Zanzibar: Hekta 6,000 zilizopo Bagamoyo ni mali yetu
Leo nimekutana na clip ya Chars Hilary akiongea akitanabaisha kuwa kuna hekta elf 6 wilayani Bagamoyo ni mali ya serikali ya Zanzibar na mtu kutoka bara haruhusiwi kufanya shughuli za aina yoyote ndani ya ardhi hiyo kwani sio mali ya serikali ya Tanzania bara.

Jambo hili limenisikitisha sana and sijajua inakuwaje wazanzibari wawe na ardhi yao Tanganyika wakati mtanganyika ukifika Zanzibar ni sawa umeenda Kenya tu.

======
Msemaji wa Serikali ya Zanzibari, Charles Hillary amesema Shamba la Zaba lililoko Makurunge wilayani Bagamoyo ni mali ya Serikali ya Zanzibar hakuna mtu anayeruhusiwa kufanya shughuli yoyote eneo hilo.

Msemaji amesema Zanzibar imemiliki eneo hilo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977. Na amesema yoyete atakayeuziwa eneo katika ardhi hiyo hatalipwa fidia.

Kwetu ni Kwao na kwao kusiwe kwetu kwa nini? "Saadan Kandoro. Tukiwa kwao sisi Wabar* ni wawekezaji kama wengine wakija kwetu WaZbr ni wenyenchi. Siasa za Ma*taka
 
Msingi wa uhalali wake ni nini?
Aboud Jumbe aliomba kwa Nyerere akamegewa. Ila kwa vile SMZ ilikilitekeza kwa miaka mingi, kama limevamiwa na wenyeji, then sheria yetu ya Ardhi itatumika to resolves,

Ukilitelekeza eneo kwa muda fulani likavamiwa, mvamizi Akira miaka fulani na kuliendeleza, kisha wewe ndio akaibuka, yule mvamizi naye anahaki ya kulipwa fidia maendeleo alioendeleza.
Anaweza kutambuliwa rasmi na SMZ kupokonywa.
P
 
"Mali ya Sultani wa Zanzibar".
Sultan hakuwahi kuikabidhi Zanzibar wala mali zake nyingine kwa wazanzibar.

Zanzibar wenyewe walimkimbiza Sultan wao na kumnyang'anya mali zake. Katika kumnyang'anya huko, haimaanishi kila alichokua nacho Sultan kitakua ni mali ya Zanzibar, la hasha. Sultani alikua na mali nyingine huko kwao Oman, Je hizo mazo Wazanzibar wana haki nazo?

Kwa namna yoyote ile, chochote kile alicho kimiliki Sultan upande wa huku , maadam Zanzibar waliamua kufanya mapinduzi na kumfukuza na kumpokonya, basi cha upande wa huku hakiwahusu, kinabaki kuwa chini ya watu wa huku, wakati Zanzibar wao wakibaki na mapinduzi yao.
👊
 
Leo nimekutana na clip ya Chars Hilary akiongea akitanabaisha kuwa kuna hekta elf 6 wilayani Bagamoyo ni mali ya serikali ya Zanzibar na mtu kutoka bara haruhusiwi kufanya shughuli za aina yoyote ndani ya ardhi hiyo kwani sio mali ya serikali ya Tanzania bara.

Jambo hili limenisikitisha sana and sijajua inakuwaje wazanzibari wawe na ardhi yao Tanganyika wakati mtanganyika ukifika Zanzibar ni sawa umeenda Kenya tu.

======
Msemaji wa Serikali ya Zanzibari, Charles Hillary amesema Shamba la Zaba lililoko Makurunge wilayani Bagamoyo ni mali ya Serikali ya Zanzibar hakuna mtu anayeruhusiwa kufanya shughuli yoyote eneo hilo.

Msemaji amesema Zanzibar imemiliki eneo hilo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977. Na amesema yoyete atakayeuziwa eneo katika ardhi hiyo hatalipwa fidia.

