Zanzibar: Hekta 6,000 zilizopo Bagamoyo ni mali yetu
Nimeshangazwa mno kusikia kwamba Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar imejimegea kipande kikubwa cha ardhi nchini Tanganyika huku serikali ya Tanganyika imekaa kimya. Haiwezekani uvamizi huu ufanyike mchana kweupe kila mtu akiona. Lazima kuna jambo limejificha nyuma ya hili sakata. Inawezekana serikali ya mapinduzi ama inataka kuipindua Tanganyika au imechoshwa na muungano; sasa wanataka kuleta chokochoko ili muungano ufe wagawane mbao. Kufulilah! Lolote liwalo na liwe....kama mbwai iwe mbwai! Wasitutishe.

View attachment 2642276
MAONI YANGU
Tangu zamani mimi niliwaambia kuwa huu muungano wa mchongo hauna maana yoyote hamkunisikia. Kiko wapi sasa, si mnaona wao wenyewe wameanza uchokozi? Moja ya makosa makubwa aliyofanya Nyerere ni kuinganisha Tanganyika na hawa wala urojo.

Kama Zanzibar wanaona nchi yao ni ndogo sasa wanataka kuja kupora ardhi ya Tanganyika ni bora waseme wamegewe mikoa ya Pwani, Morogoro, Dar es Salaam, Lindi na Mtwara kisha tuweke mipaka mipya kila nchi iendelee na mambo yake badala ya huu uhuni wanaofanya kupora ardhi ya Tanganyika kinyemela. Inauma sana.
Mkuu huu ni uchokozi mkubwa kama aliofanya idd Amin, na kunapoint yako sio ya kubeza ya kupindua Tanganyika ,kumbuka uyo rais wa uko amekua wizara ya ulinzi miaka mingi, ila naona anachokitafuta atakipata , watangulizi wake mbona hawajawahi lisema hili ,kunani
 
Nimeshangazwa mno kusikia kwamba Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar imejimegea kipande kikubwa cha ardhi nchini Tanganyika huku serikali ya Tanganyika imekaa kimya. Haiwezekani uvamizi huu ufanyike mchana kweupe kila mtu akiona. Lazima kuna jambo limejificha nyuma ya hili sakata. Inawezekana serikali ya mapinduzi ama inataka kuipindua Tanganyika au imechoshwa na muungano; sasa wanataka kuleta chokochoko ili muungano ufe wagawane mbao. Kufulilah! Lolote liwalo na liwe....kama mbwai iwe mbwai! Wasitutishe.

View attachment 2642276
MAONI YANGU
Tangu zamani mimi niliwaambia kuwa huu muungano wa mchongo hauna maana yoyote hamkunisikia. Kiko wapi sasa, si mnaona wao wenyewe wameanza uchokozi? Moja ya makosa makubwa aliyofanya Nyerere ni kuinganisha Tanganyika na hawa wala urojo.

Kama Zanzibar wanaona nchi yao ni ndogo sasa wanataka kuja kupora ardhi ya Tanganyika ni bora waseme wamegewe mikoa ya Pwani, Morogoro, Dar es Salaam, Lindi na Mtwara kisha tuweke mipaka mipya kila nchi iendelee na mambo yake badala ya huu uhuni wanaofanya kupora ardhi ya Tanganyika kinyemela. Inauma sana.
Wakati huohuo mwananchi wa Bara haruhusiwi kumiliki kipande cha ardhi huko Zenji. Hata kuishi kule unahitaji kuwa na kibali unlike wazenji huku Bongo wanajivinjari tu.
 
Leo nimekutana na clip ya Chars Hilary akiongea akitanabaisha kuwa kuna hekta elf 6 wilayani Bagamoyo ni mali ya serikali ya Zanzibar na mtu kutoka bara haruhusiwi kufanya shughuli za aina yoyote ndani ya ardhi hiyo kwani sio mali ya serikali ya Tanzania bara.

Jambo hili limenisikitisha sana and sijajua inakuwaje wazanzibari wawe na ardhi yao Tanganyika wakati mtanganyika ukifika Zanzibar ni sawa umeenda Kenya tu.

======
Msemaji wa Serikali ya Zanzibari, Charles Hillary amesema Shamba la Zaba lililoko Makurunge wilayani Bagamoyo ni mali ya Serikali ya Zanzibar hakuna mtu anayeruhusiwa kufanya shughuli yoyote eneo hilo.

Msemaji amesema Zanzibar imemiliki eneo hilo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977. Na amesema yoyete atakayeuziwa eneo katika ardhi hiyo hatalipwa fidia.

Wanzanzibari acheni uchokozi mbona Zanzibar yote ni mali ya Tanganyika tangu enzi za kale.
 
Mipaka ya Zanzibar unajua kuwa inaishia huko baharini haifiki huku bara? Sasa huku bara wanatafuta nini? Lazima tuchukue ardhi yetu. Ardhi ya Tanganyika sio shamba la bibi kwamba kila mtu aje kujichotea. Wananchi wakose ardhi ya kulima kisa ardhi yao imeporwa na wala urojo? Haikubaliki.
Wakurya wanalia dhidi ya Grumeti na Barrick Gold hadi Mbunge naye anaungana nao kulia, kwahiyo watani zangu Wakwere nao wajiandae kulia?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Katika hati yenye lease au umiliki wa miaka 99, tayari 46 imeliwa Tanganyika tuchukue chetu. Kwanza wamekiuka masharti kwa kutoendeleza hadi leo. Walipewa wafuge ng'ombe pale.
 
