baunsamuoga
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 398
- 544
Ni aridhi ya wazanzibari ambayo ipo ndani ya aridhi ya Tanzania au Tanganyika? Basi sawa!Hapana. Siyo uwongo. Nenda Bagamoyo kaulize wakazi wa huko watakuambia Kuna ardhi ya wazanzibari maarufu kama eneo la RAZABA
Pascal Mjerumani alinunua hizo 10 miles. Hakupewa kwa makubaliano ya kumlinda Sultani. Alilipa DM 4,000,000/=. Hata website ya DCC inasema hivyo
Mkuu hili jina lako Kakumamoto , ni mtihani na changamoto kweli kweli kwa baadhi yetu kulitamka!. Sisi wengine ni dhaifu!, uki imagine tuu, ka... kadogo!, ka moto!, lazima katakuwa ni ka..mu kweli kweli!, sasa sisi wenye udhaifu wa hisia za karibu, tunaanza kupata taabu na kuteseka!.Acha mambo ya kipuuzi, mambo afenye mkoloni bado tunayashikia bango kwamba ni ya ukweli wakati muungano tulionao sisi hatuutaki sababu umejaa mapungufu kibao. Mambo ya mjerumani na muarabu hayatuhusu, wote walititawala kimabavu na kufanya makubaliono wao wenyewe bila kuwahusisha wenyeji. Mambo ya kipuuzi kabisa
No sio kuchekesha, ardhi ya ubalozi ni nchi nyingine, ukikimbilia pale huwezi kukamatwa!.Wewe sasa unachofanya ni kutuchekecha.
mimi niko upande wa ukweli na nasimamia ukweliMzee wewe upo upande gani na unasimamia upande gani kwa mfano?
Mpuuzi mkubwa
zamu yao sasaivi. kuna siku mtakuja mtembee kwa mguu hadi kisiwa ndui.Leo nimekutana na clip ya Chars Hilary akiongea akitanabaisha kuwa kuna hekta elf 6 wilayani Bagamoyo ni mali ya serikali ya Zanzibar na mtu kutoka bara haruhusiwi kufanya shughuli za aina yoyote ndani ya ardhi hiyo kwani sio mali ya serikali ya Tanzania bara.
Jambo hili limenisikitisha sana and sijajua inakuwaje wazanzibari wawe na ardhi yao Tanganyika wakati mtanganyika ukifika Zanzibar ni sawa umeenda Kenya tu.
======
Msemaji wa Serikali ya Zanzibari, Charles Hillary amesema Shamba la Zaba lililoko Makurunge wilayani Bagamoyo ni mali ya Serikali ya Zanzibar hakuna mtu anayeruhusiwa kufanya shughuli yoyote eneo hilo.
Msemaji amesema Zanzibar imemiliki eneo hilo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977. Na amesema yoyete atakayeuziwa eneo katika ardhi hiyo hatalipwa fidia.
Pia soma: Zanzibar ndani ya Tanganyika ilianzia huku na 4,000 Coast villagers face land loss to investor
Haikuwa kwenye Heligoland treaty. Hii ilikuwa Separate arrangement kati ya Sultan na Wajerumani
Mwisho watasema Dar es salaam nayo ilikuwa ni zanzibar
Utajua mwenyeweWaabheja sana nkoi
Tuonyeshe uharamu wakeUnataka kusemaje kuwa ni halali?!
Utajua mwenyewe
mkuu kwani huna habari hilo?
KWA HERUFI KUBWA.Tanzania ni nchi moja ya JMT, ambapo Zanzibar ni sehemu ya JMT, SMZ na Mzanzibari yoyote yuko huru kumiliki Ardhi huku kwasababu kila Mzanzibari ni Mtanzania, ana haki zote za Utanzania ikiwemo kumiliki Ardh...
Si kweli ni kilomita 100!, ni 10 miles za coastal stripe, na lilinunuliwa na Wajerumani na Waingereza mwaka 1890 kupitia mkataba wa Hellingoland au The Zanzibar Treaty na sio 1900!.KWA HERUFI KUBWA.
ENEO LA PWA NI YA KUANZIA TANGA HADI MTWARA PAMOJA KILOMETA MIA MOJA KUTOKA UFUKWENI HADI RUFIJI, KILWA, MAFIA, LILIKUWA MALI YA ZANZIBAR MPAKA MWAKA 1900 WAINGEREZA WALIPOKUJA KUITWAA NA KUIINGIZA KATIKA BRITISH PROTECTORATE
Kwa maelezo yako ndugu Mayalla, una maanisha Mkataba wa "The Zanzibar Treaty" ndo uliowapa Zanzibar haki ya Kumiliki eneo Tanganyika? Makubaliano ni ili walindwe na ndicho ambacho Tanganyika inafanya na si kumilikishwa eneo, kama ingalikuwa hivyo basi Zanzibar wangepaswa kuwa na eneo na Kenya pia kwa sababu pwani ya Kenya kama ilivyokua kwa pwani ya Tanganyika ni miongoni mwa maeneo yaliyokua chini ya sultani kabla ya Mkataba Huo kusainiwa.Tanzania ni nchi moja ya JMT, ambapo Zanzibar ni sehemu ya JMT, SMZ na Mzanzibari yoyote yuko huru kumiliki Ardhi huku kwasababu kila Mzanzibari ni Mtanzania, ana haki zote za Utanzania ikiwemo kumiliki Ardhi...
Hapana!. Zanzibar ilipewa eneo la maili 10 za ukanda Pwani ya Africa Mashariki, na ule mkutano wa Berlin wa mwaka 1884, ulioitishwa na Von Bismarck.Kwa maelezo yako ndugu Mayalla, una maanisha Mkataba wa "The Zanzibar Treaty" ndo uliowapa Zanzibar haki ya Kumiliki eneo Tanganyika?
Ni kweli makubaliano ya Ujerumani na baadae Uingereza ni kumlinda Sultan. Baada ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Sultan mpinduliwa alikimbilia Uingereza na kuomba msaada kuja kusaidiwa, Uingereza ikakubali, ikatuma manowari za kijeshi kuja kuikomboa Zanzibar, by the time manowari za Uingereza zimefika Mombasa, huku nyuma tukaungana kukawa hakuna tena nchi ya Zanzibar, iliyopo ni JMT, hivyo safari Uingereza ya kuigomboa Zanzibar, ikaishia Mombasa!. Tanzania ndio mlinzi wa Zanzibar!.Makubaliano ni ili walindwe na ndicho ambacho Tanganyika inafanya na si kumilikishwa eneo,
Sio hivyo.kama ingalikuwa hivyo basi Zanzibar wangepaswa kuwa na eneo na Kenya pia kwa sababu pwani ya Kenya kama ilivyokua kwa pwani ya Tanganyika ni miongoni mwa maeneo yaliyokua chini ya sultani kabla ya Mkataba Huo kusainiwa.