Sheria ya ardhi inasemaje kuhusu abandoned land for more tha ten years..?

Mliosoma land law msaada
 
Ardhi yetu kwani wanaibeba wanaenda nayo wapi? Kama walipewa kihalali na wamefata sheria, tatizo nini?
 
Blood inshu ya prezoo anatoka kwako hauna mantiki kama wanata ubabe tupo tunawangoja koz tuna nguvu na watu kuliko wako japo Wana Marais Pande mbili
 
Hakuna kuwapa sehemu yoyote wabaki na maeneo yao tu
Umechekewa jamvini, karamu imeshaliwa.

Hawaombi eneo, eneo wanalo tayari na jirani yao hapo Bakhresa alipewa hekta elfu 10 na Magufuli. Umesahau?

Kumbuka, Bakhresa pia ni Mzanzibari.

Utakufa nacho kijiba cha roho.
 
Paschal Zanzibar ni nchi au sio nchi..?
 
Hahahaha acha bana [emoji23][emoji23], wakati polisi wao tunawafundishia chuoni kwetu CCP
 
Kwa hiyo unatuletea hii mikataba ya kikoloni ili kuhalalisha Tanganyika iwe koloni la Zanzibar au una maana gani mkuu? Acheni kuwa na mawazo ya kitumwa.
 
Km wakenya wapo huko ifakara, kilosa, wanalima bila wasiwasi na kusafirisha mazao Yao mpk Kenya nn cha kushangaza Zanzibar kumiliki hizo hekari. Vijana wa hii nchi wapo usingizini fofofo

Kama ardhi ni ya wazanzibari, na imethibitika ardhi ni yao shida ipo wapi! Acha ndugu zetu wazanzibar wadai haki yao
 
Umechekewa jamvini, karamu imeshaliwa.

Hawaombi eneo, eneo wanalo tayari na jirani yao hapo Bakhresa alipewa hekta elfu 10 na Magufuli. Umesahau?

Kumbuka, Bakhresa pia ni Mzanzibari.

Utakufa nacho kijiba cha roho.
Bibi kuwa mstaarabu basi au waarabu wamewaharibu vichwa? Kwanini mnapenda kuwa wabishi bila hoja? Kumbuka hizo ardhi mnazojichotea/chotewa zitakuja kuwatokea makalioni siku za usoni. Watanganyika hawawezi kukosa ardhi kisa wapuuzi fulani wamepora ardhi yao. Mtakuja kujutia huo uamuzi wenu hapo baadaye. Jiangalie!
 
ardhi ya Tanzania ni mali ya umma, inakuaje leo mtu anaamka anasema ardhi fulani Tanzania ni mali ya Zanzibar?
 
Mdogomdogo wameanza kusogea, ila ipo siku watapokea kichapo hawataisahau bara

Kichapo kutoka kwa nani? Waislamu wameuawa nchini Zanzibar unafikiri hilo limesahaulika!! Mimi ni mbara litokee la kutokea nimuone ndugu yangu muislamu anapigwa/nyanyaswa/uawa dhidi ya madhalimu halafu niangalie au niwe upande wako wewe aise nitakua kichaa, kitachimbika kweli kweli. Anza sasa tuone, tuliopo bara tunawaangalia tu mjue, sasa ALEYOMBA GEKKE nkoi anza sasa kama wewe ni kidume.
 
Watanzania tuna chuki mbaya kazi kubaguana. Kwani zanzibar kumiliki ardhi bara Kuna shida gani. Imefika mahala hadi sisi wenye we tunabaguana. Ukisoma baadhi comment ziko kichuki mnaingiza udini, ukanda. Yani mtu anaona ni Sawa kuropoka manenoo ya kibaguzi waziwazi. Inatia aibu sana sana, tumebaki tukisema Watanzania wakarimu kumbe sisi wanafiki mbwa kabisa. Ukiona threads kama hizi ndio unaipata picha mtanzania yuko je

Sio kitu kibaya Serikali ya zanzibar kumiliki ardhi bara, iweje wananchi waruuhusiwe kumiliki alafu Serikali ikataliwe huu si uupuuzi.

Hivi ujinga utafikisha wapi. Mtu hata ukijificha nyuma ya keyboard bado tu unabaki kuwa mjinga na mpuuzi. Ndiyo maana tumebaki kuwa washikina wa shenzi huku tukijidanganya kuwa sisi wakarimu sana. Hamna lolote.

Haya! Wazungu hatuwataki, wakenya hatuwataki, WA zanzibar hatuwataki tukishamaliza tunakuja wenye we kwa wenyewe. Tutamalizana kwa chuki na ubaguzi.

Mijitu inajifanya Ina ukarimuu kumbe mashetani, MBwa mwitu

All of you should be ashamed of yourself, pathetic human beings.
 
Kuoa rukhusa lkn kununua kiwanja hapana. Mm nimekaa miaka 6 maeneo ya Fuoni nikifanyia kazi zangu maeneo ya Daraja bovu na Kwerekwe

Na kununua bidhaa Zanzibar ununue kupitisha Tanzania ndio kikwazo mara utozwe ushuru, nini maana ya muungano!! Kabla ya kuishutumu Zanzibar, anza na hapa
 
endeleeni kuwashika sharubu wabara, kuna siku mtaenda kujazana kwenye icho kisiwa hata pa kujisaidia mtakuwa hamna. jifunzeni kula na kipofu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…