Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Wataanzia wapi ?Tunaweza kunyang'anywa hata bahari yote!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataanzia wapi ?Tunaweza kunyang'anywa hata bahari yote!
Hawatakiwi kabisa kuthubutu kusema wana maeneo huku.Basi kama ni hivyo inabidi waachiane hayo maeneo kila mmoja abaki na eneo lililo upande wake!
Ndio hapo sasa...huu muungano wetu, mashallahh..Ila watanganyika msijaribu kwenda kununua aerdhi ZanzibarNa kwa kuongezea point yako mkuu, ni kuwa watakuwa marais wangapi wenye mamlaka ktk ardhi moja?
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Ufanunuzi mzuri sana ulioutoa ,ila atu wamechukulia hiki swala kimhemko na ndio tatizo kubwa liliopo duniani kwa sasa ,hakuna kuchunguza uhalisia wa jambo ni kuibuka tu na kutoa maoni.Umiliki wa ardhi ni jambo la kisheria, huwezi kusema unakataa, ardhi ya Tanzania ni rukhsa kumilikiwa na yeyote as long as amefuata sheria, taratibu na kanuni, huwezi kumzuia yeyote kumiliki aridhi popote, ila umiliki wa ardhi yoyote ya Tanzania, kumilikiwa na yeyote, hakuibadili hiyo ardhi kuwa ni mali ya mmiliki, ardhi hiyo inaendelea kubaki ni ardhi ya Tanzania mpaka mwisho wa dunia. Kitendo cha SMZ kumiliki ardhi Tanzania, hakuifanyi Ardhi hiyo kuwa ni sehemu ya Zanzibar, ardhi hiyo ni ya Tanzania bara milele ila inamilikiwa na SMZ kwa milki tuu na sio sehemu ya Zanzibar!.
P
Nina hasira na hawa takataka aiseee huwa nashindwa hata pozi la kukaa babu.Nimejikuta napatwa na hasira kwa jambo ambalo halinigusi mimi wala maslai yangu
Nchi hii yenye majeshi yote
Nchi hii yenye DEEP STATE
Kuna watu nanajiona wao ndio watanganyika halisi yaani wazalendo kweli kweli
Uswenge kama huu unatendeka wao ni kusifu ma kuabudu chama tawala na sasa wanajitengenezea ukuta imara yaani "untouchable" yaani chochote akifanya kiwe kizuri or kibaya hakuna wa kuuliza kisheria ama kimatendo...[emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Hawa ndio walikuwa watu wazima wakutetea Tanganyika na kuwatetea wajukuu zetu ila hawa ndio wamekuwa changamoto kuliko maelezo.Ahsante P umetusaidia sana
1. Umekwepa kusema kuwa Ngosha wewe huwezi miliki hata nusu heka pale zanzibar.
2. Ati ilikuwa mali ya sultani wajerumani walitusaidia huyo sayid aliibeba kutoka maskat au?
3. Hongera zako P na Januari najua mpo kujipongeza kwa bajeti ya kishindo. Mitungi 100 mmegawana kimya kimya... nchi hii inawachawi wengi sana Mungu kawaumbua mama salma katopoka
Ameandika kama anakatwa na watu wa Zanzibar. Unaweza kuna ana mabwana zake kule yaani kule ni ukweni ndio maana anatetea.Wewe ni mpumbavu aliyekamilika.
Wajinga sana. Najiuliza hawa watu wa media ingekuwa miaka ya ukoloni hivi wangethubutu hata kupiga nyimbo za madongo kwa wakoloni the way wazee wetu walijitoa miaka ile?!Kwakweli hii kitu inaboa kweli. Yani siku hizi ulipita mitaani watu ni habari za yanga na simba 24/7/365. Hakuna kitu kingine cha maendeleo watu wanachojadili. Huko kwenye magroup ya whatsapp ndio usiseme. Redioni nako, ni habari za mpira tuuuu. Hivi ntakula huo mpira. Inaudhi sana
Hawa anatutafuta ipo siku watatupata."Mali ya Sultani wa Zanzibar".
Sultan hakuwahi kuikabidhi Zanzibar wala mali zake nyingine kwa wazanzibar.
