Zanzibar: Hekta 6,000 zilizopo Bagamoyo ni mali yetu
Anko tunakuheshimu sana sasa naomba usitukosee heshima sisi wapwa. Inawezekana wewe ulikunywa maji ya bendera na kujiassociate na siasa na sera za miaka hiyo sisi huo upuuzi hatuwezi entertain hata kidogo.

Naomba ifike wakati sasa wa ninyi watu wazima ambao mnaelekea uzee kuwa maswala ya kitaifa kwasasa ninyi sio sole proprietorship haya ni maswala ya vijana na kizazi kijacho.
Asante sana kwa kumjibu huyu. Ameshasema anaingia kwenye siasa, na hili la muungano ni la ccm walioishiwa mawazo na maono ndio wanang'ang'ania
 
Tukiendelea kucheka na Zanzibar itakuwa kama Urusi kwa Ukraine, kuna siku watasema na Dar ni mali yao
Kabisa bob. Unajua shida iliyopo tumesurrender mamlaka ya maamuzi kwa watu binafsi wanaojinasibu kuwa ni viongozi wa kitaifa na wao kwa kiburi hicho wanaendesha taifa na taasisi zake kama mali binafsi wakijisahau kuwa kuna wenye fainal say , sisi , Wanainchi.

Sasa ni muda muafaka wa kutwaa mamlaka yarejee kwenye taasisi zetu ambazo tunazitambua. Hawa washenzi tuwaexpel kama wadudu wengine waharibifu.
 
Tanzania ni nchi moja ya JMT, ambapo Zanzibar ni sehemu ya JMT, SMZ na Mzanzibari yoyote yuko huru kumiliki Ardhi huku kwasababu kila Mzanzibari ni Mtanzania, ana haki zote za Utanzania ikiwemo kumiliki Ardhi.

Ranchi ya Makurunge iliyopo Bagamoyo ni mali halali ya SMZ. Tena tuna bahati wakoloni Wajerumani walitusaidia, ukanda wa maili 10 za Pwani yote ya bahati ya Hindi kuanzia Sofala hadi Mombasa ilikuwa ni mali ya Sultan of Zanzibar!. Sultan alipewa eneo hilo na mkutano wa Berlin kugawana Africa ile 1884. Miaka 6 baadae 1890, ndipo Ujerumani, na Uingereza wakaingia mkataba za Sultan of Zanzibar awaachie, na wao wakaahidi kumlinda.

Mkataba huo unaitwa The Zanzibar Treaty, huku Ujerumani na Uingereza wakiachiana maeneo, visiwa vya Witu na Helingoland, na ni mkataba huu ndio wakahamisha mipaka ya Ziwa Nyasa kulifanya la Malawi!.
P
Mkuu, eneo la Razaba sio geni, sina kumbukumbu za miaka sahihi lkn hayati JK Nyerere ndio aliwapa Zanzibar hili shamba lwa matumizi ya ranch,. Lkn Znz ilishindwa kuendelea na hiyo project, Basi serikali ya Tanganyika wakalirejesha ilo ilo na likawa sehemu ya hifadhi ya saadani,


Miaka ya 2010's walikuja wa Sweden ambao walilenga kuanzisha kilimo cha miwa na waka kabidhiwa ilo ilo eneo , sababu ya mdororo wa kiuchumi SEKAB wakashindwa kuendelea na mradi kisha wakaja kampuni Eco energy hawa walienda mbali zaidi waka anzisha mpaka na vitalu pale Makurunge darajqn ... Lkn baadae wakashindwa ... Niliwahi kusoma rrepoti moja ya Action Aid inahusu Biofuel production and Land grabbing Tz, ili toa historia nzuri ya eneo la Razaba, ..
 
Sasa huoni kama huo ni upumbavu?!
Yes Kila Mzanzibari ni Mtanzania ana haki zote za Utanzania ila sio kila Mtanzania ni Mzanzibari!. Wenye haki Zanzibar ni Wazanzibari wakaazi.
P

Excerpt.
"Kila Mzanzibari ni Mtanzania ana haki zote za Utanzania"

Mbona hawawi ma RC, ma DC na ma DED bara!?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Kumiliki wa Ardhi ni popote, Dar inaweza kumiliki Ardhi Morogoro, Tanzania ikamiki ardhi Kenya, pale Rusomo kuna ardhi ya Rwanda, Burundi na DRC. Maeneo yote ya Balozi zote za nje ni maeneo yao na sio sehemu ya Tanzania, ukifanya uhalifu ukakimbilia Umoja House au American Embassy, polisi haiwezi kukukamata!.
P
Wewe sasa unachofanya ni kutuchekecha.
 
Wewe una ardhi Zanzibar? tuache bhana tutakuja kukushushia matusi asubuhi asubuhi sisi siyo watoto wadogo unatukwaza na njaa zako kutetea upuuzi wako hapa. Askofu Shoo ni mjinga alivyolalamika mbele ya Mwinyi kuwa kwanini wabara hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar? njaa imekuharibu sn nenda kwenye kaburi na dikteta Magufuli ukatubu
Anakera balaa aisee halafu sijui ana enjoy sisi tunavyomind ?!
 
