Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwanini mkuu unatetea Zanzibar kuwa na ardhi bara na wakati sisi haturuhusiwi? mbona unaruhusiwa kumiliki ardhi Dar au Mwanza na siyo Zanzibar? hakuna muungano hapo ni fake na tunanyonywa sn, wanzibari hatuwataki waondoke warudi kwaoUzalendo wa mtu uko moyoni mwake!. Nimeishi UK, nikahamia US, wife na watoto wakabaki kule, mimi nikarejea Bongo kwa uzalendo tuu.
Nikatubu kwa kosa gani?.
Ni kweli kuna kauli zinaumba, kabla ya kuitwa njaa, nilikuwa na 6 government contracts za Publicity, nikilipa kodi ya mishahara ya RC na DC. Baada ya kuitwa njaa, contracts zikafutwa njaa ikanitembelea kweli. Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer
Ni kweli tulikuwa tunafahamiana vizuri kabla hajawa rais nikienda pande zile nafikia kwake!. Ni mimi ndiye mtu wa kwanza ile 2014 kueleza humu kuwa JPM ndie anakwenda kuwa rais wetu Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli, ni mimi nilieleza humu kuwa JPM ni dikiteta Tanzania iliyomuhitaji Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!, ni mimi niliyeeleza humu the consequences ya udikiteta wake Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! . Ni mimi nilieleza nia ovu ya mabeberu kumuondosha US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali? nikawaeleza wake jamaa zetu kuhusu mpango huu Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya? hawakusikia!, watu wa kazi zao wakafanya yao!, bado ni mimi ndio nimeelezwa mahali alipo sasa Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani hivyo namjua inside out!.
P