Ziara hii ya Waziri Mkuu mbona haina utulivu?

JF imejaa matapeli ya kila aina wewe unajifanya unajuana na waziri shameful kabisa
 
Kura za wizi ndiyo wananchi? Kilangila.
Hebu muache mheshimiwa rais amalizie kwaresima yake nyie wapagani mnaleta shida. Rais yuko kwenye mfunga wa kwaresima nyie na lucife wenu mnapiga kelele zisizo na staha. Rais ni chaguo la wananchi na wananchi ni sauti ya Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…