Zanzibar: Hekta 6,000 zilizopo Bagamoyo ni mali yetu
Na kuna vitu navijua kuhusu Jengo la Ikulu yetu ya Magogoni, wakoloni Wajerumani na Waingereza walivificha!. Ikulu ni mjengo wa Kiarabu ulijengwa na Sultan of Zanzibar, kulikuwa na misikiti mule, na kuna makaburi. Waingereza walipochukua nchi kutoka kwa Wajerumani, wakavunja misikiti na kutundika msalabani!. Wakajifanya wamejenga wao!.

Masikini Msukuma yule, kwa ushamba tuu wa Kisukuma, tuka copy and paste mjengo wa Kiarabu na kuu paste pale Chamwino!. Kiukweli Mkuu wa nchi kuwa na exposure ni jambo zuri sana, mtu huwezi kupata exposure bila kusafiri. We had a chance to erect an ultra modern state of art state house!, ingekuwa kivutio cha watalii Dodoma!.
P
Hakuna ubaya kucopy paste mjengo wa kiarabu. Ni sehemu ya historia yetu. Lugha yetu yenyewe na sehemu ya utamaduni wetu ni wa kiarabu. Aliyecopy paste ni mjanja wala si mshamba.
 
Na kuna vitu navijua kuhusu Jengo la Ikulu yetu ya Magogoni, wakoloni Wajerumani na Waingereza walivificha!. Ikulu ni mjengo wa Kiarabu ulijengwa na Sultan of Zanzibar, kulikuwa na misikiti mule, na kuna makaburi. Waingereza walipochukua nchi kutoka kwa Wajerumani, wakavunja misikiti na kutundika msalabani!. Wakajifanya wamejenga wao!.

Masikini Msukuma yule, kwa ushamba tuu wa Kisukuma, tuka copy and paste mjengo wa Kiarabu na kuu paste pale Chamwino!. Kiukweli Mkuu wa nchi kuwa na exposure ni jambo zuri sana, mtu huwezi kupata exposure bila kusafiri. We had a chance to erect an ultra modern state of art state house!, ingekuwa kivutio cha watalii Dodoma!.
P
Kweli kabisa yule jamaa yako alikuwa mshamba sana. Kutosafiri kwa sababu ya kutojua kuongea kingereza kulimponza sana. Angekuwa kasafiri angeona ikulu za wenzetu zinafananaje. Afu pia ni mvivu wa kudadisi; hata ngeweza ku GUGU tu angepata ramani nzuri ya ikulu. Hata RC Makalla anamshinda akili.
 
M naona ni kawaida tu.
Mbona marekani, wingereza n.k wanamiliki visiwa afrika [emoji848]
 
Leo nimekutana na clip ya Chars Hilary akiongea akitanabaisha kuwa kuna hekta elf 6 wilayani Bagamoyo ni mali ya serikali ya Zanzibar na mtu kutoka bara haruhusiwi kufanya shughuli za aina yoyote ndani ya ardhi hiyo kwani sio mali ya serikali ya Tanzania bara.

Jambo hili limenisikitisha sana and sijajua inakuwaje wazanzibari wawe na ardhi yao Tanganyika wakati mtanganyika ukifika Zanzibar ni sawa umeenda Kenya tu.

======
Msemaji wa Serikali ya Zanzibari, Charles Hillary amesema Shamba la Zaba lililoko Makurunge wilayani Bagamoyo ni mali ya Serikali ya Zanzibar hakuna mtu anayeruhusiwa kufanya shughuli yoyote eneo hilo.

Msemaji amesema Zanzibar imemiliki eneo hilo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977. Na amesema yoyete atakayeuziwa eneo katika ardhi hiyo hatalipwa fidia.

Pia soma: Zanzibar ndani ya Tanganyika ilianzia huku na 4,000 Coast villagers face land loss to investor
Nadhani Comoorow nao wana ardhi Mtwara
 
Tanzania ni nchi moja ya JMT, ambapo Zanzibar ni sehemu ya JMT, SMZ na Mzanzibari yoyote yuko huru kumiliki Ardhi huku kwasababu kila Mzanzibari ni Mtanzania, ana haki zote za Utanzania ikiwemo kumiliki Ardhi.

Ranchi ya Makurunge iliyopo Bagamoyo ni mali halali ya SMZ. Tena tuna bahati wakoloni Wajerumani walitusaidia, ukanda wa maili 10 za Pwani yote ya bahati ya Hindi kuanzia Sofala hadi Mombasa ilikuwa ni mali ya Sultan of Zanzibar!. Sultan alipewa eneo hilo na mkutano wa Berlin kugawana Africa ile 1884. Miaka 6 baadae 1890, ndipo Ujerumani, na Uingereza wakaingia mkataba za Sultan of Zanzibar awaachie, na wao wakaahidi kumlinda.

Mkataba huo unaitwa The Zanzibar Treaty, huku Ujerumani na Uingereza wakiachiana maeneo, visiwa vya Witu na Helingoland, na ni mkataba huu ndio wakahamisha mipaka ya Ziwa Nyasa kulifanya la Malawi!.
P
Na vipi kama sisi kizazi cha sasa Vijukuu wa Nyerere tumegoma na hatutaki ardhi yetu iende kwa hao watoto wa mamdogo?!
 
Km wakenya wapo huko ifakara, kilosa, wanalima bila wasiwasi na kusafirisha mazao Yao mpk Kenya nn cha kushangaza Zanzibar kumiliki hizo hekari. Vijana wa hii nchi wapo usingizini fofofo
Hizi vitu huwa zinanipa hasira aiseee natamani kuacha kila kitu niende huko nikatembeze kichapo mkoa mzima.
 
