Zanzibar: Hekta 6,000 zilizopo Bagamoyo ni mali yetu
Bado akili ndogo sana nchi kuwa kubwa au ndogo ni ishu ya kimipaka na ethics za watu... Zanzibar ingekuwa sio sehemu ya Tz ingekuwa na maendeleo ya mbali sana


Huoni mlivyokuwa na shobo kwenda kutalii?
Sasa mbona hamjitengi au mnataka kwanza mpore ardhi ya Tanganyika muiuze ndipo mgawane mbao?Acha kutetea ujinga mkuu. Kuwa mzalendo kwa nchi yako ya Tanganyika isiporwe na wakoloni wala urojo.
 
ZANZIBAR SIO TUU UNGUJA NA PEMBA
images%20(2).jpg
images%20(1).jpg
220px-Sultanat_de_Zanzibar_v%C3%A8rs_1875.jpg
 
Sera ya Ardhi Tanzania Bara inatamka "Ardhi yote ni mali ya umma na imekabidhi kwa Rais kwa niaba ya Watanzania wote. Raia wote wanawake na wanaume wana haki ya kupata, kumiliki au kuitumia"


Huku kwa upande wa pili mambo ni tofauti.



Sera ya ardhi ya SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR imetamka wazi "Ardhi yote ya Zanzibar ipo chini ya uongozi wa Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi. Yeye ndiye msimamizi mkuu ambaye kwa mujibu amepewa mamlaka ya kusimamia ardhi kwa niaba ya wananchi wa Zanzibar"

Kwa sera za Tanzania bara ni rahisi Mzanzibar kupata na kumiliki ardhi kwa kigezo cha kuwa yeye ni Mtanzania, tofauti na upande wa Visiwani Zanzibar mgeni hawezi kupata / kumiliki ardhi kama si mzaliwa wa Zanzibar na badala yake atakodisha kama wawekezaji wa nje.

Serikali tatu ni kinga za haya mambo tofauti na hapo hakuna jipya
 
Bagamoyo EcoEnergy Project (BEE) has entered into a joint venture partnership with the Tanzanian Government and has been provided with 24,000HA of land by the GoT on the western part of the Ranchi ya Zanzibar (RAZABA ) area in Bagamoyo District Tanzania, which was abandoned by the Government of Zanzibar in 1994. The intention is to develop a green field sugar cane plantation on approximately 7800HA of land ...
Source : Tanzania - Bagamoyo Sugar Project - Executive RAP Summary
Kama waliiachia hiyo ardhi mwaka 1994, kwa nini wanataka kuihodhi sasa tena kwa vitisho vikuubwa?!!!!
 
Yan we unamasihara sana wamege Mikoa gani Dar Moro Mtwara na Pwani [emoji1][emoji1].

Hao hakuna kupewa hata vumbiii la mkoa wowote kama hawatoshi wafanye recreation tu kama huko Dubai
Hawa watu wachokozi sana. Waende Holland wajifunze jinsi ya ku reclaim land from the sea by using dykes. Halafu kibaya zaidi wameuza visiwa vyao vyote kwa mabeberu kisha wanakimbia kuja Tanganyika kupora ardhi ya watanganyika. Wapuuzi sana hawa jamaa aisee!
 
Mkuu kuwa muungwana. Rais wa Zanzibar ameuza visiwa vyote vya Zanzibar kwa mabeberu. Sasa anataka kuhamia Tanganyika awe anamega kidogo kidogo anauza. Akiuza Tanganyika ikaisha (kama alivyoiuza Zanzibar) sisi tutaenda kuishi nchi gani? Acha kutetea ujinga mkuu.
Wasiwasi tu! watu wana umiliki wa halali fuatilia acha porojo.
 
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 . Huyu mmiliki amezindukaje leo? Kuna mambo magumu sana kuyaelewa. Nchi yetu hii ni moja. Acha wazanzibar wafurahie matunda ya muungano
Opportunism.! ukipata slope teleza.. hili ni fundisho zuri.
 
Sasa mbona hamjitengi au mnataka kwanza mpore ardhi ya Tanganyika muiuze ndipo mgawane mbao?Acha kutetea ujinga mkuu. Kuwa mzalendo kwa nchi yako ya Tanganyika isiporwe na wakoloni wala urojo.
Ujinga upi? wakati we ndo unakuwa na wasiwasi wa kitoto .

Hyo ardhu ilikuwa watu wanauziwa kimagendo na watu wa viwanja na kesi zipo kibao ndo maana wakaja juu na hilo swal.

Punguza chuki maana hata watu wajitenge wataishi wala hawana kitu kitapungua kwao kama burundi.
 

Dola ya Zanzibar ilikuwa kubwa imetapakaa hadi kwa Wangwana ndani ya Congo kabla wabelgiji hawajawapora.