Yaani nilijua ni mm tu nashangaaga sana asubh hadi jioni ni simba na yanga wakibadili ni diamond na fantana..dah we are dumped...[emoji849]
Taifa lina media za hovyo sana. Matatizo lukuki kwenye taifa vipindi 24/7 ni miziki ya hovyo, na vipindi vya ujinga ujinga tu. Cha muhimu kilichobakia kwenye local channels ni taarifa ya habari tu na sio vinginevyo.
 
TAIFA DOGO LIMELIMEZA TAIFA KUBWA.WATANGANYIKA TUAMKENI CCM IMETUINGIZA UTUMWANI. HAWA WAZANZIBARI WAKIWA WENYEWE WANATUTUKANA NA KUTUDHARAU SANA SISI WATANGANYIKA.
UNARUHUSIWA KWENDA MOROGORO NA KUJITWALIA EKARI ZOZOTE UPENDAZO BILA SHIDA YOYOTE ALIMRADI UFUATE UTARATIBU.
 
Tanzania ni nchi moja ya JMT, ambapo Zanzibar ni sehemu ya JMT, SMZ na Mzanzibari yoyote yuko huru kumiliki Ardhi huku kwasababu kila Mzanzibari ni Mtanzania, ana haki zote za Utanzania ikiwemo kumiliki Ardhi.

Ranchi ya Makurunge iliyopo Bagamoyo ni mali halali ya SMZ. Tena tuna bahati wakoloni Wajerumani walitusaidia, ukanda wa maili 10 za Pwani yote ya bahati ya Hindi kuanzia Sofala hadi Mombasa ilikuwa ni mali ya Sultan of Zanzibar!. Sultan alipewa eneo hilo na mkutano wa Berlin kugawana Africa ile 1884. Miaka 6 baadae 1890, ndipo Ujerumani, na Uingereza wakaingia mkataba za Sultan of Zanzibar awaachie, na wao wakaahidi kumlinda.

Mkataba huo unaitwa The Zanzibar Treaty, huku Ujerumani na Uingereza wakiachiana maeneo, visiwa vya Witu na Helingoland, na ni mkataba huu ndio wakahamisha mipaka ya Ziwa Nyasa kulifanya la Malawi!.
P
Acha mambo ya kipuuzi, mambo afenye mkoloni bado tunayashikia bango kwamba ni ya ukweli wakati muungano tulionao sisi hatuutaki sababu umejaa mapungufu kibao. Mambo ya mjerumani na muarabu hayatuhusu, wote walititawala kimabavu na kufanya makubaliono wao wenyewe bila kuwahusisha wenyeji. Mambo ya kipuuzi kabisa
 
Kati ya maamuzi ya OVYO aliyowahi kuyafanya mwalimu Nyerere ni huu uzembe wa kuwapa ardhi wazanzibar ndani ya Tanganyika. Ni uamuzi wa kijinga sana. Hakukuwa na sababu yoyote ya msingi kuwapa ardhi hawa wapuuzi.

Lakini kwa kuwa sasa haiendelezwi lazima irudishwe mikononi mwa wananchi ili watanganyika wapate ardhi ya kulima au kujenga. Na kama watawala hawataki kuigawa, wananchi tutainyakua kwa nguvu.
 
Ndio tayari lipo kwenye mikono ya wazanzibari! Lkn ni taarifa yenye kuvutia na kushangaza!
 
Tanzania ni nchi moja ya JMT, ambapo Zanzibar ni sehemu ya JMT, SMZ na Mzanzibari yoyote yuko huru kumiliki Ardhi huku kwasababu kila Mzanzibari ni Mtanzania, ana haki zote za Utanzania ikiwemo kumiliki Ardhi.

Ranchi ya Makurunge iliyopo Bagamoyo ni mali halali ya SMZ. Tena tuna bahati wakoloni Wajerumani walitusaidia, ukanda wa maili 10 za Pwani yote ya bahati ya Hindi kuanzia Sofala hadi Mombasa ilikuwa ni mali ya Sultan of Zanzibar!. Sultan alipewa eneo hilo na mkutano wa Berlin kugawana Africa ile 1884. Miaka 6 baadae 1890, ndipo Ujerumani, na Uingereza wakaingia mkataba za Sultan of Zanzibar awaachie, na wao wakaahidi kumlinda.

Mkataba huo unaitwa The Zanzibar Treaty, huku Ujerumani na Uingereza wakiachiana maeneo, visiwa vya Witu na Helingoland, na ni mkataba huu ndio wakahamisha mipaka ya Ziwa Nyasa kulifanya la Malawi!.
P
Imefika mahari tunazungumzia uzanzibari na ubara? Kwahyo kumbe ni hoja iliyofunikwa na historia ?
 
Back
Top Bottom