Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Majadiliano ya aina hii yanaibua hisia za kipekee sana.
Ni kweli nchi yote siyo ya watu wa bara lakini ni nani aliyesema ni ya watu wa bara?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majadiliano ya aina hii yanaibua hisia za kipekee sana.
Tatizo la mipaka yetu ni ukweli kuwa hatukujiwekekea wenyewe ila iliwekwa na watu wenye maslahi yao binafsi. Afrika haikuwa na kitu kwenye mkutano wa Berlin Mkuu.Basi kama ni hivyo inabidi waachiane hayo maeneo kila mmoja abaki na eneo lililo upande wake!
Wewe ni mzanzibara?Wanagawa kwa sababu Watanganyika ni wapumbavu sana, watu hawajitambui
Na hizo Yanga na Simba zilianzishwa kimkakati ili kuzubaisha Watu.Sishangai, kwa sababu Nchi ina Raia wapumbavu haijawahi tokea, kutwa nzima ni Yanga na Simba unategemea nini? Yaani watu ni Yanga na Simba huku watawala wakiineemeka na keki ya ncni
Kama ZMZ ni sehemu ya JMT inawezaje kumiliki ardhi ambayo yenye ni sehemu mojawapo? Dar es Salaam inawezaje kumiliki ardhi ndani ya Morogoro?Tanzania ni nchi moja ya JMT, ambapo Zanzibar ni sehemu ya JMT, SMZ na Mzanzibari yoyote yuko huru kumiliki Ardhi huku kwasababu kila Mzanzibari ni Mtanzania, ana haki zote za Utanzania ikiwemo kumiliki Ardhi.
Ranchi ya Makurunge iliyopo Bagamoyo ni mali halali ya SMZ. Tena tuna bahati wakoloni Wajerumani walitusaidia, ukanda wa maili 10 za Pwani yote ya bahati ya Hindi kuanzia Sofala hadi Mombasa ilikuwa ni mali ya Sultan of Zanzibar!. Sultan alipewa eneo hilo na mkutano wa Berlin kugawana Africa ile 1884. Miaka 6 baadae 1890, ndipo Ujerumani, na Uingereza wakaingia mkataba za Sultan of Zanzibar awaachie, na wao wakaahidi kumlinda.
Mkataba huo unaitwa The Zanzibar Treaty, huku Ujerumani na Uingereza wakiachiana maeneo, visiwa vya Witu na Helingoland, na ni mkataba huu ndio wakahamisha mipaka ya Ziwa Nyasa kulifanya la Malawi!.
P
Mzungu hausiki. Mlaumuni Babu alieanzisha mungu mwengeMzungu hakutuacha salama
Najisikia vibaya sana nikiona mtu kama wewe ukitupotosha!Tanzania ni nchi moja ya JMT, ambapo Zanzibar ni sehemu ya JMT, SMZ na Mzanzibari yoyote yuko huru kumiliki Ardhi huku kwasababu kila Mzanzibari ni Mtanzania, ana haki zote za Utanzania ikiwemo kumiliki Ardhi.
Ranchi ya Makurunge iliyopo Bagamoyo ni mali halali ya SMZ. Tena tuna bahati wakoloni Wajerumani walitusaidia, ukanda wa maili 10 za Pwani yote ya bahati ya Hindi kuanzia Sofala hadi Mombasa ilikuwa ni mali ya Sultan of Zanzibar!. Sultan alipewa eneo hilo na mkutano wa Berlin kugawana Africa ile 1884. Miaka 6 baadae 1890, ndipo Ujerumani, na Uingereza wakaingia mkataba za Sultan of Zanzibar awaachie, na wao wakaahidi kumlinda.
Mkataba huo unaitwa The Zanzibar Treaty, huku Ujerumani na Uingereza wakiachiana maeneo, visiwa vya Witu na Helingoland, na ni mkataba huu ndio wakahamisha mipaka ya Ziwa Nyasa kulifanya la Malawi!.
P
Kwaiyo ni sawa ekari 6000 za bagamoyo kuwa sehemu ya Zanzibar?Km wakenya wapo huko ifakara, kilosa, wanalima bila wasiwasi na kusafirisha mazao Yao mpk Kenya nn cha kushangaza Zanzibar kumiliki hizo hekari. Vijana wa hii nchi wapo usingizini fofofo
Kwani inafanyika kimagendo?Biashara ya mchanga wa ujenzi kutoka Tanzania bara kwenda Zanzibar iangaliwe upya.Iwe na uwazi.
Kila kitu kina mwisho,ninachoamini hiki kizazi kinachokuja kwa kasi hapa baada ya kizazi cha nyerere na watoto wake kumalizika,hakitaruhusu na kitavunja Muungano,toka nazaliwa sijawahi ona manufaa ya zanzibar kwa mtanganyika ,na hivi hamna uraia pacha kila mtu abaki na nchi yake,na kama mzenji yupo huku achague huku ama kuleDuuh🙄
Ukifuga pimbi anaota mkia.
Au ni maelekezo kutoka juu?!
Ukute wanatikisa tu kiberiti halafu wanasikilizia!!!
Dawa ni kugeuza Zenji iwe wilaya mojawapo ya mkoa wa Pwani
Sikumbuki kuisoma hii kwenye ule mkataba wa Hellingoland, usikute ndio maana Zanzibar ilikuwa na pesa ndefu!.Pascal Mjerumani alinunua hizo 10 miles. Hakupewa kwa makubaliano ya kumlinda Sultani. Alilipa DM 4,000,000/=. Hata website ya DCC onasema hivyo
Yes Kila Mzanzibari ni Mtanzania ana haki zote za Utanzania ila sio kila Mtanzania ni Mzanzibari!. Wenye haki Zanzibar ni Wazanzibari wakaazi.Kwa hiyo huo hualali upo kwa upande wao tu
Hhhhhh embu kanioneshe icho kiwanja kwanza apo michenzaniKwanini Mimi msukuma siruhusiwi kumiliki ardhi pale michenzani Znz??
Sent using Jamii Forums mobile app
Is that okay??Yes Kila Mzanzibari ni Mtanzania ana haki zote za Utanzania ila sio kila Mtanzania ni Mzanzibari!. Wenye haki Zanzibar ni Wazanzibari wakaazi.
P
it's very unfortunately siku hiyo haipo!. Tumeungana for life!.naitamani Sana siku ile ambayo itakua ni mwisho wa huu upumbavu unaoitwa muungano nitakua na furaha ya maisha yangu yote
Uko sahihi kabisa RAZABA iko kitambo sanaRAZABA= Ranch Zanzibar Bagamoyo
Kula kitu kina mwisho,kuna kizazi kitapinga hii kila mtu afe na chake jiandaeni kisaikolojia,Muungano lazima uvunjwe kinachosubiriwa ni kizazi fulani kipite tuKwa sababu wewe sio mzanzibari,
Sio kila mtanzania ni mzanzibari, lakini kila mzanzibari ni mtanzania