatendeka, CCM sidhani kama watapita!Usichukulie kigezo cha watu wengi kuwa ndo ushindi. Kuwa makini
Hawapiti kote si bara si visiwani.Nakupata sana tena sana. Lkn kwa hali hii, nakiri kuwa kama haki itatendeka, CCM sidhani kama watapita!
Shida ya bara ni kwamba wpiga kura hatujielewi kabisa. Yaani bora liende. Zanzibar wanajielewa mno, ndio sababu hata differene ya kura za CCM na CUF miaka hiyo unakuta ni negligible sana.Ivi jaman kwa mgawanyiko huu kweli tutaiweza ccm kweli??
Wapinzani huwa mnatuangusha sana wananchi au mna ajenda ya makusudi kubuy time ccm akiendelea kutawala?
Bila kuungana nawahakikishia hamtaing'oa ccm, mnatupotezea mda wapiga kula...
Upinzani haujapata viongozi wapenda mageuzi, ni wachumia tumbo tuIvi jaman kwa mgawanyiko huu kweli tutaiweza ccm kweli??
Wapinzani huwa mnatuangusha sana wananchi au mna ajenda ya makusudi kubuy time ccm akiendelea kutawala?
Bila kuungana nawahakikishia hamtaing'oa ccm, mnatupotezea mda wapiga kula.
tena ni afadhali wkt ule tukiwa na ukawa ulituunganisha na ccm kama alikufa japo tume NEC iliwanusuru lkn kwa hali hii ya sasa mnajua mnapoteza mda tu ccm hamtaiweza.
KUMBUKENI,
UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHAIFI.
KIDOLE KIMOJA HAKIVUNJI CHAWA.
NDG WAKIGOMBANA CHUKUA JEMBE UKALIME WAKIPATANA CHUKUA KAPU KAVINE, MAANAKE NI HERI TUSHUGULIKE NA MAMBO YETU NYIE NI WASANII TU.
AHYA MTATWAMBIA..
Zanzibar hawajieajielew hata kidogo ndo maana hawajawahi kuanzisha chamaZanzibar wanajielewa mno, ndio sababu hata differene ya kura za CCM na CUF miaka hiyo unakuta ni negligible sana.
Kwikwi kwi!
But why?Itabidi Tundu Lisu ampishe Membe awe mgombea urais wa Upinzani!