Zelensky: Tumewapa hasara kubwa hurusi

Zelensky: Tumewapa hasara kubwa hurusi

Kikubwa tunaona kama Zelensky anapigana
Lkn ni pressure kubwa anayoipata to kwa Marekani
Marekani ndo mpango mzima na waliipanga hata kabla Mccain hajafariki
Hapo ni timing inatafutwa
Mrusi si Afghanistan,Zelensky yuko mtu kati anatumika na hana ujanja hata kiduchu

Ipo video Mccain na kiongozi 1 wa US wakiongea na wanajeshi wa Ukraine na kuwaahidi watawapa kila aina ya silaha na support yote ili kupigana Urusi

Imegoma tu kupanda hapa
kwahiyo tufanye conclusion kwenye kikao cha Marekani kusuka mpango wa urusi na Ukraine kupigana we ulikwepo kwenye kikao.
 
Ona na wewe unaongelea ushabiki vilevile kwenye issue zinazohitaji tremendous critical thinking.
Wale wanawake na watoto wanaokufa kule Ukraine nao wana strong balls?

Hizi ndio akili za zelenskyy, mtu mwenye akili angelinda maisha ya wananchi wake na nchi isingechukuliwa ni mwendo wa diplomacy na akili nguvu zitakuja baadae sio unaingia kichwa kichwa kwa taifa lilokuzidi nguvu.
The calculation of risk and it's consequences.

Idiot comedian leader.
Jamaa unaongea upupu kama mnywa gongo vile yaani ni kama vile huna ubongo how comes akili yako ifikiri kwamba mtu anayejilinda dhidi ya mvamizi ndie mkosaji na sio yule yule aliye mvamia mwenzie pathetic, alafu acha unafiki wa kujifanya wewe unawaapenda na kuwaonea huruma sana raia wa Ukrain alafu apo apo unasupport uvamizi wa nduli kubwa jinga Putin kwenye nchi huru ya wenzie kwanini aivamie nchi ambayo ni huru yenye haki zote za kujiamulia na kijichagulia yupi awe rafiki yupi awe adui yao kama ambavyo Russia ana haki iyo


Acha kuwa unaleta unafiki wa kijinga kwamba hutaki tujue kama wewe ni team Putin yaani unajifahya kuwa unaumia kwa madhira yanayowapata wananchi wa Ukrain lakini apo apo wala hutaki kuyasikia ama kuyaona maovu ya nduli rafiki yako Putin kwa kuivamia nchi iliyo huru kabisa kabisa kwa sheria zote za kimataifa aisee kweli si kila mtu ana utu
 
Wewe ni mwehu huna fact zozote asee hakuna mwanaume kamili mwenye akili kama za kwako kwamba nyumbani kwako jirani yako akikuvamia na kukupangia masharti unapaswa kumpigia magoti na kumkabidhi familia yako yote ili akuonee huruma acha ubwege wewe mwanaume kamili ni yule anayeipambania familia yake kwa jasho na damu na siyo kuwa na akili za komoni eti ukubali kuvuliwa chupi na mwanaume mwenzio kisa eti ukibisha familia yako itapata maumivu huu ujonga wa design hii kawshauri nduguzo na mkeo!!
WTF is this all about? mkuu haya matusi yote kwa sababu ya ukraine na russia na mimi kutoa opinion yangu juu ya huo mgogoro au kuna kingine nyuma ya panzia labda nilikuchukulia mkeo?
Hivi nikikwambia wewe ndio huna akili utakataa?
Huu mfano wako na hii logic yako ni non sequitur na inaonesha jinsi gani akili yako ilivyo ndogo, maswala ya International relations wewe unaleta habari za kuvamiwa nyumbani?

Huna akili wewe badala ya kuleta hoja unaleta matusi na mimi sina muda wa kutukanana na wajinga mtandaoni kisa vita za wazungu ukizingatia silipwi.
Hivyo nakwambia grow the F up na ukiniquote tena leta hoja na something logical.
 
Sasa matusi ya nini badala ya kutumia hoja?
Hapana mimi sio mwehu ila bila shaka mwehu atakuwa mama yako mkuu.
Mimi nimetoa Opinion yangu kama haukubali nayo then nakwambia how about you stop suckin my Dik?

Mimi sipendi ligi za matusi.
Nitaendelea kukutolea lugha usiyoipenda kwa sababu wewe huna akili alafu ni.mnafiki mkubwa yaani wewe unajifanya unawaonea huruma wananchi wa Ukrain alafu muda huo huo macho yako hayataki kabosa kuyaona maovu ya Rafiki yako nduli Putin kwa kuivamia nchi huru ya wenzie ujinga huu na wala siwezi kuargue na wewe sababu akili yako haiko sawa
 
Atoe kwanza boriti kwenye jicho lake ndipo aone kibanzi kwenye jicho la mwenzake! Yeye hakupata hasara? Haoni hasara aliyoipata? Angenyamaza kimya, sidhani kama ana haki ya kusema chochote katika hili! Upumbavu wake umeisababishia hasara kubwa nchi yake kwa faida za mabeberu wa magharibi!
upumbav wake wa kujivamia?
 
