Ziara hii ya Waziri Mkuu mbona haina utulivu?


Haikupangwa hovyo ila kuna shida imetokea
Mkuu unadhani "hata ikitokea" shida zako zitaisha?
 
...!!!.....????
 
Ni kweli tuna shida sana ya kuwataka wakina beni saa nane na Azory gwanda wasipatikane tena upya...tuna shida sana wakina Lissu wanapigwa risasi na great thinker tumekaa tu kimya
 
Hivi nyie watu mbona mna Mambo ya ajabu sana ni kwa nini mnatia hasira nyie kwa hiyo mnataka kumpangia waziri mkuu nia yenu ni nini maana naona sijui mnataka kusikia Tanzania imekuwa ya ajabu sana hii miaka

Na ni Mtu na familia yake nae ana Mke na kuitwa Baba wa familia. Siku hizi wanaume ni wambea sana
 
Don't
Ni kweli tuna shida sana ya kuwataka wakina beni saa nane na Azory gwanda wasipatikane tena upya...tuna shida sana wakina Lissu wanapigwa risasi na great thinker tumekaa tu kimya
Don't relocate the karma.
Hukumu ya mazuri na mabaya utoka kwa Mwenyezi Mungu.
 
Don't

Don't relocate the karma.
Hukumu ya mazuri na mabaya utoka kwa Mwenyezi Mungu.
Kwani nani kamuhukumu mtu hapa?.....hapa tunazungumzia wale wajinga wote wanaoharibu nchi yetu kwa kuua akina alphonce mawazo,wakina ben saanane,wakina Azory gwanda,wale wapuuzi wote wanaoichafua nchi yetu kwa kuteka tekateka raia bila kufuata taratibu na sheria za nchi, wale wote wanaozusha uzushi mbali mbali,hawa ni wa kuuliwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…