Tukiendelea kucheka na Zanzibar itakuwa kama Urusi kwa Ukraine, kuna siku watasema na Dar ni mali yao
 
Ni sawa kama kuna mkataba na mzanzibar anahaki zote kumiliki ardhi Zanzibar,ila kama Mtanganyika nayeye anahaki ya Utanzania kwanini yeye haruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar wakati sisi wote status yetu wote ni Watanzania?
Japo Zanzibar ni sehemu ya JMT, lakini ina special status ya utawala wake wa ndani. Status ya Utanzania ni kwa Tanzania bara tuu, lakini kwa Tanzania Zanzibar, status ya Uzanzibari ukaazi, applies!.
P
 
Tanzania ni nchi moja ya JMT, ambapo Zanzibar ni sehemu ya JMT, SMZ na Mzanzibari yoyote yuko huru kumiliki Ardhi huku kwasababu kila Mzanzibari ni Mtanzania, ana haki zote za Utanzania ikiwemo kumiliki Ardhi.

Ranchi ya Makurunge iliyopo Bagamoyo ni mali halali ya SMZ. Tena tuna bahati wakoloni Wajerumani walitusaidia, ukanda wa maili 10 za Pwani yote ya bahati ya Hindi kuanzia Sofala hadi Mombasa ilikuwa ni mali ya Sultan of Zanzibar!. Sultan alipewa eneo hilo na mkutano wa Berlin kugawana Africa ile 1884. Miaka 6 baadae 1890, ndipo Ujerumani, na Uingereza wakaingia mkataba za Sultan of Zanzibar awaachie, na wao wakaahidi kumlinda.

Mkataba huo unaitwa The Zanzibar Treaty, huku Ujerumani na Uingereza wakiachiana maeneo, visiwa vya Witu na Helingoland, na ni mkataba huu ndio wakahamisha mipaka ya Ziwa Nyasa kulifanya la Malawi!.
P
Kwenye masuala ya muungano, hivi ardhi imezungumziwaje mkuu?.
Na kumbe cha bara ni cha wote na cha Zanzibar ni cha wageni?.
 
Leo nimekutana na clip ya Chars Hilary akiongea akitanabaisha kuwa kuna hekta elf 6 wilayani Bagamoyo ni mali ya serikali ya Zanzibar na mtu kutoka bara haruhusiwi kufanya shughuli za aina yoyote ndani ya ardhi hiyo kwani sio mali ya serikali ya Tanzania bara.

Jambo hili limenisikitisha sana and sijajua inakuwaje wazanzibari wawe na ardhi yao Tanganyika wakati mtanganyika ukifika Zanzibar ni sawa umeenda Kenya tu.

======
Msemaji wa Serikali ya Zanzibari, Charles Hillary amesema Shamba la Zaba lililoko Makurunge wilayani Bagamoyo ni mali ya Serikali ya Zanzibar hakuna mtu anayeruhusiwa kufanya shughuli yoyote eneo hilo.

Msemaji amesema Zanzibar imemiliki eneo hilo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977. Na amesema yoyete atakayeuziwa eneo katika ardhi hiyo hatalipwa fidia.

Hawa madogo wanajifanya watu muhimu sana hapa nchini na wasipodhibitiwa watatupanda kichwani.

Wanapaswa kuwa treated kama wilaya ya bara kwa kutumia mabavu maana wanapoelekea siyo kuzuri.
 
Leo nimekutana na clip ya Chars Hilary akiongea akitanabaisha kuwa kuna hekta elf 6 wilayani Bagamoyo ni mali ya serikali ya Zanzibar na mtu kutoka bara haruhusiwi kufanya shughuli za aina yoyote ndani ya ardhi hiyo kwani sio mali ya serikali ya Tanzania bara.

Jambo hili limenisikitisha sana and sijajua inakuwaje wazanzibari wawe na ardhi yao Tanganyika wakati mtanganyika ukifika Zanzibar ni sawa umeenda Kenya tu.

======
Msemaji wa Serikali ya Zanzibari, Charles Hillary amesema Shamba la Zaba lililoko Makurunge wilayani Bagamoyo ni mali ya Serikali ya Zanzibar hakuna mtu anayeruhusiwa kufanya shughuli yoyote eneo hilo.

Msemaji amesema Zanzibar imemiliki eneo hilo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977. Na amesema yoyete atakayeuziwa eneo katika ardhi hiyo hatalipwa fidia.

Mbona unapotosha, kwani hata ingekuwa raia anamiliki, mtu mwingine angegawiwa?
 
