Zanzibar: Hekta 6,000 zilizopo Bagamoyo ni mali yetu
Umiliki wa ardhi ni jambo la kisheria, huwezi kusema unakataa, ardhi ya Tanzania ni rukhsa kumilikiwa na yeyote as long as amefuata sheria, taratibu na kanuni, huwezi kumzuia yeyote kumiliki aridhi popote, ila umiliki wa ardhi yoyote ya Tanzania, kumilikiwa na yeyote, hakuibadili hiyo ardhi kuwa ni mali ya mmiliki, ardhi hiyo inaendelea kubaki ni ardhi ya Tanzania mpaka mwisho wa dunia. Kitendo cha SMZ kumiliki ardhi Tanzania, hakuifanyi Ardhi hiyo kuwa ni sehemu ya Zanzibar, ardhi hiyo ni ya Tanzania bara milele ila inamilikiwa na SMZ kwa milki tuu na sio sehemu ya Zanzibar!.
P
Ufanunuzi mzuri sana ulioutoa ,ila atu wamechukulia hiki swala kimhemko na ndio tatizo kubwa liliopo duniani kwa sasa ,hakuna kuchunguza uhalisia wa jambo ni kuibuka tu na kutoa maoni.
 
Nimejikuta napatwa na hasira kwa jambo ambalo halinigusi mimi wala maslai yangu
Nchi hii yenye majeshi yote
Nchi hii yenye DEEP STATE
Kuna watu nanajiona wao ndio watanganyika halisi yaani wazalendo kweli kweli
Uswenge kama huu unatendeka wao ni kusifu ma kuabudu chama tawala na sasa wanajitengenezea ukuta imara yaani "untouchable" yaani chochote akifanya kiwe kizuri or kibaya hakuna wa kuuliza kisheria ama kimatendo...[emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Nina hasira na hawa takataka aiseee huwa nashindwa hata pozi la kukaa babu.
 
Ahsante P umetusaidia sana
1. Umekwepa kusema kuwa Ngosha wewe huwezi miliki hata nusu heka pale zanzibar.
2. Ati ilikuwa mali ya sultani wajerumani walitusaidia huyo sayid aliibeba kutoka maskat au?
3. Hongera zako P na Januari najua mpo kujipongeza kwa bajeti ya kishindo. Mitungi 100 mmegawana kimya kimya... nchi hii inawachawi wengi sana Mungu kawaumbua mama salma katopoka
Hawa ndio walikuwa watu wazima wakutetea Tanganyika na kuwatetea wajukuu zetu ila hawa ndio wamekuwa changamoto kuliko maelezo.
 
Kwakweli hii kitu inaboa kweli. Yani siku hizi ulipita mitaani watu ni habari za yanga na simba 24/7/365. Hakuna kitu kingine cha maendeleo watu wanachojadili. Huko kwenye magroup ya whatsapp ndio usiseme. Redioni nako, ni habari za mpira tuuuu. Hivi ntakula huo mpira. Inaudhi sana
Wajinga sana. Najiuliza hawa watu wa media ingekuwa miaka ya ukoloni hivi wangethubutu hata kupiga nyimbo za madongo kwa wakoloni the way wazee wetu walijitoa miaka ile?!

Tuna majitu maoga sana miaka hii.
 
"Mali ya Sultani wa Zanzibar".
Sultan hakuwahi kuikabidhi Zanzibar wala mali zake nyingine kwa wazanzibar.

Zanzibar wenyewe walimkimbiza Sultan wao na kumnyang'anya mali zake. Katika kumnyang'anya huko, haimaanishi kila alichokua nacho Sultan kitakua ni mali ya Zanzibar, la hasha. Sultani alikua na mali nyingine huko kwao Oman, Je hizo mazo Wazanzibar wana haki nazo?

Kwa namna yoyote ile, chochote kile alicho kimiliki Sultan upande wa huku , maadam Zanzibar waliamua kufanya mapinduzi na kumfukuza na kumpokonya, basi cha upande wa huku hakiwahusu, kinabaki kuwa chini ya watu wa huku, wakati Zanzibar wao wakibaki na mapinduzi yao.
Hawa anatutafuta ipo siku watatupata.
 
Leo nimekutana na clip ya Chars Hilary akiongea akitanabaisha kuwa kuna hekta elf 6 wilayani Bagamoyo ni mali ya serikali ya Zanzibar na mtu kutoka bara haruhusiwi kufanya shughuli za aina yoyote ndani ya ardhi hiyo kwani sio mali ya serikali ya Tanzania bara.

Jambo hili limenisikitisha sana and sijajua inakuwaje wazanzibari wawe na ardhi yao Tanganyika wakati mtanganyika ukifika Zanzibar ni sawa umeenda Kenya tu.

======
Msemaji wa Serikali ya Zanzibari, Charles Hillary amesema Shamba la Zaba lililoko Makurunge wilayani Bagamoyo ni mali ya Serikali ya Zanzibar hakuna mtu anayeruhusiwa kufanya shughuli yoyote eneo hilo.

Msemaji amesema Zanzibar imemiliki eneo hilo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977. Na amesema yoyete atakayeuziwa eneo katika ardhi hiyo hatalipwa fidia.

Pia soma: Zanzibar ndani ya Tanganyika ilianzia huku na 4,000 Coast villagers face land loss to investor
Acheni usssenge
 
Leo nimekutana na clip ya Chars Hilary akiongea akitanabaisha kuwa kuna hekta elf 6 wilayani Bagamoyo ni mali ya serikali ya Zanzibar na mtu kutoka bara haruhusiwi kufanya shughuli za aina yoyote ndani ya ardhi hiyo kwani sio mali ya serikali ya Tanzania bara.

Jambo hili limenisikitisha sana and sijajua inakuwaje wazanzibari wawe na ardhi yao Tanganyika wakati mtanganyika ukifika Zanzibar ni sawa umeenda Kenya tu.

======
Msemaji wa Serikali ya Zanzibari, Charles Hillary amesema Shamba la Zaba lililoko Makurunge wilayani Bagamoyo ni mali ya Serikali ya Zanzibar hakuna mtu anayeruhusiwa kufanya shughuli yoyote eneo hilo.

Msemaji amesema Zanzibar imemiliki eneo hilo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977. Na amesema yoyete atakayeuziwa eneo katika ardhi hiyo hatalipwa fidia.

Pia soma: Zanzibar ndani ya Tanganyika ilianzia huku na 4,000 Coast villagers face land loss to investor
Nchi yetu sote...
 
it's very unfortunately siku hiyo haipo!. Tumeungana for life!.
P
Anko tunakuheshimu sana sasa naomba usitukosee heshima sisi wapwa. Inawezekana wewe ulikunywa maji ya bendera na kujiassociate na siasa na sera za miaka hiyo sisi huo upuuzi hatuwezi entertain hata kidogo.

Naomba ifike wakati sasa wa ninyi watu wazima ambao mnaelekea uzee kuwa maswala ya kitaifa kwasasa ninyi sio sole proprietorship haya ni maswala ya vijana na kizazi kijacho.
 
Niko paleee nimekaa kusubiri wazanzibari wakija na mitutu kutaka ardhi yao ya bagamoyo.
 
Kuna aliesema ni treaty ya mkoloni. Hiyo treaty inaingiaje 1977
 
Back
Top Bottom