Zanzibar: Mwanaume afikishwa Mahakamani kwa kukata viuno hadharani

Sasa kidume unakataje viuno?

Ujue vitu vingine hivi mtailaumu serikali bure tu
 
Mila na desturi zetu halis "OG" ni kutembea uchi. Ni ujuha kuongoza nchi kwa mila na desturi, hayo mambo ni ya Kitaliban.
Kuna vitu vilivyokuwa vinafanywa miaka ya zamani nikwasababu tu ya zama za ujinga za kipindi hicho na sio desturi

Sio kila jambo la kale ni desturi, angalia na mazingira walikuwa na option ya kufanya kinyume na hapo au walilazimika kufanya hivyo kwasababu hawakuwa na option
 
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mwisho wa siku nchi lazima ichangamke, huyo ndugu yetu alikua kwenye harakati za kuchangamsha nchi sema tu mambo yame muendea kombo.
 
Huyo mkata kiuno angepelekwa kwenye mahakama ya kadhi ili adhabu stahiki, pumvafu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…