WTF is this all about? mkuu haya matusi yote kwa sababu ya ukraine na russia na mimi kutoa opinion yangu juu ya huo mgogoro au kuna kingine nyuma ya panzia labda nilikuchukulia mkeo?
Hivi nikikwambia wewe ndio huna akili utakataa?
Huu mfano wako na hii logic yako ni non sequitur na inaonesha jinsi gani akili yako ilivyo ndogo, maswala ya International relations wewe unaleta habari za kuvamiwa nyumbani?

Huna akili wewe badala ya kuleta hoja unaleta matusi na mimi sina muda wa kutukanana na wajinga mtandaoni kisa vita za wazungu ukizingatia silipwi.
Hivyo nakwambia grow the F up na ukiniquote tena leta hoja na something logical.
Kumbe unalijua ilo sasa aliyekwambia pale juu uwaite wenzio hawana akili ni nani

Alafu kwa akili yako hii sina sababu yoyote ile ya kuargue na wewe kwa logic sababu akili yako haiko sawa
 
Huyu jamaa ni mjinga na ujinga wake ndio umepelekea wananchi wake kufa kwa sababu zisizo na msingi.
Masharti ya russia yasingekuwa na madhara yoyote makubwa kwa taifa lake lakini kwa sababu ya pride na kushikiwa akili na westerners sasa hivi anakula hasara na wasio na hatia.

Kiongozi thabiti angetambua kwamba taifa sio rais tu bali kuna wananchi na angecalculate risk na madhara ambayo yangetokea baadae basi moja kwa moja angefanya maamuzi sahihi.
Wasanii wote naona hawapaswi kuwa viongozi sababu hawana nafsi ya uongozi.
huna akili mkuu , kama nyerere alishindwa kukubali kupoteza Kagera , je unaezaj kusena kupoteza Majimbo matatu hain madhara? au mwenzet ni std 7 failure?
 
Jamaa unaongea upupu kama mnywa gongo vile yaani ni kama vile huna ubongo how comes akili yako ifikiri kwamba mtu anayejilinda dhidi ya mvamizi ndie mkosaji na sio yule yule aliye mvamia mwenzie pathetic, alafu acha unafiki wa kujifanya wewe unawaapenda na kuwaonea huruma sana raia wa Ukrain alafu apo apo unasupport uvamizi wa nduli kubwa jinga Putin kwenye nchi huru ya wenzie kwanini aivamie nchi ambayo ni huru yenye haki zote za kujiamulia na kijichagulia yupi awe rafiki yupi awe adui yao kama ambavyo Russia ana haki iyo


Acha kuwa unaleta unafiki wa kijinga kwamba hutaki tujue kama wewe ni team Putin yaani unajifahya kuwa unaumia kwa madhira yanayowapata wananchi wa Ukrain lakini apo apo wala hutaki kuyasikia ama kuyaona maovu ya nduli rafiki yako Putin kwa kuivamia nchi iliyo huru kabisa kabisa kwa sheria zote za kimataifa aisee kweli si kila mtu ana utu
Sawasawa kabisa upo sahihi.
Ila wewe utafanyaje ikiwa jirani yako wa karibu anamleta jambazi nyumbani kwake ili baadae aje kufanya uovu nyumbani kwako na familia yako?

Utakaa kimya au utaenda kumuondoa huyo jambazi?
 
... Katiba za nchi haziko hivyo wewe; hata Katiba ya JMT hairuhusu Amiri Jeshi Mkuu ku-surrender nchi kwa nchi vamizi kasome Katiba uelewe.
sio timamu huyo
 
Naona kama wewe ndo ungenyamaza kimya chief, yeye ana haki ya kujitapa.

1. Anatetea kiapo chake cha kulinda Ukraine.
2. Yeye ndo amevamiwa na sio kwamba amevamia.
3. Ukubwa wa jeshi la Urusi mpaka sasa ameweza kuwadhitibiti kwa sehemu Kyiv isichukuliwe.
4. Operation toka siku 3 mpaka sasa umeingia mwezi wa 3, ongera kwake kwa ujasiri huu.
5. Ameshambulia sehemu kadhaa kwa udogo Russia, na amepiga mpaka meli bora kabisa ya kisasa ya Kirusi yenye mifumo ya S300 defence system. Jamaa kajihidi mno.
6. Amedhihirisha kuwa russia wamemtia hasara sababu inaonekana hasara amepata yeye tu ila kumbe hata Russia amepata.
7. Amefanya ulimwengu ujue mrusi kuna mda mikwara mingi kama msukuma aloshinda tatu mzuka milioni 5 kumbe vitendo hamna kitu.

