JF imejaa matapeli ya kila aina wewe unajifanya unajuana na waziri shameful kabisaNimeongea na waziri mmoja ambaye ni classmate wangu. Tulikuwa na maongezi ya kinyumbani tu ila nikaingiza udadisi wa hili swala la afya ya magufuli. Waziri anasema magufuli ni mzima kabisa ila kwa sasa hivi yuko kwenye mfungo ambao ameuchukulia kwa nguvu sana kutokana na mambo mbalimbali yanayoikumba nchi kwa kipindi hiki. Ila huwa anakutana na mawaziri kwa nyakati mbalimbali, wala hayuko Chato bali yuko Ikulu
Matapeli kibao humuNilichogundua humu hakuna mweny taarifa kamili wote ni waganga wa jadi ni wapiga lamri tu
Tuna shida jamani. Tunaombeana mabalaa..
Ghetto kwako sio ?Yupo songwe
Wazee wa kitengo. Waka kazini kuweka mambo sawa. Lakini "Maji yakimwagika........." Kilangila.JF imejaa matapeli ya kila aina wewe unajifanya unajuana na waziri shameful kabisa
Tusubiri iyo ziaraWiki ijayo Mkuu anapiga ziara Dodoma kalieni Uzumbukuku tu. Baada ya kutafuta hela upo busy kuangalia msafara.
Ipo na kesho tunasaliTusubiri iyo ziara
Ata asaivi sali mkuuIpo na kesho tunasali
Bora wewe, Musiba alisema anasikia tumbo la kuharisha. Kilangila.moyo unanidunda kweli😥😥
Wewe Israeli Mtoa Roho unayeunga mkono mauaji na kushangilia risasi za TAL? Ungekuwa jirani yake, angekuwa marehemu, Kilangila.Mchungaji Msigwa ni jirani yangu!
Ndiyo. Kilangila.Mkuu unadhani "hata ikitokea" shida zako zitaisha?
Yeye alikuwa na huruma? Kilangila.Sio vizur kuombeana kifo watanzania tuwe na huruma
Na yeye ni mnyama kama hao. Kilangila.Ndiyo kwani hujui kuwa binadamu ni wanyama?
Hahahaha nimecheka hadi jirani kanigongea namsumbuaNilichogundua humu hakuna mweny taarifa kamili wote ni waganga wa jadi ni wapiga lamri tu
Afadhali wanao ombea vifo, kuliko aliyesababisha vifo kibao na TAL chupuchupu kwa risasi za kumwaga. Kilangila.Sio vizur kuombeana kifo watanzania tuwe na huruma
Hebu muache mheshimiwa rais amalizie kwaresima yake nyie wapagani mnaleta shida. Rais yuko kwenye mfunga wa kwaresima nyie na lucife wenu mnapiga kelele zisizo na staha. Rais ni chaguo la wananchi na wananchi ni sauti ya Mungu.