Zanzibar 2020 Zanzibar: Hali ilivyo mapokezi ya Mgombea Urais Kupitia ACT- Wazalendo, Maalim Seif na Bernard Membe. Ni Mafuriko

Zanzibar 2020 Zanzibar: Hali ilivyo mapokezi ya Mgombea Urais Kupitia ACT- Wazalendo, Maalim Seif na Bernard Membe. Ni Mafuriko

Imepoteza ushawishi au rais aliye madarakani ana nongwa na chuki ya wazi dhidi ya cdm? Hivyo anatumia madaraka yake vibaya, kuwahujumu na kuwanyima haki ya kufanya siasa kwa faida ya chama chake. Nani kakuambia upinzani umewekeza mitandaoni, huku mitandaoni kwa ajili ya udictator wa rais, ndio sehemu pekee ya watu kuonyesha hisia zao bila kutekwa, kuuwawa au kuhujumiwa shughuli zao.

ebu tuambie mmenyimwa wap kufanya siasa? weka pemben kwamba hakuna kufanya siasa muda ambao sio kwa sababu watu lazima wafanye kazi, kama kuna sehem ingine mmenyimwa kufanya siasa mseme! mnashindwa kukubali kwamba chama chenu hakina tena mvuto kiasa na vyama vingi vinaamka sasa , wananchi wana akili, juzi mbowe kaenda jimboni kwake na kwa mara ya kwanza tangia tupate uhuru mgombea anafanya mkutano alafu mkutano mzima upo against, wengine wnafanya mkutano wananchi wanakuja angalau kuskiliza tu sasa yeye wote hawamtaki
 
Mafuriko kawaida yenu, ila kwenye kura msahau ng'oo, wajumbe lazima tuwafanyie kitu mbaya!
Leo Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bernard Membe, watapokelewa asubuhi hii na Wazanzibar wa Unguja.

Matukio mbalimbali na picha za mapokezi tutawawekea hapa.

View attachment 1531746View attachment 1531747View attachment 1531748View attachment 1531749View attachment 1531917View attachment 1531918
View attachment 1531919
View attachment 1531926
 
Lisu atapata kiharusi akisikia matokeo amepata kura 20% huku magi akiwa na ushindi wa kishindo.
Kama ni hivyo mbona usiku kucha mchana kutwa mataga mnashindana kuanzisha nyuzi za kumhusu Lissu ? Hii ngoma nzito kinyume na matarajio yenu, kama hulijui hili basi ni kwa vile kwa level yako unaishia kwenye corridor tu lakini walioko vyumbani wameshaona hatari iliyoko mbele.
 
117622634_167102315010267_5937072856233510518_n.jpg
 
Kama ni hivyo mbona usiku kucha mchana kutwa mataga mnashindana kuanzisha nyuzi za kumhusu Lissu ? Hii ngoma nzito kinyume na matarajio yenu, kama hulijui hili basi ni kwa vile kwa level yako unaishia kwenye corridor tu lakini walioko vyumbani wameshaona hatari iliyoko mbele.
[emoji3][emoji3][emoji3]Unachekesha!

Ni mpumbavu pekee anaehisi Lisu atashinda uraia wa tz!

Yule hapati hata 20 aslimia
 
Ndugu yangu tusubiri. Muda bado na hata hizo fomu za ugombea hazijarudishwa na zaidi hazijapitishwa. Hata kampeni bado. Bado muda upo. Haraka haraka haina baraka. Wapinzania siyo wajinga na wanajua wanachokifanya.

Tena basi kumbuka: muda mzuri wa kuungana ni baada ya kampeni kuanza na kujua yupi amepitishwa na NEC kugombea nini. Nadhani unajua kabisa hili tawi la CCM linavyoweza kufanya lolote iwapo wataungana mapema na wagombea rasmi kujulikana.
Nyomi hii kwa ACT ni dalili njema kwa upinzani upande wa Zanzibar. Inafanya ushirikiano kati ya ACT na CHADEMA kuwa mwepesi. ACT iachiwe Zanzibar na CHADEMA iachiwe bara. Mgombea urais Zanzibar awe Seifu na wa JMT awe Lissu. Na hapa ndipo ngoma inogile. Nawapongeza sana Wazanzibari kwa mapokezi haya.
 
Kama ni hivyo mbona usiku kucha mchana kutwa mataga mnashindana kuanzisha nyuzi za kumhusu Lissu ? Hii ngoma nzito kinyume na matarajio yenu, kama hulijui hili basi ni kwa vile kwa level yako unaishia kwenye corridor tu lakini walioko vyumbani wameshaona hatari iliyoko mbele.
[emoji3][emoji3][emoji3]Unachekesha!

Ni mpumbavu pekee anaehisi Lisu atashinda uraia wa tz!

Yule hapati hata 20 aslimia
 
Leo Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bernard Membe, watapokelewa asubuhi hii na Wazanzibar wa Unguja.

Matukio mbalimbali na picha za mapokezi tutawawekea hapa.

View attachment 1531746View attachment 1531747View attachment 1531748View attachment 1531749View attachment 1531917View attachment 1531918
View attachment 1531919
View attachment 1531926
Muulizeni Lissu kuhusu corona yake na nchi yake anayoishi!
 
Kwahiyo Lisu atasababisha mtangazwe washindi?

Kutangazwa washindi sio kwa matakwa ya Lisu, bali ni kutokana na maamuzi ya wananchi. Hatuna tatizo Lisu kushindwa, ila sio kushindwa kama zile chaguzi za marudio, au uchaguzi wa SM.
 
HII imekaaje baada ya kuona hali hii wao ghafla ndio wamechanganyikiwa,watu wanauliza Lissu anasemaje kuhusu corona ipo au haipo au huu mtiti ndio unakwenda mazikoni!
IMG_20200809_125439.jpg
IMG_20200809_125432.jpg
IMG_20200809_125425.jpg
 

Attachments

  • IMG_20200808_082104.jpg
    IMG_20200808_082104.jpg
    52.5 KB · Views: 1
Back
Top Bottom