jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Shida sio utamaduni..shida ni unafiki wazungu wanakula na kutembea nusu uchi ndani ka kisiwa bila shida..ila wanajifanya kuwakazia wamatumbi wenzao..waanze kwanza kupiga marufuku na hotel zote za kitalii zisipike chakula mchana..ndio waje kwa wamatumbi wenzao..halafu hakuna mahali katiba imesema zenji ni secular.Ni jambo dogo sana. Zanzibar wana utamaduni wao. Na huo ndio unaoitambulisha ile ni Zanzibar. Acheni uheshimiwe.
Feel full free in your premises.Wakristo tuliopo Zanzibar tunanyanyaswa kiukweli🙆 kanisani Anglican huwa wanapika, ngoja tuone kama watazuia na pale...
Mkuu utaongeaje kuhusu ban za hijabu India na France?Dini bora haigopi competition wala kupiganiwa ujipigania yenyewe
Unazungumza nini,unalizia hijabu India?Mkuu utaongeaje kuhusu ban za hijabu India na France?
Na serekali tukufu ya kiislamu inaenda kuzoa kodi 🤣Hiyo marufuku ni kwa niggers tu lkn 5 Star Hotels wanauza siyo tu chakula hata drugs na Ukahaba rukhsa!
Hawa wazanzibar walioko uku bara tuwatimue warudi kwao
Bora warudi bara...nashangaa unapapendaje Zanzibar wakati ni mji uliokufa kama Kilwa, Bagamoyo e.t.c Hii ni miji ilitakuwa ibaki kuwa makumbusho tu.
Kama Zanzibar nchi lakini haija hata lift moja inayofanya kazi. Watu wananing'inia kwenye magorofa mabovu na yananuka Dunia nzima.
C'moooon Kama Kuna mbara anakomalia Zanzibar namuonea huruma. Bora niende Uganda kutafuta maisha na kuishi kuliko kukaa kwenye kisiwa chenye magofu Kama Bagamoyo au Kilwa tu.
Sikai jumba la makumbusho hata siku moja Mimi.
Je na wabara waliopo Zanzibar nao watimuliwe?
[emoji23][emoji23][emoji23]Huwa wanabadili ratiba ya mlo kutoka mchana kwenda usiku..
Mana jua likizama tu wanakula usiku kucha kama viwavijeshi.
#MaendeleoHayanaChama
Hawawezi paleWakristo tuliopo Zanzibar tunanyanyaswa kiukweli[emoji134] kanisani Anglican huwa wanapika, ngoja tuone kama watazuia na pale...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huwa wanabadili ratiba ya mlo kutoka mchana kwenda usiku..
Mana jua likizama tu wanakula usiku kucha kama viwavijeshi.
#MaendeleoHayanaChama
Kuna baadhi ya sehemu huwa wazi...Je, wadau wa kawaida ambao hawajafunga, kama wakristo au waislamu wenye dharura mfano wagonjwa, wafanyeje kama hawawezi kwenda kula 5 star?
Aliyekwambia Zanzibar ni nchi Nani!Zanzibar ni nchi ya Kiislamu. Kwanini mnakua mnateseka sana?
Yaani hata ndani ya chombo ni unyanyasaji tu, although kuna uwezekano wa kutenga maeneo si kulazimisha.Wakristo tuliopo Zanzibar tunanyanyaswa kiukweli🙆 kanisani Anglican huwa wanapika, ngoja tuone kama watazuia na pale...
Hakuna mtanganyika mwenye akili timamu anaweza kwenda kuishi kwa wabaguzi uko visiwani
Aliyekwambia Zanzibar ni nchi Nani!
Yaani hata ndani ya chombo ni unyanyasaji tu, although kuna uwezekano wa kutenga maeneo si kulazimisha.