Zanzibar wenyewe walimkimbiza Sultan wao na kumnyang'anya mali zake. Katika kumnyang'anya huko, haimaanishi kila alichokua nacho Sultan kitakua ni mali ya Zanzibar, la hasha. Sultani alikua na mali nyingine huko kwao Oman, Je hizo mazo Wazanzibar wana haki nazo?
Kwa namna yoyote ile, chochote kile alicho kimiliki Sultan upande wa huku , maadam Zanzibar waliamua kufanya mapinduzi na kumfukuza na kumpokonya, basi cha upande wa huku hakiwahusu, kinabaki kuwa chini ya watu wa huku, wakati Zanzibar wao wakibaki na mapinduzi yao.
Eti? Unajua kuna mambo ni ya kipumbavu aisee.Ni kwann Tanganyika ilikufa alafu Zanzibar ikabaki kama si muungano wa kiin macho
EtiKama ZMZ ni sehemu ya JMT inawezaje kumiliki ardhi ambayo yenye ni sehemu mojawapo? Dar es Salaam inawezaje kumiliki ardhi ndani ya Morogoro?
Dah aiseee wanachimba mchanga wa ujenzi huku hawa choko?!Biashara ya mchanga wa ujenzi kutoka Tanzania bara kwenda Zanzibar iangaliwe upya.Iwe na uwazi.
Unataka kusemaje kuwa ni halali?!Kwani inafanyika kimagendo?
Sasa huoni kama huo ni upumbavu?!Yes Kila Mzanzibari ni Mtanzania ana haki zote za Utanzania ila sio kila Mtanzania ni Mzanzibari!. Wenye haki Zanzibar ni Wazanzibari wakaazi.
P
Acheni usssengeLeo nimekutana na clip ya Chars Hilary akiongea akitanabaisha kuwa kuna hekta elf 6 wilayani Bagamoyo ni mali ya serikali ya Zanzibar na mtu kutoka bara haruhusiwi kufanya shughuli za aina yoyote ndani ya ardhi hiyo kwani sio mali ya serikali ya Tanzania bara.
Jambo hili limenisikitisha sana and sijajua inakuwaje wazanzibari wawe na ardhi yao Tanganyika wakati mtanganyika ukifika Zanzibar ni sawa umeenda Kenya tu.
======
Msemaji wa Serikali ya Zanzibari, Charles Hillary amesema Shamba la Zaba lililoko Makurunge wilayani Bagamoyo ni mali ya Serikali ya Zanzibar hakuna mtu anayeruhusiwa kufanya shughuli yoyote eneo hilo.
Msemaji amesema Zanzibar imemiliki eneo hilo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977. Na amesema yoyete atakayeuziwa eneo katika ardhi hiyo hatalipwa fidia.
Pia soma: Zanzibar ndani ya Tanganyika ilianzia huku na 4,000 Coast villagers face land loss to investor
Nchi yetu sote...Leo nimekutana na clip ya Chars Hilary akiongea akitanabaisha kuwa kuna hekta elf 6 wilayani Bagamoyo ni mali ya serikali ya Zanzibar na mtu kutoka bara haruhusiwi kufanya shughuli za aina yoyote ndani ya ardhi hiyo kwani sio mali ya serikali ya Tanzania bara.
Jambo hili limenisikitisha sana and sijajua inakuwaje wazanzibari wawe na ardhi yao Tanganyika wakati mtanganyika ukifika Zanzibar ni sawa umeenda Kenya tu.
======
Msemaji wa Serikali ya Zanzibari, Charles Hillary amesema Shamba la Zaba lililoko Makurunge wilayani Bagamoyo ni mali ya Serikali ya Zanzibar hakuna mtu anayeruhusiwa kufanya shughuli yoyote eneo hilo.
Msemaji amesema Zanzibar imemiliki eneo hilo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977. Na amesema yoyete atakayeuziwa eneo katika ardhi hiyo hatalipwa fidia.
Pia soma: Zanzibar ndani ya Tanganyika ilianzia huku na 4,000 Coast villagers face land loss to investor
Anko tunakuheshimu sana sasa naomba usitukosee heshima sisi wapwa. Inawezekana wewe ulikunywa maji ya bendera na kujiassociate na siasa na sera za miaka hiyo sisi huo upuuzi hatuwezi entertain hata kidogo.it's very unfortunately siku hiyo haipo!. Tumeungana for life!.
P