Hiyo ramani ni ya wakoloni wa ulaya ila ya ukweli ikiyosababisha vita kati ya dola kubwa ya Zanzibar na Ubelgiji ndani kabisa ya iliyo sasa DR Congo simulizi yake ipo hadi katika Makumbusho ya Brussels Belgium na Berlin Germany ni hii hapa chini:

DOLA KUBWA YA ZANZIBAR 1800


Wakati Zanzibar ikiwa dola kubwa 1882 ilikuwa na wafanyabishara waliojipenyeza kibiashara, kijasusi, kijeshi mpaka Manyema DR Congo hadi bahari ya Atlantic Congo Brazaville na Angola.

Zanzibar kuwa Taifa kubwa la kibiashara muda huo Ikasababisha vita ya kijeshi na Ubelgiji. Vita 1892 / 1894 WHKMLA : History of the Belgo-Arab War, 1892-1894 ambayo ilichagizwa kwa ukubwa kuhusu maslahi ya kiuchumi hivyo majeshi ya kibelgiji ya King Leopold yaliyokuwa Congo na majeshi ya Dola Kubwa ya Zanzibar chini ya mwana wa Tippu Tip yaliyokuwa huko Congo yakisindikiza biashara maeneo hayo ya Afrika ya Kati kupambana.

Turuke / fast forward 2022 hii Dola Kubwa ya Sultani iliongozwa na nani ? Kwanini ikaitwa vita baina ya waBelge na WaArabu ? Je pande hizi mbili zilizopigana vita, zote siyo za kikoloni ambazo zinapigania masilahi yao ?

Between 1892 and 1894 the Force Publique of King Leopold II’s Congo Free State engaged in a series of little-known counter-insurgency operations against ivory and slave traders from Zanzibar, commonly referred to as Arabs. Without a particularly strong tradition of imperial service, this article argues that the predominantly Belgian officer corps borrowed and adapted methods used by more experienced colonial forces in the 19th Century. Whether taken from existing literature or learned through experience, it reveals that the Force Publique’s counter-insurgency methods reflected many of the more recognisable aspects of traditional French and British approaches. It suggests that, despite the unique nature of each colonial campaign, basic principles could be adapted by whomsoever to overcome the military and political challenges of colonial conquest. The Force Publique’s campaigns in the Congo-Arab War, therefore, provide further evidence as to how some base theories could be universally applied.
 
Tatizo letu kubwa Tanzania ni ujinga wa Watanzania.

Hii miaka ya dunia kiganjani ndiyo inazidi kuuanika ujinga tulionao.
Kwa hiyo bibi unataka tuwaachie ardhi yetu muipore ilhali ardhi yenu mnaiuza kwa mabeberu na waarabu? Huko shuleni ulienda kusomea elimu au ujinga? Kuwa na adabu na nchi ya Tanganyika. Hili sio shamba la bibi kwamba mje tu kujichotea ardhi tukiwatazama. Kitaumana!
 
Nimeshangazwa mno kusikia kwamba Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar imejimegea kipande kikubwa cha ardhi nchini Tanganyika huku serikali ya Tanganyika imekaa kimya. Haiwezekani uvamizi huu ufanyike mchana kweupe kila mtu akiona. Lazima kuna jambo limejificha nyuma ya hili sakata. Inawezekana serikali ya mapinduzi ama inataka kuipindua Tanganyika au imechoshwa na muungano; sasa wanataka kuleta chokochoko ili muungano ufe wagawane mbao. Kufulilah! Lolote liwalo na liwe....kama mbwai iwe mbwai! Wasitutishe.

View attachment 2642276
MAONI YANGU
Tangu zamani mimi niliwaambia kuwa huu muungano wa mchongo hauna maana yoyote hamkunisikia. Kiko wapi sasa, si mnaona wao wenyewe wameanza uchokozi? Moja ya makosa makubwa aliyofanya Nyerere ni kuinganisha Tanganyika na hawa wala urojo.

Kama Zanzibar wanaona nchi yao ni ndogo sasa wanataka kuja kupora ardhi ya Tanganyika ni bora waseme wamegewe mikoa ya Pwani, Morogoro, Dar es Salaam, Lindi na Mtwara kisha tuweke mipaka mipya kila nchi iendelee na mambo yake badala ya huu uhuni wanaofanya kupora ardhi ya Tanganyika kinyemela. Inauma sana.
Hakuna kuwapa sehemu yoyote wabaki na maeneo yao tu
 
Hiyo sehemu siyo sehemu ya kisiwa chao bali wamemilikishwa ardhi hiyo kama walivyomilikishwa ardhi watu wengine kwa ajili ya shamba,kujenga nyumba au kiwanda na mbona kuna taasisi nyingi tu za kutoka nje kabisa ya nchi wamemilikishwa ardhi kwa ajili ya shughuli zao na sijasikia kelele!
 
1 Hectore = 2.471Acre
6000 Hectore= 14826.32 Acre...

Hapa tunazungumizia karibu heka elf kumi na tano, 😂.
 
Oyaa mmesahau chukueni na Tanga, pangani, same ,himo, moshi mpaka Arusha chukueni, hiyo ni Zanzibar yote hiyo [emoji23][emoji23][emoji706]
 
Back
Top Bottom