Mwisho kabisa huu ndo uanaume, sio unavamiwa na baunsa unakuwa mnyonge kumtoa mkeo na familia, mwanaume lazima upambane.
Huu mgogoro ukiisha urusi hatokuja kuijaribu tena Ukraine
 
huna akili mkuu , kama nyerere alishindwa kukubali kupoteza Kagera , je unaezaj kusena kupoteza Majimbo matatu hain madhara? au mwenzet ni std 7 failure?
Tofautisha miaka ya 1970 na 2022.
Bytheway nimeishia la tatu B mkuu.
 
Hayo yooooote uliyoyaandika niliyaona pengine hata kabla hujayaona lakini nimechagua kumpuuza maana kama angekuwa na akili japo kidogo asingeweka rehani maisha ya wanançhi wake kwa faida ya Marekani na washirika wake! Ninachosema ni kwamba, angekuwa na akili pasingekuwa na vita!
sio timamu ww , yaan ulitaka baada ya kuvamiwa atulie kipigo kimuingie ? aikabidhi nchi kwa Urusi ? wkt wananchi waliikomboa tangu 2014
 
Sawasawa kabisa upo sahihi.
Ila wewe utafanyaje ikiwa jirani yako wa karibu anamleta jambazi nyumbani kwake ili baadae aje kufanya uovu nyumbani kwako na familia yako?

Utakaa kimya au utaenda kumuondoa huyo jambazi?
Sasa mkuu ngoja nukuulize kwanza kabisa, unaelewa maana ya Sovereingty state!!??
 
Tofautisha miaka ya 1970 na 2022.
Bytheway nimeishia la tatu B mkuu.
Duuh kwaiyo 1970 ndo watu walikuwa na haki ya kujilinda na kujichagulia marafiki , na 2022 watu apa duniani hawana tena haki iyo si ndiyo kwamba kwa vile sasa ni 2022 nchi yoyote apa duniani inaruhusiwa kuivamia nchi nyingime iliyo huru kisa tu Raisi wa nchi fulani kajiskia kufanya ivyo si ndio mkuu?
 
Kikubwa tunaona kama Zelensky anapigana
Lkn ni pressure kubwa anayoipata to kwa Marekani
Marekani ndo mpango mzima na waliipanga hata kabla Mccain hajafariki
Hapo ni timing inatafutwa
Mrusi si Afghanistan,Zelensky yuko mtu kati anatumika na hana ujanja hata kiduchu

Ipo video Mccain na kiongozi 1 wa US wakiongea na wanajeshi wa Ukraine na kuwaahidi watawapa kila aina ya silaha na support yote ili kupigana Urusi

Imegoma tu kupanda hapa
mjomba umelewa story za wapiga ramli wanaoiombea Usa Kuporomoka , USA hawana uwezo wa kutabir kuwa Urusi itakuja kuivamia Ukraine so wao wataisaidia Ukraine , kumbuka hatuja sikia lawama zozote kutoka Urusi za kufanyiwa mashambuliz kabla ya wao kuivamia Ukraine , so unaona kumbe ni mipango ya Urusi kuwalinda waasi wao baada ya kuona walikuwa wanakaribia kupoteza vita huko mashariki ya ukraine
 
sio timamu ww , yaan ulitaka baada ya kuvamiwa atulie kipigo kimuingie ? aikabidhi nchi kwa Urusi ? wkt wananchi waliikomboa tangu 2014
Yaani hawa jamaa mtu una kaa chini unawahangaaa akili yao na jinsi akili yao inavyoweza kureason mambo asee duuh lakini uyo uyo anaiunga mkono palestina kwa kupambana na Israel
 
Mkuu em ingia YouTube check hii
McCain,Lindsey Graham and Amy Klobochur in Ukraine

Hv watu ni wageni sana wa US,kwani US ndo msafi wa hii dunia?

Zelensky anatumika tuu
kwahiyo USA walijua ipo siku Urusi ataivamia Ukraine ? na alijuaje mpk kuweka ahadi ya kuisapoti Ukraine , kama ni hivyo basi nikuombe kukubali kuwa USA ipo mbali sana kijeshi kuliko Urusi , maana huyu marekani ana uwezo wa kumswitch mtu akafanya kama atakavyo si ndio ?
 
Ukifikiri nje ya box utaelewa! Zele ni puppet leader kama mlivyo wengi hapa Afrika! Mawazo yako yananifanya niamini na wewe ni miongoni mwa viongozi vibaraka wa magharibi!
tupe ushaidi mkuu wa maneno yako
 
Unamsifia mtu aliejificha huku wanachi wake wanakufa, na nchi inaangamizwa.
kati ya Putin na Zelewinsky nan kajificha ? Mwambie Putin atue ulingoni aone kama hajarambishwa mchanga , Putin ss hv anaishi kama simbirisi
 
Back
Top Bottom