Tanzania ni nchi moja ya JMT, ambapo Zanzibar ni sehemu ya JMT, SMZ na Mzanzibari yoyote yuko huru kumiliki Ardhi huku kwasababu kila Mzanzibari ni Mtanzania, ana haki zote za Utanzania ikiwemo kumiliki Ardhi.

Ranchi ya Makurunge iliyopo Bagamoyo ni mali halali ya SMZ. Tena tuna bahati wakoloni Wajerumani walitusaidia, ukanda wa maili 10 za Pwani yote ya bahati ya Hindi kuanzia Sofala hadi Mombasa ilikuwa ni mali ya Sultan of Zanzibar!. Sultan alipewa eneo hilo na mkutano wa Berlin kugawana Africa ile 1884. Miaka 6 baadae 1890, ndipo Ujerumani, na Uingereza wakaingia mkataba za Sultan of Zanzibar awaachie, na wao wakaahidi kumlinda.

Mkataba huo unaitwa The Zanzibar Treaty, huku Ujerumani na Uingereza wakiachiana maeneo, visiwa vya Witu na Helingoland, na ni mkataba huu ndio wakahamisha mipaka ya Ziwa Nyasa kulifanya la Malawi!.
P
Kwanini mkuu unazidi kuwa mtu wa hovyo sn? wewe unaruhusiwa kumiliki ardhi Zanzibar? kama ni sehemu ya Jamhuri ya muungano kwanini na sisi tusiwe na haki kama wao? 2021 nilinunua pickup Zanzabar ushuru ambao nilipigwa bandarini utadhani gari nimeitoa Japan, acha mambo ya ajabu kama shida ni tumbo sema sisi tufanye harambee tukuchangie ununue bajaji TV
 
Kama ZMZ ni sehemu ya JMT inawezaje kumiliki ardhi ambayo yenye ni sehemu mojawapo? Dar es Salaam inawezaje kumiliki ardhi ndani ya Morogoro?
Kumiliki wa Ardhi ni popote, Dar inaweza kumiliki Ardhi Morogoro, Tanzania ikamiki ardhi Kenya, pale Rusomo kuna ardhi ya Rwanda, Burundi na DRC. Maeneo yote ya Balozi zote za nje ni maeneo yao na sio sehemu ya Tanzania, ukifanya uhalifu ukakimbilia Umoja House au American Embassy, polisi haiwezi kukukamata!.
P
 
Pascal Mjerumani alinunua hizo 10 miles. Hakupewa kwa makubaliano ya kumlinda Sultani. Alilipa DM 4,000,000/=. Hata website ya DCC onasema hivyo

Paschal anaweza kuuza nchi kwa njaa zake, aende kwenye kaburi la dikteta Makufuli akatupu toka alivyoitwa Paschal njaa badala ya Paschal Mayala na Magufuli akapotea moja kwa moja, Magufuli aliamini Paschal anasumbuliwa na njaa wala hana lolote kwanza walikuwa wanafahamiana vizuri tangu mwanzo(Paschal mwenyewe alisema).
 
Kwenye masuala ya muungano, hivi ardhi imezungumziwaje mkuu?.
Na kumbe cha bara ni cha wote na cha Zanzibar ni cha wageni?.
Ardhi ya JMT ni ya Watanzania wote wakiwemo Wazanzibari lakini Ardhi ya Zanzibar ni kwa Wazanzibari pekee. Wageni wanamilikishwa for investment.
P
 
Kumiliki wa Ardhi ni popote, Dar inaweza kumiliki Ardhi Morogoro, Tanzania ikamiki ardhi Kenya, pale Rusomo kuna ardhi ya Rwanda, Burundi na DRC. Maeneo yote ya Balozi zote za nje ni maeneo yao na sio sehemu ya Tanzania, ukifanya uhalifu ukakimbilia Umoja House au American Embassy, polisi haiwezi kukukamata!.
P
Wewe una ardhi Zanzibar? tuache bhana tutakuja kukushushia matusi asubuhi asubuhi sisi siyo watoto wadogo unatukwaza na njaa zako kutetea upuuzi wako hapa. Askofu Shoo ni mjinga alivyolalamika mbele ya Mwinyi kuwa kwanini wabara hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar? njaa imekuharibu sn nenda kwenye kaburi na dikteta Magufuli ukatubu
 
Back
Top Bottom