Wazanzibar ni watu wa ajabu sana. Nchi yao ni ndogo lakini kila siku tunasikia rais wao akiuza visiwa kwa mabeberu na ardhi inazidi kupungua. Amemaliza kuuza nchi yake kwa mabeberu sasa anakuja kupora ardhi ya Tanganyika. Huu ni uchokozi usiokubalika.
Idd Amin alivyotaka Kagera tulimtandika, huenda leo pia tungekuwa na miungano 2 ya Tanganyika na Znz na pia Tanganyika na Uganda na sasa tungekuwa kupitia muungano tunamiliki mafuta ya Ohima[emoji16][emoji3][emoji23]

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Nimeshangazwa mno kusikia kwamba Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar imejimegea kipande kikubwa cha ardhi nchini Tanganyika huku serikali ya Tanganyika imekaa kimya. Haiwezekani uvamizi huu ufanyike mchana kweupe kila mtu akiona. Lazima kuna jambo limejificha nyuma ya hili sakata. Inawezekana serikali ya mapinduzi ama inataka kuipindua Tanganyika au imechoshwa na muungano; sasa wanataka kuleta chokochoko ili muungano ufe wagawane mbao. Kufulilah! Lolote liwalo na liwe....kama mbwai iwe mbwai! Wasitutishe.

View attachment 2642276
MAONI YANGU
Tangu zamani mimi niliwaambia kuwa huu muungano wa mchongo hauna maana yoyote hamkunisikia. Kiko wapi sasa, si mnaona wao wenyewe wameanza uchokozi? Moja ya makosa makubwa aliyofanya Nyerere ni kuinganisha Tanganyika na hawa wala urojo.

Kama Zanzibar wanaona nchi yao ni ndogo sasa wanataka kuja kupora ardhi ya Tanganyika ni bora waseme wamegewe mikoa ya Pwani, Morogoro, Dar es Salaam, Lindi na Mtwara kisha tuweke mipaka mipya kila nchi iendelee na mambo yake badala ya huu uhuni wanaofanya kupora ardhi ya Tanganyika kinyemela. Inauma sana.
Mm ni kijana tu ila nimemuuliza Mzee hapa kanambia iyo ishu wala sio ngeni

Zanzibar walinunua hilo eneo la makurunge kwa ajili ya ufugaji kipindi cha Aboud Jumbe ila watu wakafanya yao huo mradi ukafa lakini ulifanya kazi kma 15yrs kwaio msipende kukurupuka vijana ambao hamjui historia

Mbona mazimbu kule wanamiliki wadizonga(wasouth) na hamjapayuka hivi
Kma hatujui historia vijana ni bora tukawaulize wazee
 
Mambo ya kawaida kabisa nchi na nchi kupeana eneo la ardhi.

Rasi ya Kaliningrad ipo mbali na Russia lakini inajulikana kama ni eneo lake baada ya mikataba / treaty kusainiwa.

Falme ya Lesotho ipo ndani ya Republic of South Africa lakini mkataba / treaty hiyo inaheshimika kuwa Lesotho ni nchi

Mifano ipo mingi sana hata bandarini Dar es Salaam Burundi walipewa ardhi kupitia Mkataba wa Belbases Belbases -Convention 1921 hadi mwaka 1994 ulioisha kufuatana na masharti na vigezo kuwa gati bandari ya Dar es Salaam, Gati Kigoma, mabehewa hayafunguliwi n.k inaonesha historia ya treaties

Tuenzi hii mikataba kwani ina manufaa pakubwa katika nyanja za kuchochea biashara, uchumi na diplomasia ya kiuchumi bila kusahau inaimarisha uendelevu wa kuaminiana na kufahamiana baina ya nchi na nchi.

Tuache choyo na kuoneana inda wakati masuala haya ni kawaida katika dunia hii .
Kwahiyo tungemuachia Idd Amin Kagera na Mwanza?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Ishia hapo hapo. Ukitaka kutuletea mipaka ya kikoloni, Zanzibar yote itaamgukia ndani ya Tanganyika. Bora tu ukae kimya. Usichokoze nyuki ilhali huna uwezo wa kutimua mbio, shauri yako!
nenda ukasome vizuri historia halafu uje na stori za kutimua mbio
 
Mm ni kijana tu ila nimemuuliza Mzee hapa kanambia iyo ishu wala sio ngeni

Zanzibar walinunua hilo eneo la makurunge kwa ajili ya ufugaji kipindi cha Aboud Jumbe ila watu wakafanya yao huo mradi ukafa lakini ulifanya kazi kma 15yrs kwaio msipende kukurupuka vijana ambao hamjui historia

Mbona mazimbu kule wanamiliki wadizonga(wasouth) na hamjapayuka hivi
Kma hatujui historia vijana ni bora tukawaulize wazee
Historia ya kama ile ya Rwanda na Burundi kuwa zilikuwa sehemu ya Tanganyika wakati wa ukoloni wa Kijerumani inatusaidiaje leo kwa mfano?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Mm ni kijana tu ila nimemuuliza Mzee hapa kanambia iyo ishu wala sio ngeni

Zanzibar walinunua hilo eneo la makurunge kwa ajili ya ufugaji kipindi cha Aboud Jumbe ila watu wakafanya yao huo mradi ukafa lakini ulifanya kazi kma 15yrs kwaio msipende kukurupuka vijana ambao hamjui historia

Mbona mazimbu kule wanamiliki wadizonga(wasouth) na hamjapayuka hivi
Kma hatujui historia vijana ni bora tukawaulize wazee
Ama wana uraia au wana vibali vya ukazi kwa ajili ya kutunza urithi wa historia ya pale kwa kuhusiana na harakati za ukombozi wa Kusini mwa Afrika.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Kama serikali hiyo hiyo ilipindua Historia ya Tanganyika na kupotosha umma iweje Leo washindwe kuipindua tena.
Wamefichaficha wee sasa vinaanikwa.
 
Back
Top Bottom