1685691497563.png
 
Hii ni Zanzibar, Je tunajua Nini kuhusu bmakubaliano ya Muungano wa Nyerere na Karume?
 
Nchi gani ya serikali tatu ndio maana wazungu wanatuona nyani kwa akili hizi, muungano gani huu .

Raisi angekuwa mmoja wa jamuhuri ya muungano zenji ikagawanywa mikoa ya tanzania uko wakawekwa wakuu wa mikoa alikadhalika kama ilivyo uku.
Atakayeleta ubishi ni mwendo wa kutekwa na kupotezwa kama wanavyopotezwa wengine.
 
Na kwanini iwe sasa? Tangu mwaka 1977 katiba ina anzishwa sijui na tunapata sheria za ardhi zote mbili mwaka 1990s Kama sijakosea

Wanunue maeneo mengine hapo kama watu wame vamia au kuuziwa an una weza kuta na viwanja na hati zimetoka pia
Wanasheria wetu wa Tanganyika law Society wamelala tu mbwa wale.
 
TAIFA DOGO LIMELIMEZA TAIFA KUBWA.WATANGANYIKA TUAMKENI CCM IMETUINGIZA UTUMWANI. HAWA WAZANZIBARI WAKIWA WENYEWE WANATUTUKANA NA KUTUDHARAU SANA SISI WATANGANYIKA.
CCM ni tatizo. Huu muungano wao ndio wanamaslahi nao sisi raia hata hatuwaelewi.
 
Na vipi kama sisi kizazi cha sasa Vijukuu wa Nyerere tumegoma na hatutaki ardhi yetu iende kwa hao watoto wa mamdogo?!
Umiliki wa ardhi ni jambo la kisheria, huwezi kusema unakataa, ardhi ya Tanzania ni rukhsa kumilikiwa na yeyote as long as amefuata sheria, taratibu na kanuni, huwezi kumzuia yeyote kumiliki aridhi popote, ila umiliki wa ardhi yoyote ya Tanzania, kumilikiwa na yeyote, hakuibadili hiyo ardhi kuwa ni mali ya mmiliki, ardhi hiyo inaendelea kubaki ni ardhi ya Tanzania mpaka mwisho wa dunia. Kitendo cha SMZ kumiliki ardhi Tanzania, hakuifanyi Ardhi hiyo kuwa ni sehemu ya Zanzibar, ardhi hiyo ni ya Tanzania bara milele ila inamilikiwa na SMZ kwa milki tuu na sio sehemu ya Zanzibar!.
P
 
Elimu ya uraia, inahitajika sana. Tanzania ni nchi moja ya JMT, muungano wetu ni muungano wa union, nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar kuungana na kuwa nchi moja ya JMT. Hakuna any contradiction kwenye hili. Ila ndani ya muungano, muungano wetu ni wa federation wa nchi mbili za Tanzania Bara na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar.
P
Kwann sasa upande wa Zanzibar wanakuwa na vikauli vya kinafiki nafiki, vikauli vya kulazimisha migogoro na kujitutumua wakati ni makabwela.

Yaani Zanzibar habari wanazotuletea huku ni kama vile Baba wa familia ajitolee kulea mtoto yatima amlete kwenye familia ya watoto wake wa kuwazaa halafu huyu mtoto yatima aanze kuwapangia Maisha hawa watoto halali wa huyu Msamaria mwema aliyempa hifadhi.

Unahisi mtoto yatima ana haki kuwashinda watoto halali?!


Sasa hawa wavaa kilemba sisi tokea lini wakaja kuwa na mamlaka juu ya ardhi yetu. Kumbuka ardhi sio sehemu ya mambo ya muungano, si tulikubaliana hilo au mimi nilielewa vibaya yale maneno?

Ifike hatua ninyi watu wazima mliotangulia umri mjue mnafanya kosa kubwa sana la kuwapotosha vijana wa Tanganyika huku mkiwalealea wafunga kilemba, sisi kama vijana wa hili taifa hatutacheka na ngedere yoyote anayesacrifice rasilimali za wadogo zetu kwa maslahi binafsi.

Ardhi hapa Tanganyika tunayo kubwa ila haimaanishi no ardhi ambayo ipo available kugawa kwa yoyote anayejiskia. Hiyo ardhi ni kwaajiri yetu Vijana Watanganyika na wadogo zetu na watoto wetu. Ninyi Wazee wetu mshafeli jukumu la kulinda taifa mnagawa gawa vitu hovyo, mafuta mnagawa, gesi mnagawa, madini mnagawa, pesa mnaharibu mnatuharibia jamii yetu taifa limewashinda kuendesha.


Waambieni hizo hekari 6000 hata kama ni kidogo hawataweza kukaa hapo na soon tutazichekecha makaratasi zisitambulike kuwa zao kwa sababu yoyote ile.

Huyu mama nae mimi simuelewi itikadi zake. Kwanza huu utaratibu wa kuwa na rais anatokea au kuwa na asili ya Zanzibar ufe, maana wakija Uzalendo kwa taifa wanapwaya sana hawana misuli ya kusimamia taifa.
 
Roho inaniuma ninapokutana na comment kama hizi
Niliwahi kukamatwa na polisi wa zanzibar kwa kuendesha gari bila kibali cha kuendesha gari(leseni ya tanzania bara haitambuliki ukifika kule lazima ukate permit za kuendesha gari ni kama uonavyo hapa bongo wageni wa mataifa mengine walivyo na leseni zao)
Us*nge sana huu aisee inakera sana.
 
Back
Top Bottom