Miezi miwili iliyppita ulikuwa unaendesha harakati humu za kudai tume huru ya uchaguzi na kusema hakuna mpumbavu anaweza kwenda kupoteza muda wake kupiga kura chini ya hii tume!Kutangazwa washindi sio kwa matakwa ya Lisu, bali ni kutokana na maamuzi ya wananchi. Hatuna tatizo Lisu kushindwa, ila sio kushindwa kama zile chaguzi za marudio, au uchaguzi wa SM.
Ni mpumbavu pekee tena tahila anaeamini jiwe atashinda urais wa JMT sababu hata huku Chato hatumtaki.[emoji3][emoji3][emoji3]Unachekesha!
Ni mpumbavu pekee anaehisi Lisu atashinda uraia wa tz!
Yule hapati hata 20 aslimia
Hawakuwahi kuuweza tangu vyama vingi vianze...Maalim wamkabidhi tu nchi yake aisee, huu mziki mwinyi hatauweza
Ni utahira kujipa matumaini kama haya yako uliyoandika hapa!Ni mpumbavu pekee tena tahila anaeamini jiwe atashinda urais wa JMT sababu hata huku Chato hatumtaki.
ebu tuambie mmenyimwa wap kufanya siasa? weka pemben kwamba hakuna kufanya siasa muda ambao sio kwa sababu watu lazima wafanye kazi, kama kuna sehem ingine mmenyimwa kufanya siasa mseme! mnashindwa kukubali kwamba chama chenu hakina tena mvuto kiasa na vyama vingi vinaamka sasa , wananchi wana akili, juzi mbowe kaenda jimboni kwake na kwa mara ya kwanza tangia tupate uhuru mgombea anafanya mkutano alafu mkutano mzima upo against, wengine wnafanya mkutano wananchi wanakuja angalau kuskiliza tu sasa yeye wote hawamtaki
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tukisema lumumba wamejaa wapuumbavu mnakuja juu! Hiyo picha ya makalio makubwa ya mwanamke umeweka hapa ili iweje?shame!
Huyu mataga ameazima simu ya dada yake na hiyo ni picha ya dada yake ameituma bahati mbaya.Tukisema lumumba wamejaa wapuumbavu mnakuja juu! Hiyo picha ya makalio makubwa ya mwanamke umeweka hapa ili iweje?shame!
Sidhani kama kauli za aina hii zinajenga ama kutengeneza uaminifu katika ushirikiano wa vyama!Nyie tatizo lenu mnapokea puppet ili Chadema tusiende ikulu ila mjue unafiq utawaponza.
Ni ngumbaru pekee anaeamini jiwe anakubalika.Ni utahira kujipa matumaini kama haya yako uliyoandika hapa!
Balaa zitooo Zitto
Ni zombie kufikiri Jiwe hawi rais!Ni ngumbaru pekee anaeamini jiwe anakubalika.
Ninakubaliana na wewe kwa kuwa refarii na sheria zinazoongoza mpambano, pamoja na vyombo vya dola na mahakama vyote vinaibeba Ccm. Hongera kwa fursa hiyo. Ila usiwaite raia wenzio wapumbavu kwa kukosa fursa hiyo. Unachohea hasira.Lisu hawezi kuwa rais! Kwanini huu ukweli hamtaki kuukubali?
Duh aisee!!Wewe mbona hujawaachia wengine kuleta hii habari?
Ni wapumbavu kama wanajua taztizo lilipo alafu wanashamgilia ushindi wa Lisu kabla hata ya kampeniNinakubaliana na wewe kwa kuwa refarii na sheria zinazoongoza mpambano, pamoja na vyombo vya dola na mahakama vyote vinaibeba Ccm. Hongera kwa fursa hiyo. Ila usiwaite raia wenzio wapumbavu kwa kukosa fursa hiyo. Unachohea hasira.
Ni popoma pekee anaeamini jiwe atakua rais. Labda rais wa Chato.Ni zombie kufikiri Jiwe hawi rais!
Lisu atabaki mchangamsha uchaguzi tu
Naona umeanza kupanic!Ni popoma pekee anaeamini jiwe atakua rais. Labda rais wa Chato.
Amen.Naona umeanza kupanic!
Ok Lisu atakuwa rais furahi sasa